Ungejua kahawa 60% inatoka kagera ,30% ya Sukari, 65% ya ndizi,20% ya maharage,80% ya vanilla nk vinatoka kagera usingeleta porojo hapawanakuja kuomba au kufanya kazi?
Mzee wa kule anamiliki ng'ombe 1000 utalinganisha na anae milik mgomba
Umeanza lini?Ukame umeanz leo?
Nakuuliza unawazid nini hao wazee wenye ng'ombe 1000?
Hawazuruli na punda kama nyieUfugaji ndo unashikilia ata mapato ya Ethiopia kwa kiasi kikubwa, we endelea kudharau watu wenye ngombe zaidi ya 1000 mtu mmoja.
Arusha haijawahi izidi Mbeya kamwe ,check hapa background data πNidhania utalii na east africa HQ ingeifanya Arusha kuwa na pato kubwa kupita mikoa mingine ukiondoa Dar!!
Hili ni la miaka mingi au kwa sababu ya Covid?
Nshomile waitu kuna watu humu wamekushika pabaya eti wanasema nyinyi wahaya ndo mnasababisha kanda ya ziwa irudi nyuma kimaendeleo eti bila nyinyi ingekuwa ya kwanza.Mimi nimeamua nikae kimya tu.
Hiv mtu unaweza linganisha uhayani na usukumani kweli[emoji23][emoji848]
Ni mbingu na Ardhi kabisa.
Kwanza hizo takwimu zinapikwa Sana juzi tu 2019 kagera ilikuwa na 4.9 tillion Sasa imeshuka na kuwa 3.5 2020 hiv kagera kumetokea kitu gan ndan ya mwaka mmoja GDP ipungue kiasi hicho.
Hlafu hiyo ramani ina walakini sijaelewa katavi na Rukwa [emoji848][emoji23][emoji23]
Yaan takwimu za bongo bwana[emoji23][emoji23]
kabla haujazaliwaUmeanza lini?
Ila wanazurula na fisi.Hawazuruli na punda kama nyie
Ndio maana mumekimbilia kwetu? ππkabla haujazaliwa
Wewe unakwenu wote wavamizi tuNdio maana mumekimbilia kwetu? ππ
Uchumi wetu huu hapa πDuuh! wewe unawazidi nin hao watu weny ng'ombe 1000
Au ndio uchumi wa wazir wetu
Utajua kuwa hujui, hakuna lolote hizo zaidi ya ulevi na uvutaji wa bangi kupita kiasi.PATHETIC!!!
Tumekimbilia kwenu, ndiyo tumeona mna maeneo makubwa yasiyotumika, sisi ndo tumekuja kuchukua ardhi yenu, kama vile wakoloni walivyoingia Afrika ndivyo hivyo mangosha huwa wanafanya.Ndio maana mumekimbilia kwetu? ππ
Njombe ambayo haiifikii hata kahama pole!
Huwezi ukawa na akili timamu ukalinganisha maendeleo yaliyopo huko vijijini uhayani na usukumani hata kidogo.Nshomile waitu kuna watu humu wamekushika pabaya eti wanasema nyinyi wahaya ndo mnasababisha kanda ya ziwa irudi nyuma kimaendeleo eti bila nyinyi ingekuwa ya kwanza.
Mwanz ishatoka huko kitambo ilikuw inaitwa dhahabu nyeupe
We ukauze ubuyu ushike moja n kaz sanaKiuhalisia Dodoma walikua wanaipamba tu lakini hakuna kitu
Mbona mnazidiwa na kahama huk mnafanya kilimo cha kisas namna hiyo.
Kama mkoa mzima mnategemea zao la parachichi liwainue kweli mtaacha kushika mkia!?πππ
Wakola waitu.Huwezi ukawa na akili timamu ukalinganisha maendeleo yaliyopo huko vijijini uhayani na usukumani hata kidogo.
Kwa Kanda ya ziwa hakuna mkoa wenye maendeleo vijijini Kama kagera . Just imagine wilaya ya muleba Ina shule zaidi ya 300 na hospital 4.
Wakati huko usukumani Kuna wilaya hazina hospital kabisa na hata lami haipo kabisa tofauti na barabara kuu[emoji23][emoji23]