instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,037
- 17,212
Ungejua kahawa 60% inatoka kagera ,30% ya Sukari, 65% ya ndizi,20% ya maharage,80% ya vanilla nk vinatoka kagera usingeleta porojo hapawanakuja kuomba au kufanya kazi?
Mzee wa kule anamiliki ng'ombe 1000 utalinganisha na anae milik mgomba