Kuna maengineer wengi vijana tena wazuri mno. Tena wa kisasa siyo huyu old gold!!!!Kuajiliwa sio lazima ila kujiajili ni lazima na wajibu, huyu alikuwa adimu na adimu kweli we shall be equal as human so did Mabala say. Am happy he was such a good man
Patrick was Gold exceptionally nakwambia kipesonali, am happy for him having been such a highly trustable manKuna maengineer wengi vijana tena wazuri mno. Tena wa kisasa siyo huyu old gold!!!!
That is only 2% of him he was purely a good man.Trustable Under the shadow of JPM his godfather,kichere ashasema jamaa kalipa mkandarasi double payment
Mda mwingine jifunze kutoonyesha upumbavu wako hadharani.Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.
Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.
RIP Mfugale 1950-2021
Unapewa contract kama ni kichwa. Si kila mtu ni wakupewa contract, wengine kusinzia tu maofisini. RIPSiyo chuki. Lazima kuwe na fair game kwa kila mtanzania!!! Wengine 60 wanatoka hata contract hupewi lakini wengine wanatesa hata wakifika 70 wanapeta tu. Asingekufa angeachia ngazi lini? Na vijana wengi wako mtaani hawana kazi , na wazee hawataki kung'atuka!!!! Si haki mkuu!!! Nchi yetu sote hii!!!
He was talented engineer,the state could not have let him go,Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.
Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.
RIP Mfugale 1950-2021
Inazidi kuonyesha jinsi gani Una changamoto ya ufahamu.Pumbavu bibi yako kenge wwe
Hii huenda ndiyo sababu iliyomsepesha huyu swaiba wa Mwendazake.Wamemuacha babu wa watu mpaka kashfa ya ripoti ya Kichere imemuua, alipohojiwa presha ikapanda. Ila Kichere nae kaitoa kama ilivyo Tanroad wamelipa mikataba mara mbilimbili January to March 2021.
Never ever compare a poor underdeveloped country like URT with the USA kwa lolote like.Nimeona msalaba unasema amezaliwa 1953, wewe unasema 1950, tukuamini wewe tuamini ndugu walioandika msalaba?
Anyway, umri sio shida sana kama mtu bado ana nguvu na anajiweza.
Dr. Fauci wa Marekani ana miaka 81 na bado anapiga kazi kama kawaida. Alipewa ukurugenzi miaka 36 iliyopita na hajawahi kustaafu.
Sababu alikuwa Rafiki wa mungu wenu dikteta ndio asijadiliweMwacheni apumzike. Haya ulikuwa na uwezo wa kuyasema akiwa hai.
Wanasema amekufa akiwa na miaka 68; ni nani alimuongezea muda alipotimiza 60? Mwezi kama huu, miaka 8 iliyopita ilikuwa ni awamu gani?Huyo hakutaka Mwenyewe bali alilazimishwa kwa maslahi ya alomtuma.
Kwa ujumla "Mwendazake"(JPM) sio tu alikuwa mnafiki bali MCHAWI.
Acha kumletea Mfugale usiku wewe huoni aliyoyafanya madaraja yale wangekuja wachini kwa hela ndefuUmri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.
Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.
RIP Mfugale 1950-2021
Kwakuwa alikuwa swahiba wake dikteta ndio asijadiliwe, misukule ya dikteta mna taabuHuna mengine ya kufanya zaidi ya kumjadili mtu?!
Alikua a nasubiria report maalun ya BOT ije imtoe roho kwa mstuko/stressUmri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.
Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.
RIP Mfugale 1950-2021
Kwa kipindi kile cha mwendazake kila kitu kiliklua kinawezekana tu hata babu yake angeweza kuwa mtumishi wa umma
Si umeshasema kanuni zinaruhusu.....Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.
Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.
RIP Mfugale 1950-2021
Angekufa mwezi wa 4 au wa 5maana ndo uchunguzi ulikuwa unafanyijaInawezekana kabisa kifo chake kina uhusiano na ripoti ya kichere,angekuwa kastaaafu angekuwa anakula tu penshen