Unaijua historia ya engineer Mfugale nchii hii bwege weweee,Au kazi kufikiri KWA kutumia masaburi.Bora ametangulia kabla hajatumbuliwa maana ndio lilikuwa linafuata
Umemaanisha libadilishwe kwa sababu amepewa mtu naye atakufa au libadilishwe kutoka jina lake la asili lipewe jina la mtu?Nyerere hakupenda majina yake kutumika akiwa hai alisema ni uchuro.
Magufuli - Stendi, Daraja; Mfugale - tower, flyover; Kijazi - Daraja, Flyover.
Maneno ya Nyerere yanaweza kuwa na hoja.
Pale Dodoma napo pana soko nashauri jina kubadilishwa haraka.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Dah mkuu we unaonaje? Na habar za kusikitisha zipoje tuelezeSasa hizo ni habari za kusikitisha? Nyie vijana kuweni serious?
Mimi napita kwenye daraja kwa raha zangu, ni kodi yangu imejenga sio pesa ya mamaezenu Mijizi na Milafi = MaCCMutakuwa unapita kwenye daraja unasoma jina pale,chaguo lako ujinyee au ujitie kidole unuse.
Eleza kidogo boss! Hiyo ndo raha ya JF. Usifiche.Covid ya tatu hiyo
Jamaa alikuwa mwizi sana na anajua ufisadi wote waliofanya na jiwe kwenye miradi..
Aende kunakostahili.
”Magonjwa yote yasio na tiba ” in Jamhuri ya tweetas voice 😂😂Muonekano wake alionekana afya imedhoofu siku nyingi, alikuwa anajikaza tu. Apumzike kwa amani Mnyalukolo.
lile jina utalisoma kwa dhiki zako pale.Mimi napita kwenye daraja kwa raha zangu, ni kodi yangu imejenga sio pesa ya mamaezenu Mijizi na Milafi = MaCCM
Aliye karibu na Mkuchika ampe salaamAtakuwa ameondoka na hii phase 3, watanzania tujifunze kustaafu umri ukisogea, toka 77 upo kazini kweli jamani hakuna watanzania wengine? angekuwa ametulia na wajuu haya yasingetokea labda
Tuliza Mku*duh wewe, historia zinatengenezwa pimbi wewe. Ndio maana ya Branding au unadhani yeye anawazidi Muhandisi wengineUnaijua historia ya engineer Mfugale nchii hii bwege weweee,Au kazi kufikiri KWA kutumia masaburi.
Nyamazaa na utulize Matak**o
Kama kweli vile..Daraja la Kijazi.... Daraja la Mfugale.... huku sio kuchuriana? Wazee wa maeneo husika wamekasirika! Turudishe majina ya asili ya maeneo husika! Daraja la Tazara, Daraja la Ubungo, stendi ya Kuu ya Mabasi Mbezi Louis!
[emoji3][emoji3][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]wewe jamaa huwa unachekesha sanaRIP
Sabasaba ihairishwe!
Majitu mapumbavu kama nyie hamuishiwagi maneno!Covid ya tatu hiyo
Jamaa alikuwa mwizi sana na anajua ufisadi wote waliofanya na jiwe kwenye miradi..
Aende kunakostahili.
Umesahau daraja la KikweteNyerere hakupenda majina yake kutumika akiwa hai alisema ni uchuro.
Magufuli - Stendi, Daraja; Mfugale - tower, flyover; Kijazi - Daraja, Flyover.
Maneno ya Nyerere yanaweza kuwa na hoja.
Pale Dodoma napo pana soko nashauri jina kubadilishwa haraka.
Au nasema uongo ndugu zangu?