TANZIA Patrick Mfugale wa TANROADS afariki dunia Jijini Dodoma

Wewe jamaa ni qm sana. unapataje legitimacy ya kuwananga wenzio kwamba ni masikini ilihali huwajui. Ni kwamba wewe ni tajiri sana ama
 
Namtafuta Mzee Mfugale kwenye hotuba za awamu ya sita simsikii, namtafuta kwenye vyombo vya habari simsikii tofauti na awamu iliyopita.

Je, amepotea na taaaluma yake yakudesign madaraja?
Angalia ziara ya SSH kwenye daraja la Magufuli utamuona akidada-vua
 
Afe tuu...huyu na kichaa Magu walichangia kuiba pesa zetu
Pumbavu wewe sio mwizi?
Majizi nyie na walafi wa kodi zetu , ndio chanzo cha umasikini wa ukoo wangu.
Mkafie mbali na mwingie JEHANAMU MaCCM wote.
Nyinyi CHADEMA ni wapuuzi sana kwa hiyo nyinyi wote ni wema? Juzi mzee Baregu amefariki watu wote wakatoa salamu za pole humu lakini nyinyi mnajidai wazalendo huku mkiwa mmevaa ngozi ya kondoo.Wanafiki wakubwa sana.
 
kuna somo kubwa kwa ulichoandika, nmetamani uendelee kutoa nondo nzito.
 
Wewe jamaa ni qm sana. unapataje legitimacy ya kuwananga wenzio kwamba ni masikini ilihali huwajui. Ni kwamba wewe ni tajiri sana ama
Kwani masikini anajificha?

Ukiona mtu anashangilia mtu tajiri kufariki au kupata tatizo ujue mtu huyo tangu ukoo wake ni masikini sana anaeamini umasikini wake umesababishwa na tajiri!

Sasa anapokuja hapa eti afe tu katuibia sana, ukimwambia weka ushahidi hana. Huyu ni masikini
 
Si bora huyu ameacha kumbukumbu....
ww utafukiwa na kusahaulika kabisa
Unapigia chapuo kumbukumbu ya ukabila,ukanda pamoja na wizi wa fedha za umma?!Una akili timamu?

Hata kama nitafukiwa haina shida cha msingi na chenye maana yeye pamoja na yule BLADIFAKENII wa chato wamewahi/wametangulia kufukiwa.
 

Mbona unaonekana una makasiriko sana na Mfugale? Una ugomvi nae binafsi Mkuu,tangu mwanzo unamsimanga tu,jamani tujifunze walau jinsi ya kudeal na stress zetu za maisha.Haya ameshakufa,unadhani itakupa ahueni ya maisha wewe binafsi?
 
Unapigia chapuo kumbukumbu ya ukabila,ukanda na wizi wa fedha za umma?Hata kama nitafukiwa haina shida cha msingi na chenye maana yeye pamoja na yule BLADIFAKENII wa chato wamewahi kufukiwa.
It won't save any purpose, manake na ww unafata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…