FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Muasi ni muasi tu, hata sisi tukianza uasi kwa sababu seriakali inakopa matrilioni na kuyapelea Zenji ilihali madeni tunalipa Tanganyika, hiyo bado haituondolei title ya waasi, na tutashughulikiwa accordingly, kitaifa na hata kimataifa.Kwasababu wao ni Victims wa Bantu aggression.
Labda hizo methods apate kwa mabwana zake huko USA na Ulaya na njia kubwa wanayoweza kutumia Ni kuratibu mapinduzi au sumu kwa Viongozi na sio kwenda front hiyo jeuri hawana.
Mobutu alivamiwa na nchi nyingi so alizidiwa, same to Gadaffi na Hussein walipambana na NATO/US so hauwezi expect washindw vita.Mkuu kumbe hata Iddi amini dada, Gaddafi, Saddam hussen, president abacha, na president Mabutu seseseko kumbe walikuwa na majeshi makubwa pia, au maana waliondolewa kwa aibu kubwa sana.
Mlipoambiwa serikali tatu au muungani wa mkataba si mlitukana na mkadai bila muungano zenji itakua ya kigaidi!! Ila Leo ndio mnagundua makosa when it's too late!!Muasi ni muasi tu, hata sisi tukianza uasi kwa sababu seriakali inakopa matrilioni na kuyapelea Zenji ilihali madeni tunalipa Tanganyika, hiyo bado haituondolei title ya waasi, na tutashughulikiwa accordingly, kitaifa na hata kimataifa.
KAGAME NI TISHIO KWA UKANDA HUU AONDOLEWE HARAKA, ATAKUJA KUWA NA ATHARI KUBWA ZAIDI PALE ATAKAPOKUJA KUMILIKI SILAHA ZA MAANGAMIZI ZA NYUKLIA ZA MASAFA MAREFU, NADHANI HILI LIPO KICHWANI MWAKE,SOON ANAWEZA ANZA SHOW GAME ZA SILAHA ZA NYUKLIA.,AKICHELEWESHWA.
Wahi Mirembe.KAGAME NI TISHIO KWA UKANDA HUU AONDOLEWE HARAKA, ATAKUJA KUWA NA ATHARI KUBWA ZAIDI PALE ATAKAPOKUJA KUMILIKI SILAHA ZA MAANGAMIZI ZA NYUKLIA ZA MASAFA MAREFU, NADHANI HILI LIPO KICHWANI MWAKE,SOON ANAWEZA ANZA SHOW GAME ZA SILAHA ZA NYUKLIA.,AKICHELEWESHWA.
Kwahiyo ulisharud ccm na Sumaye?Mimi sio Mnyarwanda Asili ya.ngu Katesh.
Na Chadema nimeipenda mwenyewe well..let me ne honest ni baada ya Sumaye kuhamia Chadema nikamfuata😁
Hapana nimebaki hukuhuku Chadema.Kwahiyo ulisharud ccm na Sumaye?
Kazi maalum bila shaka.Kama Wazir NyalanduHapana nimebaki hukuhuku Chadema.
Nimevutiwa na Sera.Kazi maalum bila shaka.Kama Wazir Nyalandu
Anaweza kununua N. K, za kujihami time will tell.Wahi Morembe.
Uasi ni uasi tu, hakuna namna wala jina lingine, serikali iliyopo madarakani iheshimiwe, vinginevyo dunia nzima itakuwa ni umwagaji damuMlipoambiwa serikali tatu au muungani wa mkataba si mlitukana na mkadai bila muungano zenji itakua ya kigaidi!! Ila Leo ndio mnagundua makosa when it's too late!!
Anyway political solutions haziangalii Sheria zinasemaje, ndio maana nmekwambia Hata Odinga au Besigye wakijiapisha kuwa Rais hawakunyongwa ilihali ilikua uhaini!!!
That's what political solution is all about. Kusema eti maadam ni muasi lazima ushughulikiwe nadhani hata sisi tusingepata uhuru maana Nyerere angeshanyongwa zamani sana miaka ya 50 huko!!
Sasa imekuaje Tanzanite kutoroshwa chini ya ukuta ambao jeshi lenyewe limeujenga?! Hivi si juzi tu tumepigwa ambush huko Msumbiji? Usiwe na confidence sana na majeshi ya nchi za kifisadi ukute hata manunuzi ya silaha watu wanakula Hela tu!!
Ndio maana PK kasema vita dhidi yake Ina value for money..... Yaani inakuzamisha kiuchumi kwa Kila Senti unayowekeza kwenye uwanja wa vita. Haya madikteta huwa yanajihami vilivyo same to Museveni ila Kwa nchi za kidemokrasia huwa masuala ya ulinzi sio top priority so you can be shocked my friend.
CCM sijawahi kuiamini kwenye chochote, kama ndege tu inazama masaa 4 na JWTZ wanasubiri wavuvi waokoe watu ndio tutaweza kuhimili ambush za Kagame?
Achana na Atomic, Jamaa yangu amestockpile Silaha za aina mbalimbali za kujihami kwa miaka ishirini na ushee, Rwanda itakuwa na Amani na Ng'ombe zitatoa Maziwa ya kutosha.Anaweza kununua N. K, za kujihami time will tell.
Mkuu, kuna tofauti kubwa kati yetu, pamoja na wewe kudhani kwamba tunakaribiana.Hongera kwa kujibu kwa hoja. Una kiwango fulani cha maturity bila kujua umri wako.
Mimi na wewe tuna mawazo yanayofanana tukichukua concept na kuacha tofauti ndogo ndogo za kibinadamu.
Mfanano wetu uko hivi:
1. Sote tunataka kufaidika kutokana na kuwa jirani muhimu kwetu na kwa Ulimwengu yaani DRC kwa maana ya sisi kuuza na kununua kwao lkn pia na bandari yetu kuwa kama lango muhimu la kuingilia DRC na hivyo nchi yetu na watu wake hasa wafanyabiashara kufaidika.
2. Sote tunakubaliana kwa concept kwamba hatuna sababu ya kumwaga damu ya vijana wetu tena.
3.Nakubaliana na wewe kwamba hatutatakiwi kukaa kuegemea migongo kwenye viti bila kushirikia mchakato wa kutafuta amani mashariki mwa DRC. Hata mimi nashangaa Kenya wamekuwa mstari wa mbele huku sisi ambao ni marafiki wa DRC tukiwa waangaliaji tu, just watchers, not observers.
Lakini natofautiana na wewe juu ya kuangalia jiografia. Mashariki mwa Congo hakuna biashara ya maana kwenye eneo la consumption zaidi ya extraction ambayo ndio hiyo inapambaniwa. Vurugu tupu.
Bado nasisitiza kuwa asali kwetu as we speak ni kusini na kusini mashariki kwa DRC.
Humjui Paulo mtu mrefu ,unamsikia tu ,lile jitu lina akili sana na uzoefu kwenye nyanja ya espionage na ni katili kupita maelezo wakianza kuhesabu roho zilizopotezwa na hilo dude , unaweza zimia ,Paulo Mtu mrefu kapiga misheni za hatari mpaka jamhuri ya kati na ana vikosi mpaka leo ,kapiga mishe za espionage mpaka Bukima faso kule west Africa tena kitambo anafanya mishe hizo na hata mauaji ya Thomas Sankara yaliinvolve spies na hitmen wake .Yule Blaize Campaore kule Bukina Faso aliyefanya yale mapinduzi alikuwa na back up ya Kagame kwa kiasi kikubwa .Hata kama,, Rwanda ni landlocked, inategemea Tanzania na kenya kwa bidhaa zake kufika rwanda,, ikitokea mtifuano, kenya na Tz wakamblock, atabakiza air corridor,,Rwanda hana airforce,, ndege yeyote inayomsupply, inaweza kutangwa njiani na ikashusha mzigo kenya au Tz,
Anachojivunia huyu kagame,, amesoma sana novels, zinamdanganya, kuwa anaweza kupenyeza hitman wake nchi za east africa,,
Lakini nchi yeyote inaweza kutuma hitmen kufanya Termination,
Kinachosekana ni nia tu🤷🏾♂️
Nyie Warundi/Warwanda huwa mwatuonaje?Hawa walioshindwa kuzuia ufisadi? Yaleyale tu but it can't be worse than Kenya.