Hata mimi imhotep nimesemwa semwa kuwa ni Mtutsi wa JF.Naanza kuwahurumia wakongo, kumbe rais wa Uganda Mtutsi, rais wa Rwanda Mtutsi, Waziri wa ulinzi Tanzania Mtutsi, M 23 ni watutsi wanaopigania maslahi ya kabila lao ndani ya Kongo, tegemeo pekee kwa wakongo katika Africa mashariki ni Ruto, poleni sana
Sababu ndio kinachowatesa wapiga kura vijana, hivyo anayeahidi ajira lazima apate kura za vijana.Kwanini alitumia ajira kwenye kampeni zake kulaghai vijana akijua kabisa uwezo huo hana?
Hao waliouawa hapo juu pichani ni waasi wa M23 ?View attachment 2434393
View attachment 2434395
Wanakufa tuu mpaka siraha zinakamatwa.
Chikii hio video siraha vinavyokamatwa
Mkuu huo ndo utajiri wa congo upo chini ya ardhi yaoSina neno la kutia. Ina utajiri wa dola trillion ngapi ,duu yaani afrika kweli sie Ni matajiri kinyama yaani hata wazungu maisha waliyo nayo wakiiba Mali zetu. Ni sawa na ufaransa Ina hifadhi kubwa ya gold Ila Mali inakotoka gold Ni ndogo ama hakuna kabisa. Ni sawa uk Wana madini waliyoiba Tanganyika. Pia imejengwa kwa kuwatumikisha waafrika Kama manamba ama watumwa.
Una Imani na kitu chochote chini ya CCM? Ukute hata Hela za mafuta ya ndege zimeshaliwa kitambo!! Jiulize ajali kama ya precision jeshi lilikua wapi? What if it was a terrorist attack/hijack mpaka wanafika si wangekuta wote wamepigwa risasi?Nyie Warundi/Warwanda huwa mwatuonaje?
Yaaa mbona ilivuja sana mkuu hii, hasa kwenye vyumbo vya ambali ya congo di vingine .Hao waliouawa hapo juu pichani ni waasi wa M23 ?
Siwaamini kwa lolote ila kijeshi sidhani kama yatakuwa kama ya Urusi, vifaru kukosa mafuta au barrel kutofanya kaziUna Imani na kitu chochote chini ya CCM? Ukute hata Hela za mafuta ya ndege zimeshaliwa kitambo!! Jiulize ajali kama ya precision jeshi lilikua wapi? What if it was a terrorist attack/hijack mpaka wanafika si wangekuta wote wamepigwa risasi?
Anyway although hatupo level zetu za enzi zile ila majirani zetu Kenya ni wabovu zaidi so that makes us the best over the rest.
OkWatutsi wamepachikwa picha mbaya ila nna uhakika sana sio watusi wote wako na tabia kama za kina kagame na Museveni.
Kinachomsumbua kagame ni limited resources na uzalendo kwa watu wa asili yake.
Kingine kinachowasumbua watusi hasa wa rwanda ni ugumu wa mioyo yao kuachilia na roho ya visasi inayowaandama na hii iko kwenye DNA ila tukumbuke mazingira yanabadilisha genotype za watu so wanaweza kubadilika lakini ni mpaka wakubali kuachilia.
Hili swala la wao kujiona superior nahisi limechangiwa sana na wakoloni lakini pia ni mifumo yao ya uongozi wa ukabaila na unyarubanja ambapo wao walikuwa machifu. Ila ni kitu kinaweza kubadilishwa, ikumbukwe tena ni watu wa kushikilia sana so bado wana hiyo mitazamo ya kuwa wao ni superior lakini hiyo kitu imeisha katika dunia ya sasa.
when you are solving complex problem you need to develop a complex model of equations, and assumption must be minimized in order to obtain exact results.
NARUDIA TENA MZOZO WA UKOSEFU WA AMANI YA MAZIWA MAKUU NI MKUBWA ZAIDI YA WATU WATU WANAVYOUTAZAMA.
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums
Kwahiyo ukitishwa unaogopa? Nawe toa tamkoRais Paul Kagame alikuwa anaapisha mawaziri wapya hapo jana mapema. Alianza kutoa hotuba yake kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini baadae akahamia kwenye lugha ya Kiingereza na baadaye akatoa kitisho kizito kwa lugha ya Kiswahili. Wengi wetu tumeona hicho kipande chenye lugha ya kiswahili kikisambaa huko mitandaoni hasahasa kwa raia wa Tanzania na Kenya. Kitendo cha kusambaa mtandaoni kwa kasi hivi, inaonesha kabisa walengwa wa ujumbe ni watu gani.
Kwenye FASIHI njia moja kuu ya kufikishia ujumbe ni kuifahamu HADHIRA, lakini kubwa zaidi ni kufahamu lugha ambayo HADHIRA hutumia. Siku zote kimetumika Kinyarwanda na Kiingereza, lakini leo hii na Kiswahili juu, tena sehemu ambayo anatoa vitisho. Kwenye Dakika ya 27, ameanza kuwaliza mawaziri wake kama wanafahamu lugha ya kiswahili, wakamjibu wanelewa, ndipo akaanza kuzungumza kiswahili.
Huu ujumbe siyo wa wanyarwanda, wazungumzaji wakubwa wa lugha ya kiswahili wanafahamika, hivyo hicho kitisho ni ujumbe kwenu. Hajataja mhusika, mimi binafsi sitamtaja, lakini naamini walengwa mapema leo, watakuwa washafikiwa na huu ujumbe.
Alichokisema Rais Paul Kagame ni kwamba ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi. Kwamba Rwanda doesn't have the means, but they have the methods (ways). Hivyo kijiografia Rwanda ni nchi ndogo isiyo na rasilimali nyingi, lakini wao siyo migomba mifupi kama wanavyofikiriwa. Binafsi naamini, haivuki miaka miwili (2) kuna mtu kwenye huu ukanda wetu wa maziwa makuu atatoa kilio kikubwa sana.
View attachment 2433276
Aipindue mara ngapi ? ,unaongelea Congo hii au Congo ya Mars ? ,Congo hii ambayo kaifanya kama chooni kwake ? , he shit in it anyway and anyhow he want , hujui kwamba Yule commander , tena the best and trusted military commander of all time na tegemeo wa Paulo Kagame ,Yule Kabarebe aliwahi kuwa mkuu wa jeshi la Congo ? ,Au Hilo nalo mpaka uambiwe ?,yule Joseph Kabila junior ni kibaraka wa Kagame mpaka leo hii sasa angekpindua ili iweje ,kipindi cha kabila we uliwahi ona misuguano kati Kagame na Kabila junior ? .Mpira unafananisha na vita.
Kagame anaijua vizuri sana congo.
Baada ya second congo war , waasi wa RCD walikuwa ni watutsi wengi wao kutoka rwanda.
Na baada ya ile vita 2003, na kusaidiwa matamba walikubaliana waasi wa RCD wajiunge kwenye jeshi la congo , wacongo coz walikuwa WANATAKA kumaliza wakalazimika kufanya hivyo. Bila kujali kundi la RCD walikuwa ni wanajeshi la rwanda .
Na kweli wanajeshi wa rwanda wakaingia ndani ya jeshi la congo. Na waliingia wengi tuu.
Lakini baada ya kuingizwa amejitaidi sana KUMPINDUA kabila mdogo na wanajeshi wake hao hao aliyowapenyeza ila akashidwa mpaka leo.
Jeshi lake mara ya mwisho kufika Kinshasa ni 1997 kama sijakosema. Licha ya kupenyeza wanajeshi wengi ndani ya jeshi la congo na kuwatumia kina laurent nkunda batwale, bosco ntaganda na wengine kashidwa kuipindua serikali ya congo.
Walishugulika nao Sana tu, ndio maana kwa Sasa sio kitisho kikubwa Sana....ila kuwamaliza imekuwa vigumu sababu wengi wao wameshajichanganya na wenyeji au wanashirikiana na waasi kama maimai ambao ni wenyeji wa huko..Tatu, Rwanda na Uganda walivamia Drc na kukalia eneo kubwa la nchi hiyo. Kwanini hawakushughulika na waasi wa Fdlr?
Mkuu first and second congo war aliyekuwa anamfadhili kagame ni USA , under Bill Clinton, nimekuwekea kitabu hapo juu fuatilia mkuu.Mobutu alivamiwa na nchi nyingi so alizidiwa, same to Gadaffi na Hussein walipambana na NATO/US so hauwezi expect washindw vita.
Hapo labda Idd Amin ndio dikteta pekee aliyenyooshwa ilihali ana jeshi imara. Lakini Kagame is slightly better than Amin maana yupo more organized kuanzia kidiplomasia, kijeshi na kiuchumi so anaweza sustain vita za muda mrefu kama.tulivuoshudia 1996-2003
Mkuu hapo kwa kusema kawaunganisha warwanda mbona unatupanga ๐,pk hamna alipofeli hapo rwanda kama ukabila na udikteta,population ya rwanda tutsi awafiki hata 30% lakini most ya idara za kiserikali na kiraia zinaendeshwa na tutsiHapana, anastahili Sifa za kipekee kabisa,kwanza alikomesha mauaji ya raia wa Rwanda waliokuwa wanauliwa na Serikali yao pili ameituliza Rwanda tatu kawaunganisha Wanyarwanda nne kaenda kuwapiga Magaidi kwa siku chache tu na kuwatoa katika Miji ya Jimbo hilo la Msumbiji kaskazini.
Teh teh teh ๐๐๐ huu uzi una vituko kweli kweli..๐๐Mimi sio Mnyarwanda Asili ya.ngu Katesh.
Na Chadema nimeipenda mwenyewe well..let me be honest ni baada ya Sumaye kuhamia Chadema nikamfuata๐