imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
'Drunk' Congo soldiers run amok killing 15
Source:AFP
Sasa hebu niwaulize wale wenye nia nzuri ya kutafuta Amani ya kudumu Mashariki ya DRC hili Jeshi litaweza kulinda mipaka ya DRC ili Vikundi vya Waasi wa Kihutu visiweze kutumia Ardhi ya DRC au sisi Watanzania tushirikiane na Rwanda na Uganda tulisuke upya Jeshi la DRC kwa masharti ya M23 kuwa katika Jeshi hilo la DRC.
Source:AFP
Sasa hebu niwaulize wale wenye nia nzuri ya kutafuta Amani ya kudumu Mashariki ya DRC hili Jeshi litaweza kulinda mipaka ya DRC ili Vikundi vya Waasi wa Kihutu visiweze kutumia Ardhi ya DRC au sisi Watanzania tushirikiane na Rwanda na Uganda tulisuke upya Jeshi la DRC kwa masharti ya M23 kuwa katika Jeshi hilo la DRC.