Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

 
Please weka hii nondo kwenye uzi .ume match thoughts zangu
 
Labda hizo methods apate kwa mabwana zake huko USA na Ulaya na njia kubwa wanayoweza kutumia Ni kuratibu mapinduzi au sumu kwa Viongozi na sio kwenda front hiyo jeuri hawana.
Huo ndio ukweli Hana uwezo wa kuja Frontline face to face

Labda kwa kutuma spies wake waue mafichoni.

Kama. Anaona anaweza "afanye kama anajikuna tuone*"
 
Hakika alifikisha ujumbe kwa wauzika was kiswahili na ka inch fln kilichopeleka wanajeshi wake kwa kukurupuka ngoja tuone
 
Kasahau kuwa J............k Bado yupo
 
Hali yake ni mbaya sana tangu Sir Ruto kuingia imekuwa pigo kwake alijaribu kumtumia mtoto wa museveni kuchonganisha ikabuma,ni kati ya marais wapumbavu EAC anayetumika na mabeberu bila kificho
Sas kosa kubwa waliliolifanya congo Ni kuruhusu uganda Kama moja wa wana operation Ni kosa San kitakacho watokeaa jeshi la waKenya mtaonaa

Ni full uzaliti
 
Magufuli (rip) aliyekuwa anatuhimiza kufanya kazi kwa bidii hayupo, sasa kwa nini tusishinde mitandaoni? Enzi za kuuza ngada na kujikusanyia mipesa na kushinda vijiweni zimerudi, wewe unataka tuwe bize na nini tena?
Kalaga baho, zama hizi kila kitu kinapanda bei bado hamhamasiki kufanya kazi tu, kalaga baho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…