Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

Hujamuelewa naona katumia Kiswahili ili kuongea na wakongomani wa kunako uwanja wa mapambano maana wanazungumza Kiswahili cha ‘kwa fasi ya’
Kwakweli ni Speech nzuri, na amegusa mambo yote muhimu na sintofahamu zinazosambazwa na Watu wasiotaka Amani italamaki katika Kongo ya Mashariki

Kudos Raisi wa Rwanda Paul Kagame.
 
Wacha woga wewe, Rwanda anaweza kutisha nchi dhaifu siyo imara
 
Wewe no zwawa ndio maana huna sequence ya unachoongea..

Ukipiga hatua hujipongezi Lisa hujafikia viwango ulivyotarajia?
 
Mbona alishafanya 1st and 2nd Congo war. Unless umesahau vifo vya Congolese million 5 kati ya 1998 na 2003!!
 
Hali yake ni mbaya sana tangu Sir Ruto kuingia imekuwa pigo kwake alijaribu kumtumia mtoto wa museveni kuchonganisha ikabuma,ni kati ya marais wapumbavu EAC anayetumika na mabeberu bila kificho
Ruto kwa Kagame ni sisimizi tu, majibu atayapata kama kilichowakuta kule Kapedo!!
 
Bila kupepesa macho mi nipo upande wa kagame , namkubali Sana Raisi anayeipambania nchi yake...!! Huwez kuwa unaninyonya , umeme hakuna alaf wakat wa shida nikupambanie
Mbona ikifika utapelekwa frontline kwa lazima
 
Kuna haja ya kuifuta Rwanda kwenye ramani ya Africa sasa. Hayo majigambo yake yanafaa yajibiwe kama alivyojibiwa Dada Iddi Amin
 
Mama kamuweka BASHUNGWA wizara ya Ulinzi hakika atavuna alichokipanda kwa Mnyarwanda huyu
Sio kweli bashungwa kama kisu kisicho na makali kuchinjia ng’ombe
Je unajuwa yule mama alipopewa uwaziri wq ulinzi kuna wakuu wa jeshi walimgomea.
 

Una uhuru wa maoni ila thubutu, mahuasiano ya kimataifa sio hizi tambo unaleta hapa ulizozoea za Simba/Yanga....
 
Unajua ili ufike Rwanda tokea Kenya lazima Upite Uganda?
 
Kuna haja ya kuifuta Rwanda kwenye ramani ya Africa sasa. Hayo majigambo yake yanafaa yajibiwe kama alivyojibiwa Dada Iddi Amin
Kushindwa Vita kunatakiwa vitu viwili 1. Support ya wananchi 2. Jeshi imara

Kikikosekana kimoja Kati ya hvyo viwili hamna kitu utafanya...sasa jiulize wananchi wako na wewe au wamepoteza matumaini na serikali yako
 
Huyu Usitake Ncheke anajikuta na yeye ni kama Israel ndani ya Middle East!,kutwa kuwaasumbua Waarabu.Lakini JK alikosea sana kipindi kile alivyowachapa M23 na kumuacha huyu mwehu madarakani.
Tanzania ndo ingepata hasara maana angetuletea Wakimbizi ambao wangekuja lipa kisasi hata miaka 50 ijayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…