Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

Umemaliza vibaya? Naona wengi hamuelewi huu mgogoro, sio wa DRC na Rwanda Bali ni kikabila so huko DRC Kuna makabila yenye asili ya "kitutsi" be it masasi, minova, all the way to ituri huko juu kwa wagegere,lendu, na wahema etc.

Kwa upande mwingine Kabila za DRC zipo weak ila hao M23/Banyamulenge! wanatumia support ya Kigali na Kampala, Sasa unadhani Kinshasa itashinda? Kwa lipi? Zaidi utasikia Fatshi kapata stroke "ghafla"
 
Wanyarwanda wamejipenyeza karibia kila sekta hapa nchini. Intelligence wako busy tu na issues za Chadema, uchawa na uchaguzi wa 2025. Kale kajamaa kaliwahi mkoromea msoga akaufyata kimya. Wenzetu wanaoperate kwenye viwango vingine kabisa sisi tumelala.
 
Una uhuru wa maoni ila thubutu, mahuasiano ya kimataifa sio hizi tambo unaleta hapa ulizozoea za Simba/Yanga....
Mpo divided kwa ukabila, hata wanajeshi wenu waliopo DRC Wana identify kwa makabila so Kuna wanaona Furaha mkitwangwa Ili tu kushusha approval ratings za Ruto!!!

Kingine nje ya siasa za ukabila, mko weak sana kama tu huko Kapedo mlinyooshwa ndio mnadhani huko Goka mtatoka salama?

Usalama wenu upo fragile usilete ujuaji, sisi Tanzania unaweza kwenda kokote pale usiogope ila wewe unaweza kwenda NFD regions?? Unaweza pita Samburu or West Pokot kwa Amani? Hapo Bado Nairobi tu mna hofu ya shambulio jingine!!

Weak nation afu mnaleta ujuaji kwa PK..... Hizo vita waachieni Tz na UG ndio Wana Ubavu sio nyie weaklings.
 
Point!
 
Ukisoma comments hapa utaelewa kweli jiwe limetupwa gizani, na wanaenjoy tunavyo onyesha hofu zetu, na kuthibitisha kuwa PK anatisha.
 
Watanzania wengi tumekuwa waimba pambio za watawala, unaimba sauti ya ngapi Mkuu?
 
Hiv mnadhan hao mawaziri wana say yoyote ile na wakuu wa vyombo ulinzi na usalama wakae kuitikia tuu kisa waziri kasema?
Huyo bashungwa hapo ni box tu
Bashungwa alipokuwa TAMISEMI... Alikuwa anasumbua sana watu na miradi yao ya upigaji... Kumpoteza ni kumtuliza ulinzi huko.
 
Kwa kumsikiliza inaonekana Kenya katembeza kichapo balaa jamaa washarudishwa mpaka border ya Rwanda.

Anajihami sasa risasi zikifika Rwanda ni uchokozi.
Nilishasema tokea mwanzo, hao M23 wakikimbilia Rwanda basi wafuatwe huko huko! Kama Iddi Amini alivyofanyiwa
 
Mnaioverrate sana Rwanda. Mfano Rwanda ili ifike ardhi ya Kenya inatumia nini? Rwanda hawana Air Force wala means ya kufika Kenya, silaha chache tu na landlocked, ikitokea vita ya Kenya na Rwanda wapigane kwenye ardhi zao wenyewe vita inaweza isha hakuna troops wa Rwanda wamekanyaga Kenya na Rwanda inapigwa mapema tu.

Ukiwa battle hardened kwenye guerilla, huna kabisa au una kwa uchache artillery, howitzers, rocket launchers, fighters, tanks na bajeti ya kununua hivyo vitu wanajeshi wako watapigana kwa kuvizia ila sio full blown war.

Jeshi imara hutengenezwa, hawazaliwi tu wakiwa imara. Sasa sijui unatumia kigezo gani kwamba Kenya hawawezi unda jeshi imara. Ingekuwa ni suala la urithi ungekuwa na hoja. Btw Rwanda ilishafanya genocide na kuua tens of thousands of civilians mbona hatujatumia kama kigezo cha kuwa na nchi weak isiyo na umoja. Nchi ina makabila mawili hasimu na wameuana sana tu na wanazidi kutafutana, hutaki kuona hilo ila unawaona Kenya kwamba hawapendani
 
Kagame ni snitch sana kanatumika na USA na UK.jamaa ni kanifiki kama walivyo watu wa Singida.
Kuna wakati UK walitaka wahamiaji haramu wote wa Afrika huno UK wakatupwe kwemye makambi Rwanda kwa malipo maalum, jamaa ni snitch hasa!
 
Sasa ndio umeongea Nini wewe zwazwa? Ukweli upo tunaouona ?
Tanzania kwasasa haina ubavu wa kupigana Vita Kwasababu kubwa zifuatazo:

  • Watanzania na watawala kwa Sasa siyo wamoja na raia.
  • UNAFIKI mwingi sana
  • CCM imechokwa
  • Serikali ni dhaifu sana

Vita ya Uganda tulishinda kwa UMOJA wetu, utengano wa Waganda na Ukubwa wa Jeshi letu uliotokana na kuchukua vijana mtaani wote na kiwatrain kwenda vitani.

Sasa hivi, hii serikali yenye watu vichwa panzi hata Burundi wakiwa committed wanatupiga
 
Karibu kuivamia tuone hayo unahoyasema
 
Unaota ukiwa umekalia nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…