Paul Makonda amtaka mwandishi kumuuliza mama yake baada ya kumhoji tuhuma za kumshambulia Lissu

Paul Makonda amtaka mwandishi kumuuliza mama yake baada ya kumhoji tuhuma za kumshambulia Lissu

Makonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma

Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO

Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika

Damu ya mtu ni nzito bana
Kwa kusema hivyo amewatuka** Wamama zetu wote. I am gender sensitive. Waache Wamama wana heshima zao.
 
Yaani kuna watu wana akili za hovyo sana kudhani jibu la makonda ni sahihi.

Kwenye ulimwengu wa uandishi wa habari. Kuna kitu kinaitwa kubalance story.

Na hii story ya makonda huyo mwandishi akiamua kumkaanga makonda anaweza kuweka bonge la headline.

Mwandishi ataweka tuhuma dhidi ya makonda kama ilivyosema na Lissu.

Kisha atasema alipoulizwa Paul Makonda juu ya tuhuma hizo. Hakukanusha wala kuonesha kusikikitishwa zaidi alijibu "kamuulize mama Yako".

HIvyo mwandishi anaweza kusema mengi mabaya dhidi ya Makonda kwa sababu makonda alipewa nafasi kujibu hoja badala hata kuikana kwanza kisha kutoa maelezo mengi. Amekaa kimya na kutoa kejeli.

Ingekuwa mahakamani naamini unajua hakimu angefanya nini. Umesomewa shitaka badala ya kulikana kwanza, umeishia kutoa kejeli
 
Makonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma

Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO

Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika

Damu ya mtu ni nzito bana
Huyu mwandishi mjinga sana tena sana. Na tena inatakiwa ashughulikiwe tujue ana cheti halali cha uandishi. Wewe Lisu mwenyewe alishasema Dkt Magufuli alituma watu wakamuue halafu tena wewe mwandishi unaenda kumuuliza mtu mwingine ni akili kweli??!
 
Yaani kuna watu wana akili za hovyo sana kudhani jibu la makonda ni sahihi.

Kwenye ulimwengu wa uandishi wa habari. Kuna kitu kinaitwa kubalance story.

Na hii story ya makonda huyo mwandishi akiamua kumkaanga makonda anaweza kuweka bonge la headline.

Mwandishi ataweka tuhuma dhidi ya makonda kama ilivyosema na Lissu.

Kisha atasema alipoulizwa Paul Makonda juu ya tuhuma hizo. Hakukanusha wala kuonesha kusikikitishwa zaidi alijibu "kamuulize mama Yako".

HIvyo mwandishi anaweza kusema mengi mabaya dhidi ya Makonda kwa sababu makonda alipewa nafasi kujibu hoja badala hata kuikana kwanza kisha kutoa maelezo mengi. Amekaa kimya na kutoa kejeli.

Ingekuwa mahakamani naamini unajua hakimu angefanya nini. Umesomewa shitaka badala ya kulikana kwanza, umeishia kutoa kejeli
Makonda yupo sahihi kabisa. Huyo mwandishi anatakiwa kuadabishwa ili kukomesha waandishi wajinga
 
Yaani kuna watu wana akili za hovyo sana kudhani jibu la makonda ni sahihi.

Kwenye ulimwengu wa uandishi wa habari. Kuna kitu kinaitwa kubalance story.

Na hii story ya makonda huyo mwandishi akiamua kumkaanga makonda anaweza kuweka bonge la headline.

Mwandishi ataweka tuhuma dhidi ya makonda kama ilivyosema na Lissu.

Kisha atasema alipoulizwa Paul Makonda juu ya tuhuma hizo. Hakukanusha wala kuonesha kusikikitishwa zaidi alijibu "kamuulize mama Yako".

HIvyo mwandishi anaweza kusema mengi mabaya dhidi ya Makonda kwa sababu makonda alipewa nafasi kujibu hoja badala hata kuikana kwanza kisha kutoa maelezo mengi. Amekaa kimya na kutoa kejeli.

Ingekuwa mahakamani naamini unajua hakimu angefanya nini. Umesomewa shitaka badala ya kulikana kwanza, umeishia kutoa kejeli
Kwanini muhangaike kuhoji wakati Lissu ameshasema Makonda alihusika hahahahaha
 
Makonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma

Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO

Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika

Damu ya mtu ni nzito bana
Ningekuwa tanzania huyo mwandishi ningemgulia mashitaka
 
Makonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma

Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO

Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika

Damu ya mtu ni nzito bana
Mi nadhani mwandishi alitoa fursa ya kumwepusha makonda na shutuma hizi.Lakini kwa majibu haya ya hasira,shutuma zinazidi kupata nguvu kwa jamii
 
Ndio jibu alilopaswa kupewa huyo muandishi! Kwa hiyo kama ni kweli huyo Muandishi alitegemea apate jibu la ndio kutoka kwa makonda!

Mimi naongezea na akamuhoji na baba yake…..
Hilo swali lilikuwa la msingi Sana, hasa kwavile Makonda hakutegemea na ndio maana akahamaki, swali kama hilo kaulizwa P.Diddy juzi Kati kwamba je anahusika na kifo cha Tupac, Jamaa akahamaki kiasi kwamba watu wakaanza kutilia Shaka, Mwandishi apewe maua yake kwa uthubutu.
 
Back
Top Bottom