Paul Makonda amtaka mwandishi kumuuliza mama yake baada ya kumhoji tuhuma za kumshambulia Lissu

Paul Makonda amtaka mwandishi kumuuliza mama yake baada ya kumhoji tuhuma za kumshambulia Lissu

Natoa angalizo hili mapema ili tusije kuchafua amani kizembe.

Mwanasiasa aliyekomaa anapokuwa Majukwaani ni lazima akubali kuhojiwa na kuulizwa maswali, Ukijifanya unapokea kero, ni lazima ukubali pia kuulizwa.

Kwamba 'KAMHOJI MAMA YAKO' haiwezi kuwa kauli kutoka kwa kiongozi Makini, tena wa Chama kizee kama CCM.

Sasa tusikie Mwandishi huyo ametekwa, PATACHIMBIKA!
 
Makonda tungekuwa na utawala bora angekuwa magereza kitambo sn
Sasa mbona tunamshambulia Makonda kuliko hao wenye mamlaka ya uteuzi?! Watu wanaotakiwa kuumia zaidi ni wanachama wa CCM, wajitokeze wapinge uteuzi wake.

Kwa kelele hizi kutoka kwa mahasimu wao kisiasa watajivuna uteuzi wao ni sahihi hata kama una madhara.
 
Makonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma

Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO

Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika

Damu ya mtu ni nzito bana
View attachment 2815475
Angeulizwa jina lake halisi ingekuwaje?
 
Natoa angalizo hili mapema ili tusije kuchafua amani kizembe.

Mwanasiasa aliyekomaa anapokuwa Majukwaani ni lazima akubali kuhojiwa na kuulizwa maswali , Ukijifanya unapokea kero , ni lazima ukubali pia kuulizwa .

Kwamba 'KAMHOJI MAMA YAKO' haiwezi kuwa kauli kutoka kwa kiongozi Makini , tena wa Chama kizee kama ccm .

Sasa tusikie Mwandishi huyo ametekwa , PATACHIMBIKA !
Nilijua hajaguswa kwenye mfupa.. Kaonesha rangi zake halisi sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natoa angalizo hili mapema ili tusije kuchafua amani kizembe.

Mwanasiasa aliyekomaa anapokuwa Majukwaani ni lazima akubali kuhojiwa na kuulizwa maswali , Ukijifanya unapokea kero , ni lazima ukubali pia kuulizwa .

Kwamba 'KAMHOJI MAMA YAKO' haiwezi kuwa kauli kutoka kwa kiongozi Makini , tena wa Chama kizee kama ccm .

Sasa tusikie Mwandishi huyo ametekwa , PATACHIMBIKA !
Kwamba 'KAMHOJI MAMA YAKO' haiwezi kuwa kauli kutoka kwa kiongozi Makini , tena wa Chama kizee kama ccm .[emoji848][emoji3064][emoji1544]
Ndio tatizo la kuokoteza masalia jalalani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma

Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO

Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika

Damu ya mtu ni nzito bana
View attachment 2815475
Ndio majibu ya viongozi wengi wa Ccm.
Wakisimama jukwaani hujiona Mungu watu.
Kwamba litokalo mdomoni kwake hata kama ni ushuzi yeye kutamka ni sawa.
 
Maana yake kwa sasa hataki kutolewa kwenye right track kwa tuhuma na maswali uchwara.

Ukimfata uwe na maswali ya kueleweka. Kazi yake inazidi kupokelewa.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom