Ndoano hii kaimeza vibaya sana. Ndo basi tena.Makonda atakimbia Majukwaani muda si mrefu , kawekewa chambo kameza ndoano , Kwisha habari yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoano hii kaimeza vibaya sana. Ndo basi tena.Makonda atakimbia Majukwaani muda si mrefu , kawekewa chambo kameza ndoano , Kwisha habari yake
na kweli makonda atamuua, Samia will be to blameNatoa angalizo hili mapema ili tusije kuchafua amani kizembe.
Mwanasiasa aliyekomaa anapokuwa Majukwaani ni lazima akubali kuhojiwa na kuulizwa maswali, Ukijifanya unapokea kero, ni lazima ukubali pia kuulizwa.
Kwamba 'KAMHOJI MAMA YAKO' haiwezi kuwa kauli kutoka kwa kiongozi Makini, tena wa Chama kizee kama CCM.
Sasa tusikie Mwandishi huyo ametekwa, PATACHIMBIKA!
Mwandishi yuko sahihi na amefanya kazi yake vizuriHawa Waandishi wengine Huwa wanajitafutia matatizo wenyewe.Ukiwa unasomea udreva unaambiwa Ukiona kuwa unaweza kuzuia ajari jitahidi uizuie hata kama wewe utakuwa upande sahihi.
Mwandishi kafanya kazi yake vyemaNdio jibu alilopaswa kupewa huyo muandishi! Kwa hiyo kama ni kweli huyo Muandishi alitegemea apate jibu la ndio kutoka kwa makonda!
Mimi naongezea na akamuhoji na baba yake…..
Kwa weusi mwanamke bado sana nafasi kama hiyoHivi chief Hangaya anaona kumteua Bashite ndio kauweza mchezo wa siasa? 🙄
HakikaMi nadhani mwandishi alitoa fursa ya kumwepusha makonda na shutuma hizi.Lakini kwa majibu haya ya hasira,shutuma zinazidi kupata nguvu kwa jamii
Safi sana. Hayo ndio majibu wanayotakiwa kupewa watu wapumbavu!Ndio jibu alilopaswa kupewa huyo muandishi! Kwa hiyo kama ni kweli huyo Muandishi alitegemea apate jibu la ndio kutoka kwa makonda!
Mimi naongezea na akamuhoji na baba yake…..
Kwa kosa lipi? Au mamaako alikusimulia mabaya yake?Makonda tungekuwa na utawala bora angekuwa magereza kitambo sn
Ndio jibu alilopaswa kupewa huyo muandishi! Kwa hiyo kama ni kweli huyo Muandishi alitegemea apate jibu la ndio kutoka kwa makonda!
Mimi naongezea na akamuhoji na baba yake…..
Safi sana. Hayo ndio majibu wanayotakiwa kupewa watu wapumbavu!
sasa wew yule ushawahi sikia hata mara moja ana hekima???..mtu mpumbavu ndiye anayetukana akiulizwa maswali. Kiongozi wa umma anatakiwa awe na busara na heshima kwa watu wote.
Magumashi alitoa amri na Bashite alisimamia utekelezaji wa amri hiyo.Lissu si alisema Magufuli alieatuma watu kwa hiyo sasa hivi ni Makonda aliwatuma watu tena hahaha
An eye for an eye. Ukiuliza maswali ya kipumbavu, utapata majibu yanayoendana na maswali yako. Kumbuka majibu ya Mwl. Nyerere akiwa Uwanja wa Ndege pale Nairobi enzi akiwa Rais. Kama hujui gugu!!..mtu mpumbavu ndiye anayetukana akiulizwa maswali. Kiongozi wa umma anatakiwa awe na busara na heshima kwa watu wote.
Sasa nani alimshambulia Lissu ni Makonda au Magufuli? Mwandishi kwanini hajakwenda kwa Mama Magufuli(Mama Janet) kumuhoji kuhusu tuhuma juu ya mumewe ?😂😂😂..hapana.
..Makonda hakutakiwa kumtusi mwandishi aliteuliwa swali.
..Makonda alipaswa kuwa muungwana na kujibu kuwa hakuhusika na tukio hilo.
Waandishi hawa uchwara wameshazoea kuhoji udaku wa kina gigy money size yake tu!Ndio jibu alilopaswa kupewa huyo muandishi! Kwa hiyo kama ni kweli huyo Muandishi alitegemea apate jibu la ndio kutoka kwa makonda!
Mimi naongezea na akamuhoji na baba yake…..
Lini umesikia Chadema inamjadili Makonda?Upinzani tumelowa, tumebaki tunajifariji.
Focus imekuwa Makonda kuliko hao waliomteua, kesho akipigwa chini kutakuwa na hoja gani nyingine ya kupiga kelele?