Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #21
Naunga mkono hoja 👍👏Makonda tungekuwa na utawala bora angekuwa magereza kitambo sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja 👍👏Makonda tungekuwa na utawala bora angekuwa magereza kitambo sn
Ni mtu hatari snNaunga mkono hoja 👍👏
Kwa kusema hivyo amewatuka** Wamama zetu wote. I am gender sensitive. Waache Wamama wana heshima zao.Makonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma
Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO
Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika
Damu ya mtu ni nzito bana
Tunauita udereva wa kujihamiHawa Waandishi wengine Huwa wanajitafutia matatizo wenyewe.Ukiwa unasomea udreva unaambiwa Ukiona kuwa unaweza kuzuia ajari jitahidi uizuie hata kama wewe utakuwa upande sahihi.
Ingekuwa hivyo wale waandishi wanaowahoji viongozi wa vikosi na kuchukua picha zao vitani wasingekuwepo.Tunauita udereva wa kujihami
Huyu mwandishi mjinga sana tena sana. Na tena inatakiwa ashughulikiwe tujue ana cheti halali cha uandishi. Wewe Lisu mwenyewe alishasema Dkt Magufuli alituma watu wakamuue halafu tena wewe mwandishi unaenda kumuuliza mtu mwingine ni akili kweli??!Makonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma
Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO
Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika
Damu ya mtu ni nzito bana
Makonda yupo sahihi kabisa. Huyo mwandishi anatakiwa kuadabishwa ili kukomesha waandishi wajingaYaani kuna watu wana akili za hovyo sana kudhani jibu la makonda ni sahihi.
Kwenye ulimwengu wa uandishi wa habari. Kuna kitu kinaitwa kubalance story.
Na hii story ya makonda huyo mwandishi akiamua kumkaanga makonda anaweza kuweka bonge la headline.
Mwandishi ataweka tuhuma dhidi ya makonda kama ilivyosema na Lissu.
Kisha atasema alipoulizwa Paul Makonda juu ya tuhuma hizo. Hakukanusha wala kuonesha kusikikitishwa zaidi alijibu "kamuulize mama Yako".
HIvyo mwandishi anaweza kusema mengi mabaya dhidi ya Makonda kwa sababu makonda alipewa nafasi kujibu hoja badala hata kuikana kwanza kisha kutoa maelezo mengi. Amekaa kimya na kutoa kejeli.
Ingekuwa mahakamani naamini unajua hakimu angefanya nini. Umesomewa shitaka badala ya kulikana kwanza, umeishia kutoa kejeli
Kwanini muhangaike kuhoji wakati Lissu ameshasema Makonda alihusika hahahahahaYaani kuna watu wana akili za hovyo sana kudhani jibu la makonda ni sahihi.
Kwenye ulimwengu wa uandishi wa habari. Kuna kitu kinaitwa kubalance story.
Na hii story ya makonda huyo mwandishi akiamua kumkaanga makonda anaweza kuweka bonge la headline.
Mwandishi ataweka tuhuma dhidi ya makonda kama ilivyosema na Lissu.
Kisha atasema alipoulizwa Paul Makonda juu ya tuhuma hizo. Hakukanusha wala kuonesha kusikikitishwa zaidi alijibu "kamuulize mama Yako".
HIvyo mwandishi anaweza kusema mengi mabaya dhidi ya Makonda kwa sababu makonda alipewa nafasi kujibu hoja badala hata kuikana kwanza kisha kutoa maelezo mengi. Amekaa kimya na kutoa kejeli.
Ingekuwa mahakamani naamini unajua hakimu angefanya nini. Umesomewa shitaka badala ya kulikana kwanza, umeishia kutoa kejeli
Ningekuwa tanzania huyo mwandishi ningemgulia mashitakaMakonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma
Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO
Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika
Damu ya mtu ni nzito bana
Mi nadhani mwandishi alitoa fursa ya kumwepusha makonda na shutuma hizi.Lakini kwa majibu haya ya hasira,shutuma zinazidi kupata nguvu kwa jamiiMakonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma
Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO
Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika
Damu ya mtu ni nzito bana
Lissu si alisema Magufuli alieatuma watu kwa hiyo sasa hivi ni Makonda aliwatuma watu tena hahahaKwa kusema hivyo amewatuka** Wamama zetu wote. I am gender sensitive. Waache Wamama wana heshima zao.
Kwani hizo shutuma sio za magufuli tena ni za Makonda? Kwani leo ndio zimeanza kupata nguvu hahahMi nadhani mwandishi alitoa fursa ya kumwepusha makonda na shutuma hizi.Lakini kwa majibu haya ya hasira,shutuma zinazidi kupata nguvu kwa jamii
Hilo swali lilikuwa la msingi Sana, hasa kwavile Makonda hakutegemea na ndio maana akahamaki, swali kama hilo kaulizwa P.Diddy juzi Kati kwamba je anahusika na kifo cha Tupac, Jamaa akahamaki kiasi kwamba watu wakaanza kutilia Shaka, Mwandishi apewe maua yake kwa uthubutu.Ndio jibu alilopaswa kupewa huyo muandishi! Kwa hiyo kama ni kweli huyo Muandishi alitegemea apate jibu la ndio kutoka kwa makonda!
Mimi naongezea na akamuhoji na baba yake…..
Tungekuwa na media zenye ajili hapo mwamba angesusiwa na waandishi ! Lakini hizi za akina paschal mayala basi tu yatacheka na maisha yatasongaNa itamtafuna mpaka hata waliompa cheo hicho
Na bado !Makonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma
Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO
Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika
Damu ya mtu ni nzito bana
Makonda atakimbia Majukwaani muda si mrefu , kawekewa chambo kameza ndoano , Kwisha habari yakeNdio jibu alilopaswa kupewa huyo muandishi! Kwa hiyo kama ni kweli huyo Muandishi alitegemea apate jibu la ndio kutoka kwa makonda!
Mimi naongezea na akamuhoji na baba yake…..
Mkuu kwa hiyo chadema ajenga itakuwa ni kupigwa risasi Lissu?😂😂😂Makonda atakimbia Majukwaani muda si mrefu , kawekewa chambo kameza ndoano , Kwisha habari yake