spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Anachezesha wire na anajua protective gear zake ni unga unga mwanaHawa Waandishi wengine Huwa wanajitafutia matatizo wenyewe.Ukiwa unasomea udreva unaambiwa Ukiona kuwa unaweza kuzuia ajari jitahidi uizuie hata kama wewe utakuwa upande sahihi.
Mzee Malecela aliwahi kuwaambia waandishi waende kuzimu. CCM ina wahuni wengi sanaNdio majibu ya viongozi wengi wa Ccm.
Wakisimama jukwaani hujiona Mungu watu.
Kwamba litokalo mdomoni kwake hata kama ni ushuzi yeye kutamka ni sawa.
Kuwa Kiongozi Hakuhitaji Vyeti Wala Phd Ni Uzalendo Na Ujasiri Simtetei Makonda Ila Narekebisha UlichokaririCCM ni chama kilichojifia kitambo! Haiwezekani mpaka leo kinawatumia watu waliofoji vyeti vya kitaaluma kwenye nafasi zao za kiuongozi.
Jibu alilopewa ni tamu sana,ukileta jeuri tunakupa kiburiMakonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma
Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO
Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika
Damu ya mtu ni nzito bana
View attachment 2815475
Swadakta!!!!Kioo cha Aliye Mtuma.....
Ndio jibu alilopaswa kupewa huyo muandishi! Kwa hiyo kama ni kweli huyo Muandishi alitegemea apate jibu la ndio kutoka kwa makonda!
Mimi naongezea na akamuhoji na baba yakeβ¦..
Sasa nani alimshambulia Lissu ni Makonda au Magufuli? Mwandishi kwanini hajakwenda kwa Mama Magufuli(Mama Janet) kumuhoji kuhusu tuhuma juu ya mumewe ?πππ
Na bado mtasema yote! Makonda hamtamuweza kwa lolote!Swadakta!!!!
watu kama nyie mnatakiwa mfungwe jiwe mtoswe baharini kwa ukombozi wa taifa.Makonda yupo sahihi kabisa. Huyo mwandishi anatakiwa kuadabishwa ili kukomesha waandishi wajinga
Simtetei Makonda alivyoojibu lakini watu kama wewe mna double starndard...sio swali la kipumbavu.
..labda kama tukio la Lissu halijakugusa. Lakini kama Mtanzania mpenda haki tukio lile kinapaswa likuguse.
..Mimi ningekuwa Paul Makonda kitu cha kwanza ningelaani tukio lile. Ningempa pole Tundu Lissu. Na ningeweka msisitizo kwamba sijakusikia.
..Kumtusi muandishi wa habari ni kukosa busara. Na kwa kukumbushia kuwa Mwalimu aliwahi kumjibu vibaya muandishi wa habari, ni kweli, lakini sote tunajua kuwa alikosea.
Huna hata ABC juu ya taaluma ya uandishi wa habari, hujui hata maana ya ku balance story, ila kwa wenye akili za kuzaliwa ni kwamba makonda ametuthibitishia uhusika wakeKwa hiyo kwa akili yako angesema ajahusika ndio majibu yamepatikana kuwa hajahusika? Kwanini Muandishi asimuamini Lissu aliyesema ameambiwa na watu wake kuwa Makonda alihusika?
Muandishi mwenye akili alitakiwa kumuamini Lissu au yeye binafsi afanye uchunguzi!
Sasa anatakiwa akamuulize mama yake kama Makonda alihusika kumshambulia Lissu au lahβ¦halafu aje atupe jibu kamwambiaje?
Kwanini asiende jeshi la polisi kuwahoji badala ya kupoteza muda tuuuβ¦..
Mtoto wa shule acha siasa wewe Bado mtoto nenda kakariri Archimedes principle au majimaji war ama scramble & portion au mathematics ama kingereza...An eye for an eye. Ukiuliza maswali ya kipumbavu, utapata majibu yanayoendana na maswali yako. Kumbuka majibu ya Mwl. Nyerere akiwa Uwanja wa Ndege pale Nairobi enzi akiwa Rais. Kama hujui gugu!!
Kwa mfano wewe ulitaka ajibu nini?
huyo mwandish ni punguwani anauliza maswali ya ki ndeziNdio jibu alilopaswa kupewa huyo muandishi! Kwa hiyo kama ni kweli huyo Muandishi alitegemea apate jibu la ndio kutoka kwa makonda!
Mimi naongezea na akamuhoji na baba yakeβ¦..
Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusikaMakonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma
Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO
Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika
Damu ya mtu ni nzito bana.
Mimi naongezea na akamuhoji na baba yakeβ¦..[emoji848][emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji2827]Ndio jibu alilopaswa kupewa huyo muandishi! Kwa hiyo kama ni kweli huyo Muandishi alitegemea apate jibu la ndio kutoka kwa makonda!
Mimi naongezea na akamuhoji na baba yakeβ¦..
Labda wa kwako tu, mi mama yangu hajatukanwaKwa kusema hivyo amewatuka** Wamama zetu wote. I am gender sensitive. Waache Wamama wana heshima zao.
Swali la kijinga linajibiwa kijinga pia. Utapambaniaje kujibu swali kama hilo?Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika
Sent using Jamii Forums mobile app