Kisesetusese
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 393
- 615
Kuna watu hawapendi maneno mengi.
Mchi inalalamika kukosekana maji. Cha ajabu Mh Rais anawachekea chekea wakina awesoambao uwezo umeishia pale alipo.
Huyu jamaa kama ilivyo hata tabia za wake zake naye ndio alive ni msanii saniii sana anaweka usanii kwenye maisha ya watu.
Akimuondoa mhalifu anakwensa kumandisha cheo.
Juma ni msanii na kama ni kumzingua mama amemzingua mara nyingi
Mchi inalalamika kukosekana maji. Cha ajabu Mh Rais anawachekea chekea wakina awesoambao uwezo umeishia pale alipo.
Huyu jamaa kama ilivyo hata tabia za wake zake naye ndio alive ni msanii saniii sana anaweka usanii kwenye maisha ya watu.
Akimuondoa mhalifu anakwensa kumandisha cheo.
Juma ni msanii na kama ni kumzingua mama amemzingua mara nyingi