Paul Makonda arejea, aibukia Uwanja wa Ndege Arusha uliopo eneo la Kisongo

Wao waimarike tu maana unadhani bila CCM hizi Ng'ombe za Tanzania nani atazichunga!?
Mkuu yaani sisi tumegeuka Ngombe tena, laah ila yawezekana ikawa kweli eee - yaani tunaswagwa tu hatujui tutokapo wala tuendako.
 
Kazi kazi ma meeen...yaani huyu mwamba chuga ataieshimisha mnoo
Nyie makolo weche chuki za kisiasa
Bakini na chuki zenu maisha yanaendelea
 
Ibada zetu zinaongozwa na yaliyomo kwenye vitabu vyetu vitakatifu. Waislam wanaswali mara 5 kwa siku na swala zao hizo ni fupifupi tu dk 5 wakati anasubiri au anashuka kwenye ndege. Wakristo huwa wanasali siku za jumapili au jmosi tu, hivyo huhitaji kuweka kanisa ndani ya airport hapo ambalo halitatumika. sio kila kitu kinahitaji kubalance.

Tuache viwango vya kimataifa vitumike, na tuwaache wahandisi na michoro na ramani ifanye kazi, vinginevyo hakuna siasa hapo kwenye kila kitu


View: https://www.youtube.com/watch?v=IHztQrYAF0g
 
L
Lakini pia ni kitu kizuri! Maana mtu anaweza kuhitaji kutulia kwa maombi yake binafsi! Lakini pia usidanganye watu hapa kuwa Wakristo wanasali jumamosi na jumapili tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…