Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

Atajipendekeza ili aonekane ni zaidi ya Chongola; chama ndio inasimamia serikali, hicho ni cheo kikubwa kuliko cha awali. Sasa ataeeza kwenda kokote na kuongea lolote kuliko mwanzo. Mtegemee maandamano kila kona kuunga mkono Dpw, atakaegoma antachongewa ang'olewe.
Daaaaa Chongolo angeomba kupumzika au wameyaongea ? Sio kwa dharau zile na kibriii.....
 
CCM inatafuta maslahi yake mahala.

Paul ni kijana wa Msoga pia, Alikabidhiwa pale na Mzee Six, alikuwa chini ya uangalizi aka vetting ya msoga pale bahari ilipochafuka akaenda kasi sana akiamini ni mwanzo mwingine wa maisha mengine.

Bila shaka sasa nasaha na maarifa kutoka kwa mmiliki wa gang ambaye bado yuko hai vimemjenga na kumfanya kuzaliwa upya.
Hii ni kazi maalum kwake ambayo amepewa bahasha yenye scope ya kazi yake kuelekea 2025, baada ya 2025 kijana anaweza kwenda juu zaidi huku akisaidia tena lile gang kuelekea 2030.
 
Kupitia mtandao wa X, Waziri wa Habari, Nape Nnauye ameandika ujumbe kwa Paul Makonda aliyeteuliwa kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM.

Ameandika:
"Mdogo wangu Paul, Karibu sana kwenye Uongozi wa juu kabisa wa Chama chetu. Nina hakika umetumia vizuri muda wa likizo, and now you are ready for the job! HONGERA kwa kuaminiwa na nakutakia kila lakheri!"


Screenshot 2023-10-22 at 14.22.49.png
 
Kupitia mtandao wa X, Waziri wa Habari, Nape Nnauye ameandika ujumbe kwa Paul Makonda aliyeteuliwa kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM.

Ameandika:
"Mdogo wangu Paul, Karibu sana kwenye Uongozi wa juu kabisa wa Chama chetu. Nina hakika umetumia vizuri muda wa likizo, and now you are ready for the job! HONGERA kwa kuaminiwa na nakutakia kila lakheri!"


View attachment 2789149
Mnafiki huyo! Makonda Boss wake!
 
Back
Top Bottom