Wewe pimbi endelea kuumia! Wengine tunafurahia! Ulitaka ateuliwe Lema!?Nchi imeishiwa kabisa viongozi. Unaenda kuchukua jitu la hovyo kama hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe pimbi endelea kuumia! Wengine tunafurahia! Ulitaka ateuliwe Lema!?Nchi imeishiwa kabisa viongozi. Unaenda kuchukua jitu la hovyo kama hili
Hii makonda anaimudu sana maana yeye ni mtu wa mitandao na mtu wa Watu ila sio Sophia mjema pale walitelezaKabla hatujaangalia madhila yake aliyotenda enzi zake, je hiyo nafasi ataimudu?
Maana baada ya Nape hakuna aliyeweza.
Daaaaa Chongolo angeomba kupumzika au wameyaongea ? Sio kwa dharau zile na kibriii.....Atajipendekeza ili aonekane ni zaidi ya Chongola; chama ndio inasimamia serikali, hicho ni cheo kikubwa kuliko cha awali. Sasa ataeeza kwenda kokote na kuongea lolote kuliko mwanzo. Mtegemee maandamano kila kona kuunga mkono Dpw, atakaegoma antachongewa ang'olewe.
Nchi bila propaganda hutoboi 😀😀😀Mama kacheza Bonge la Pass bila hivyo CCM ingekuwa ishakufa maana CCM ya wakagi ule kupambana na Lissu wasingeweza ila kwa sasa wamefaulu Makonda yuko Vizuri kwenye hiyo sekta kongole Ccm
Kwenye hili mkuu wapinzani lazma waumie Hili ni pigo kubwa sna kwao..ukiangalia uchaguzi umekaribia wanakata tamaa kabisaWewe pimbi endelea kuumia! Wengine tunafurahia! Ulitaka ateuliwe Lema!?
Upinzani ni lazima ulale na viatu leo.Haki ya Mungu Makonda ni moto
Hatukumjali akiwa na nguvu za kiserikali itakuwa huko kwenye chama chakavu. Teuzi nyingine hii unapishana nayo utakuwa na kimavi wewe si bure.Msiyemtaka kaja ,ni lazima mibangi yako ikutoke kichwani mwako mwaka huu maana ni lazima upoteze mtandao.
🤣🤣🤣Huyu Ndo Raisi ajaye.
Mikono yake imejaa damu zavwatu .....malipo hapa hapa .....atalipa tuuu karma kama ipo atalipaWewe pimbi endelea kuumia! Wengine tunafurahia! Ulitaka ateuliwe Lema!?
Yaani hapa kacheza sasa CCM inarudi kwenye ukubwa wake ule ule kama zamani maana ilipoteza popularityNchi bila propaganda hutoboi 😀😀😀
Lazima leo akeshe anavuta mibangi yake kama mwendawazimu maana anajuwa namna mh Makonda alivyo moto wa kuotea mbali.Acha kuandika maneno yakitokea puani na kwamasi.. pokea 💉💉💉🤣🤣🤣
Mnafiki huyo! Makonda Boss wake!Kupitia mtandao wa X, Waziri wa Habari, Nape Nnauye ameandika ujumbe kwa Paul Makonda aliyeteuliwa kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM.
Ameandika:
"Mdogo wangu Paul, Karibu sana kwenye Uongozi wa juu kabisa wa Chama chetu. Nina hakika umetumia vizuri muda wa likizo, and now you are ready for the job! HONGERA kwa kuaminiwa na nakutakia kila lakheri!"
View attachment 2789149
Acha kuweweseka hapa .mbona wewe hukuuwawa. Kaa kwa kutulia uone moto wa makondaMikono yake imejaa damu zavwatu .....malipo hapa hapa .....atalipa tuuu karma kama ipo atalipa