Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI


Hata wewe unajua America haikuitaji ila serikali bila America hamna kitu ilo ni wazi kabisa..



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Umeandika ukimaanisha au its Sarcasm tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Issue ya Kuzuiwa Makonda inatokana na Tamko lake la kuzuia Mashoga sio blaablaa zisizo na ushahidi

Kwa US tamko lile ni kinyume cha haki za Binadamu sio vinginevyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtafute Le mutuz kaa nae bar mpe mwanamke akufanyie uchunguzi utapata siri zote za Daud Bashite kupitia kwa Le mutuz kwani huwa mdhaifu sana pindi akiona mwanamke mrembo
 
Sababu yao kubwa ni kunyanyasa makundi maalumu,ambayo mimi tafsiri yangu ya hayo makundi maalumu ni mashoga
 
Marecan Nasema Msimtishe Mkuu Wetu Narudia Tenaa Msimtishe

Nikiwa Kama Waziri Wamambo Ya Nje Wa China Namualika Mhe Makonda Nakumpa Uraia Kbs Gharama za Chakula Malazi Usafiri Na Pesa Ya Mtumizi Atapatiwa

NAKUWAKOMOA ATAKUJA NA Private Jet

Welcome China Mkonda Achana Na Marecan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…