Msukuma ambaye yuko fresh anatuwakilisha vyema ni mmoja
Mabeyo peke yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtarimbo wa Zitto bado umewaganda MaCCM.Kiukweli upepo umebadilika ghafla baada ya taarifa ya RC Makonda kupewa marufuku ya kuingia nchi ya mabwanyenye, Marekani.
Kabla ya taarifa hizi habari ya mjini ilikuwa ni Zitto na Kangi Lugola na kwa week end hii nina hakika wameshasahaulika.
Maendeleo hayana vyama!
Inabidi nicheke tu badala ya kukasirika kwa lugha zako zisizo na chembe ya werevu na busara.Umeongea ujinga wewe mtu[emoji23][emoji23][emoji23] kwa pesa ipi akaita madactari waje kumuhudumia !
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wangetufanyia kama yale ya Iran kwa Kassem Soleimani ingekuwa poa sana maana wanajidai na akina Deus kisanduku tuone kama watachomoka .
Nyaulingo katoa siri unyama wao wote aliokuwa akitumwa na Bashite ikiwemo ya marehemu Ruge mutahaba na wengineo wengiWala sidhani ni hiyo ishu ya ushoga. Maana ile ilitokea miaka kadhaa iliyopita na daudi ashaenda marekani baada ya lile sakata. Hapa nadhani CIA wamefukunyua mauchafu yake huyu jamaa sema hawajaweka tu hadharani..ndio maana wakasema "human rights violations" bila kusema ni violations zipi
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kwamba unaota , hii ndio hali halisi .Jf muwe mnaverify Brekingnews vingenevyo mnazua mtafuruku tuu kila mtu aje na ne breking yake si kuvurugana jamani? Yaani breaking news hata hamthibitishi?
Na yule wa TCRA je ?Msukuma ambaye yuko fresh anatuwakilisha vyema ni mmoja
Mabeyo peke yake
Sent using Jamii Forums mobile app
EeehLe mutuz na yeye apigwe marufuku kuingia America kwani alikuwepo kwenye vx lililosimama getini kule Dodoma wakati Tundu Lisu akishambuliwa kwa Risasi na nyaulingo na kikundi chake cha akina kisanduku cyprian Musiba na wenzao, wote wapigwe marufuku kuingia hapa Marekani milele.
J3 hawa wakina Ndungai wenye kwenda nchi za nje mara kwa mara kutibiwa na wenzake watakua wapole kishenzi wataawachia wabunge kama Msukuma/kibajaji waropoke ropoke maana ukute hao ndio hawana dreams za kwenda US.
Lkn wabunge wengine wa CCM wenye ma-biashara yao/watoto wao wanaosoma huko nje aisee watafunga mdomo kama sio wao.
dodge
Hilo ndio linalofuataWangetufanyia kama yale ya Iran kwa Kassem Soleimani ingekuwa poa sana maana wanajidai na akina Deus kisanduku tuone kama watachomoka .
Haiwezekani ndani ya mkoa wako watu wanaokotwa wamekufa makumi kwa mamia, watu wanatekwa na kuteswa na unakaa kimya kama hakuna kilichotokea. Huu ni uvunjifu wa haki za binaadamu na kukosesha watu amani na uhuru wa kiwamgo cha juu kabisa.
Nashukuru kwa kunisaidia kumjibu, kitu kinacho nikera kwa baadhi ya watanzania ni kutetea kila aina ya ujinga , hapa kwenye akili na wanaojua global politics, makonda kupigwa ban , secretary of state wa nchi kubwa kama marekani Ku tweet kuhusu makonda ujue kuna jambo kubwa zaidi ya kumzuia makonda kuingia marekani. Makonda ameteuliwa tu. Ila Sababu baadhi ya mamtu ni wajinga and have little understanding of global politics, diplomacy and power play watakuwa kutetea kila ujinga, tutapigwa vikwazo hapa vya kiuchumi hapa hata kukuza shamba itakuwa kazi. Kwenye akili kaeni standby, unaweza fumba na kufumbua we are in a worse situation than Zimbabwe, sababu hawa wakubwa wetu ni wazalendo sana kiasi kwamba wanaamini uzalendo wao utashindana na taifa LA marekani, very politically naive. Fuatilia tu comments utaona hili suala watakavyo ligeuza liwe LA kizalendo, wote watakao changia kutoka serikali ichukuwe hatua wataambiwa ni mawakala wa mabeberu!Hao wamezuiwa kuingia Marekani kwa kushiriki biashara ya madawa ya kulevya. Nao pia unaona ni watu wazuri?
Wanajua kila linalofanyika hapo Nchini kwani wana watu wao ndani ya mfumo wa dola ya Tanzania, CIA hupenya kila Serikali Duniani
Mafuta na soko zuri la silaha.Hivi Mbs walimwekea zuio la kuingia USA? If not, why?
Yaani mtu anakaa kwenye lile ghala pale ufipa anaandika vimaneno alafu anajiita Pompeo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mimi sielewi watanzania, nashauri nyimbo za kushambulia mabeberu zianze kutungwa na kuimbwa kila mahali ili uzalendo urudiSio mkuu wa mkoa pekee bali ni pamoja na mkuu wa kaya ila kwa sasa wanamlia timing ili aburuzwe moja kwa moja kule the Hague.
Ameua watu wengi wasio na hatia pamoja na kubambikia watu kesi za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi.
Ni lazima akakutane na dhalimu mwenzie, Bosco Ntaganda kwenye selo za ICC.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je Ruge aliuawa ?Nyaulingo katoa siri unyama wao wote aliokuwa akitumwa na Bashite ikiwemo ya marehemu Ruge mutahaba na wengineo wengi