Sawa Mkuu wao.Wauza madawa ya kulevya na mashoga watakuwa na ubia na Marekani maana ndiyo wanaopata taabu sana kwa Makonda.
Haya tatuliweni marinda salama sasa hapo ufipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Marekani tu hata UK amd followed by EU! Na hao basi waite washenzi!Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.
Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!.
Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Hahhaaa nimefurahi sana leo. Anajiita mbabe wa vita ngoja tuone kama Polepole na Bashiru watamsaidiaLeo wale tunaowaitaga mabeberu wamesikia kilio chetu sie waswahili wa buza na chato
Ndugu daudi albert bashite marekani uisahau kama ulivyosahau hilo jina langu mwisho wako mpakani mwa rwanda na tz marekani utaiona kwenye tv
Nimepokea kwa mikono miwili uamuzi nzuri wa marekani wa kumpiga block bwana daudi bashite maana ndie muhusika haswa wa uhalifu,ugaidi wa kisiasa,kutesa,kuteka raia,na kauli chafu,ufisadi,kushirikiana na magenge machafu ya madawa ya kulevya,ushoga,kutakatisha watu,kuua watu,kuteka watu kwa amri ya bwana mkubwa,nafurahi na nitasherehekea juu ya hili
Malipo ni hapa hapa duniani huu ni mwanzo tu utamu wa sinema unakuja the the stone jiandae kiama chako chaja
Marekani hoyeeeeeee
Pompeo hoyeeee
Nimefurahi sana hapa nagonga tu nyagi kudadeki
Usa baby[emoji631][emoji631][emoji631][emoji631]in nyaningabu voice[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuota.Sio mkuu wa mkoa pekee bali ni pamoja na mkuu wa kaya ila kwa sasa wanamlia timing ili aburuzwe moja kwa moja kule the Hague.
Ameua watu wengi wasio na hatia pamoja na kubambikia watu kesi za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi.
Ni lazima akakutane na dhalimu mwenzie, Bosco Ntaganda kwenye selo za ICC.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaaa mtanyoka tu, tuliwaonya sana juu ta utekaji, utesaji na unyanyasaji. Ya kassem soleiman yanakuja.Hakuna zaidi ya swala la ushoga.
Jiandae Drone inamkuta mahali popote sijui kama wale washika mitutu kama migobole wataweza kuzima Drone.Endelea kuota.
Kazi ya Lissu imeanza kuzaaa matunda vyema kwa wakati mwafaka. Uzuri wamarekani hawakurupuki na wala hawamwonei mtu. Waliyoelezwa na Lissu waliyafanyia uchunguzi wa kina.Lissu hakwenda kuuza sura marekani, majibu ya ziara yake yanatoka mwaka huu kimkakati.
Wakati Israel wanatupatia vifaa vya kuwachunguza wananchi wetu tulifurahi sana kwamba sasa miwananchi itatukoma, Bashite na company yake akatamba navyo sana.Unapewa silaha za kuspy mwenendo wa jeshi
Akikaidi drone itamkuta mahali popote tayari hadi DNA yake wanayo ni kuconnect tu drone hata ajifiche wapi itamtifua kama nuclear.Wale Jamaa hatari wanajua mpaka rangi za vyupi vya bashite,mpaka size za hivyo vyupi
Marekani hawajai kumuacha mtu salamaWakati Israel wanatupatia vifaa vya kuwachunguza wananchi wetu tulifurahi sana kwamba sasa miwananchi itatukoma, Bashite na company yake akatamba navyo sana.
Ambacho hatukukijua ni kwamba, wakati tunawa spy raia wetu kwa kutumia technolojia ile kumbe technolojia nayo inatuchunguza sisi na kupeleka taarifa na mienendo yetu inapotakiwa.
Kitendo cha Bashite kutajwa kuna watu wameshikwa ghafla na tumbo la kuharisha huko mida hii, maana wanajua Bashite kaguswa kimkakati ila technically na wao tayari wamo.
Yajayo yanafurahisha uko tayari?Kuna mahali tumekosea kama Nchi,haya yanayoendelea ni mabaya sana
Lissu ameshakuwa mtu wao, bila shaka atakapokuja kugombea CIA weusi watakuja kumlinda.Kazi ya Lissu imeanza kuzaaa matunda vyema kwa wakati mwafaka. Uzuri wamarekani hawakurupuki na wala hawamwonei mtu. Waliyoelezwa na Lissu waliyafanyia uchunguzi wa kina.
Israel na Marekani lao mojaMarekani hawajai kumuacha mtu salama
Nani amefanywa kuwa mtumwa wake? Na utumwa wa kivipi? Naomba nifafanulie.Sasa pamoja na maajabu hayo, nani alimwambia kuwa ili maajabu yatokee ni lazima awafanye watu kuwa watumwa wake!!?