Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.

Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!.
Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Kwani Marekani tu hata UK amd followed by EU! Na hao basi waite washenzi!
 
Leo wale tunaowaitaga mabeberu wamesikia kilio chetu sie waswahili wa buza na chato

Ndugu daudi albert bashite marekani uisahau kama ulivyosahau hilo jina langu mwisho wako mpakani mwa rwanda na tz marekani utaiona kwenye tv

Nimepokea kwa mikono miwili uamuzi nzuri wa marekani wa kumpiga block bwana daudi bashite maana ndie muhusika haswa wa uhalifu,ugaidi wa kisiasa,kutesa,kuteka raia,na kauli chafu,ufisadi,kushirikiana na magenge machafu ya madawa ya kulevya,ushoga,kutakatisha watu,kuua watu,kuteka watu kwa amri ya bwana mkubwa,nafurahi na nitasherehekea juu ya hili

Malipo ni hapa hapa duniani huu ni mwanzo tu utamu wa sinema unakuja the the stone jiandae kiama chako chaja

Marekani hoyeeeeeee
Pompeo hoyeeee

Nimefurahi sana hapa nagonga tu nyagi kudadeki

Usa baby[emoji631][emoji631][emoji631][emoji631]in nyaningabu voice[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaaa nimefurahi sana leo. Anajiita mbabe wa vita ngoja tuone kama Polepole na Bashiru watamsaidia
 
Sio mkuu wa mkoa pekee bali ni pamoja na mkuu wa kaya ila kwa sasa wanamlia timing ili aburuzwe moja kwa moja kule the Hague.

Ameua watu wengi wasio na hatia pamoja na kubambikia watu kesi za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi.

Ni lazima akakutane na dhalimu mwenzie, Bosco Ntaganda kwenye selo za ICC.

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuota.
 
Lissu hakwenda kuuza sura marekani, majibu ya ziara yake yanatoka mwaka huu kimkakati.
Kazi ya Lissu imeanza kuzaaa matunda vyema kwa wakati mwafaka. Uzuri wamarekani hawakurupuki na wala hawamwonei mtu. Waliyoelezwa na Lissu waliyafanyia uchunguzi wa kina.
 
Unapewa silaha za kuspy mwenendo wa jeshi
Wakati Israel wanatupatia vifaa vya kuwachunguza wananchi wetu tulifurahi sana kwamba sasa miwananchi itatukoma, Bashite na company yake akatamba navyo sana.
Ambacho hatukukijua ni kwamba, wakati tunawa spy raia wetu kwa kutumia technolojia ile kumbe technolojia nayo inatuchunguza sisi na kupeleka taarifa na mienendo yetu inapotakiwa. Kumbi US na Israel lai ni moja.
Kitendo cha Bashite kutajwa kuna watu wameshikwa ghafla na tumbo la kuharisha huko mida hii, maana wanajua Bashite kaguswa kimkakati ila technically na wao tayari wamo.
 
Watanzania saiv watakao pata visa wachache Sana. Watu wengi wakienda kuomba watakosa bila sababu za msingi. Hapo hawajaiweka ivo but in reality itakuwa ivo....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BAN juu ya BAN


Screenshot_20200201-010432_Twitter.jpeg
Screenshot_20200201-010520_Twitter.jpeg
 
Wale Jamaa hatari wanajua mpaka rangi za vyupi vya bashite,mpaka size za hivyo vyupi
Akikaidi drone itamkuta mahali popote tayari hadi DNA yake wanayo ni kuconnect tu drone hata ajifiche wapi itamtifua kama nuclear.
 
Pale jina la “ Daudi Bashite” linapoonekana linafaa sasa hivi anatamani aseme mimi sio Paul makonda


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wakati Israel wanatupatia vifaa vya kuwachunguza wananchi wetu tulifurahi sana kwamba sasa miwananchi itatukoma, Bashite na company yake akatamba navyo sana.
Ambacho hatukukijua ni kwamba, wakati tunawa spy raia wetu kwa kutumia technolojia ile kumbe technolojia nayo inatuchunguza sisi na kupeleka taarifa na mienendo yetu inapotakiwa.
Kitendo cha Bashite kutajwa kuna watu wameshikwa ghafla na tumbo la kuharisha huko mida hii, maana wanajua Bashite kaguswa kimkakati ila technically na wao tayari wamo.
Marekani hawajai kumuacha mtu salama
 
Kazi ya Lissu imeanza kuzaaa matunda vyema kwa wakati mwafaka. Uzuri wamarekani hawakurupuki na wala hawamwonei mtu. Waliyoelezwa na Lissu waliyafanyia uchunguzi wa kina.
Lissu ameshakuwa mtu wao, bila shaka atakapokuja kugombea CIA weusi watakuja kumlinda.
Lengo la marekani kumchafua makonda ni kuhakikisha Lissu atakaporudi kugombea hapatakuwa na kikundi cha kutishia uhai wake.
 
Sasa pamoja na maajabu hayo, nani alimwambia kuwa ili maajabu yatokee ni lazima awafanye watu kuwa watumwa wake!!?
Nani amefanywa kuwa mtumwa wake? Na utumwa wa kivipi? Naomba nifafanulie.

Wewe kama umetumwa kuleta vurugu katika hii nchi usifikiri wewe na familia yako mtakuwa salama. Utakuwa wa kwanza kuzikwa au kujeruhiwa. Shauri lako.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom