Leo wale tunaowaitaga mabeberu wamesikia kilio chetu sie waswahili wa buza na chato
Ndugu daudi albert bashite marekani uisahau kama ulivyosahau hilo jina langu mwisho wako mpakani mwa rwanda na tz marekani utaiona kwenye tv
Nimepokea kwa mikono miwili uamuzi nzuri wa marekani wa kumpiga block bwana daudi bashite maana ndie muhusika haswa wa uhalifu,ugaidi wa kisiasa,kutesa,kuteka raia,na kauli chafu,ufisadi,kushirikiana na magenge machafu ya madawa ya kulevya,ushoga,kutakatisha watu,kuua watu,kuteka watu kwa amri ya bwana mkubwa,nafurahi na nitasherehekea juu ya hili
Malipo ni hapa hapa duniani huu ni mwanzo tu utamu wa sinema unakuja the the stone jiandae kiama chako chaja
Marekani hoyeeeeeee
Pompeo hoyeeee
Nimefurahi sana hapa nagonga tu nyagi kudadeki
Usa baby[emoji631][emoji631][emoji631][emoji631]in nyaningabu voice[emoji23]
Sent using
Jamii Forums mobile app