Unafikiri anaechukiwa hasa ni Makonda?Hii inaonyesha ni jinsi gani RAIA wengi hawamkibali RC makonda , inatakiwa tu ajitafakari kwa hili, ishu nahisi sio ushoga tu kutakua na mambo mengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapambe wa Daud Bashite akina Cyprian Musiba na Le mutuz hawana siri wakilewa Bar huanika kila kitu, marekani hata ikiwatuma wapelelezi wanafunzi wa chekechea wawahoji hao watu wawili watapata taarifa muhimu juu ya unyama wote wa Daud BashiteSahihi kabisa Mkuu, ule uliokuwa unaitwa uvumi kuwa kuna kikundi maalum kinafanya mambo mengi ya kukiuka haki za msingi za waTanzania sasa kimeanikwa peupe na Marekani wametuma ujumbe kuwa wanafahamu kila kitu.
Unclock in and out $8 kwa saa Hongera sana, rudi nyumbani kumenoga sanaLe mutuz na yeye apigwe marufuku kuingia America kwani alikuwepo kwenye vx lililosimama getini kule Dodoma wakati Tundu Lisu akishambuliwa kwa Risasi na nyaulingo na kikundi chake cha akina kisanduku cyprian Musiba na wenzao, wote wapigwe marufuku kuingia hapa Marekani milele.
Tulia wewee mafii yako
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hiziMASKINI MLETA UZI UNA KURUPUKA BILA KUJUA WHAT'S GOING ON.
NI HIVI HUU UTAWALA WA MAGUFURI MATUKIO YA KUUA RAIA,KUTEKA NA KUSHA MBULIA MTU YOYOTE ALIYE NA MAWAZO TOFAUTI NA MAGUFURI NDIO CHANZO CHA MAMBO YOTE. AMA KWELI USILOLIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZZ
Taja tu mkuukuna majina mengine matano , mawili kutoka bungeni moja kutoka Polisi , mawili siyataji .
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hiziWalisoma whatsapp za Makonda wakatbua kuw yeye ndio alimuua Ben saanane. Aliratibu Lisu kupigwa shaba na ni mwizi
Namuomba Mungu akupige laana wewe na kizazi chako choteDemokrasia barani Afrika ni ya kuogopa kama ukoma, mwenye hoja ya kupinga aje ulingoni
Demokrasia ndani ya Afrika ni nyenzo ya ukoloni mamboleo. Hivi umeshawahi kujiuliza ni kwanini mabepari/ mabeberu hupenda sana kuona nchi za Afrika zikizingatia demokrasia na haki za binadamu? Na hawakupi msaada kama huzingatii demokrasia na haki za binadamu (wapinzani). Jibu ni rahisi sana...www.jamiiforums.com
Nimefuatilia comments za waTz katika majukwaa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii; kwa kweli niseme kwa dhati kabisa kwamba nimeshtushwa na kushangazwa na kusikitishwa na kitendo cha waTz kushangilia katazo hilo.
Makonda kapigwa hilo zuio kutokana na marufuku aliyoiweka kwa wanaume kuzibuana makalio na mitaro ya maji machafu, and rightfully so! Hivi hawa manguruwe walitegemea sisi tukubali ushoga kabisa, kweli?!!
Pia ifahamike, hayo masuala ya ushoga ni kama sababu tu tunayotafutiwa, ila kuna jambo lingine lipo nyuma ya pazia na hiyo ya ushoga ni gelesha tu. Marekani huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi bila kuwa na agenda za maslahi yake anazokua amezificha, tuwe makini.
Ila kubwa kabisa, nimegundua wanaosapoti ushoga katika nchi hii ni wengi sana, nahisi 70% yaWatz wote ni mashoga, i fear so, ngoja niendelee kufuatilia comments huko mitandaoni.
Demokrasia barani Afrika ni ya kuogopa kama ukoma, mwenye hoja ya kupinga aje ulingoni
Demokrasia ndani ya Afrika ni nyenzo ya ukoloni mamboleo. Hivi umeshawahi kujiuliza ni kwanini mabepari/ mabeberu hupenda sana kuona nchi za Afrika zikizingatia demokrasia na haki za binadamu? Na hawakupi msaada kama huzingatii demokrasia na haki za binadamu (wapinzani). Jibu ni rahisi sana...www.jamiiforums.com
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hiziwewe umejuaje kuwa sababu ilikiwa ni ushoga?
au niseme mnatafuta kichaka cha kujifichia
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hiziNamuomba Mungu akupige laana wewe na kizazi chako chote
Tutarudi mzee ngoja kwanza drone ya Moshi wa Ruangwa ifanyiwe ukarabati wa kikorea kasikaziniUnclock in and out $8 kwa saa Hongera sana, rudi nyumbani kumenoga sana
yaaan kuanziaa aliyemletaa dunianiaa na ambao hawajazaliwq wanaume wengine hawana akili jaman khaaaNamuomba Mungu akupige laana wewe na kizazi chako chote
Mungu awabariki wazungu cc Erythrocyte
kwani akizuiwa asifike U.S.A ndo umezuiliwa ww, mm au rais?Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
porojo...takatakaDemokrasia barani Afrika ni ya kuogopa kama ukoma, mwenye hoja ya kupinga aje ulingoni
Demokrasia ndani ya Afrika ni nyenzo ya ukoloni mamboleo. Hivi umeshawahi kujiuliza ni kwanini mabepari/ mabeberu hupenda sana kuona nchi za Afrika zikizingatia demokrasia na haki za binadamu? Na hawakupi msaada kama huzingatii demokrasia na haki za binadamu (wapinzani). Jibu ni rahisi sana...www.jamiiforums.com
Nimefuatilia comments za waTz katika majukwaa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii; kwa kweli niseme kwa dhati kabisa kwamba nimeshtushwa na kushangazwa na kusikitishwa na kitendo cha waTz kushangilia katazo hilo.
Makonda kapigwa hilo zuio kutokana na marufuku aliyoiweka kwa wanaume kuzibuana makalio na mitaro ya maji machafu, and rightfully so! Hivi hawa manguruwe walitegemea sisi tukubali ushoga kabisa, kweli?!!
Pia ifahamike, hayo masuala ya ushoga ni kama sababu tu tunayotafutiwa, ila kuna jambo lingine lipo nyuma ya pazia na hiyo ya ushoga ni gelesha tu. Marekani huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi bila kuwa na agenda za maslahi yake anazokua amezificha, tuwe makini.
Ila kubwa kabisa, nimegundua wanaosapoti ushoga katika nchi hii ni wengi sana, nahisi 70% yaWatz wote ni mashoga, i fear so, ngoja niendelee kufuatilia comments huko mitandaoni.
Demokrasia barani Afrika ni ya kuogopa kama ukoma, mwenye hoja ya kupinga aje ulingoni
Demokrasia ndani ya Afrika ni nyenzo ya ukoloni mamboleo. Hivi umeshawahi kujiuliza ni kwanini mabepari/ mabeberu hupenda sana kuona nchi za Afrika zikizingatia demokrasia na haki za binadamu? Na hawakupi msaada kama huzingatii demokrasia na haki za binadamu (wapinzani). Jibu ni rahisi sana...www.jamiiforums.com
swadakta, naona huko ndo wanapoelekea. rais itabidi awe makini kwa hiliMi naona wanataka kumbomoa BABALAO kwa kuwamaliza kwanza wanaompa jeuri.