Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Wapambe wa Daud Bashite akina Cyprian Musiba na Le mutuz hawana siri wakilewa Bar huanika kila kitu, marekani hata ikiwatuma wapelelezi wanafunzi wa chekechea wawahoji hao watu wawili watapata taarifa muhimu juu ya unyama wote wa Daud Bashite


Ngoja tuangalie kwa undani tafsiri pana, je kulengwa kwa Paul Makonda na vikwazo ikiwemo kutosafiri kwenda USA, mali zake au account benki kuzuiwa pengine akitoka nje ya nchi ya Tanzania kuna uwezekano wa kutiwa mbaroni na kupelekwa kujibu mashtaka ya kuvunja haki za binadamu na k.n .

Ngoja tutumbukie ktk internet tupate maana pana ya vikwazo hivi kwa mkuu wa mkoa.

Maana media za Tanzania zitaishia na ushoga na kusahau utekaji, kuzuia demokrasia, meya wa Dar es Salaam kufanyiwa ndivyo sivyo na mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama anaangalia na kubariki uvunjifu wa haki, sheria n.k

Secretary Pompeo
@SecPompeo



Today we designated Dar es Salaam Regional Commissioner Paul Christian Makonda as ineligible to enter the U.S. for his involvement in gross violations of #humanrights. We are deeply concerned over deteriorating respect for human rights and rule of law in #Tanzania.
January 31, 2020
 

Nimefuatilia comments za waTz katika majukwaa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii; kwa kweli niseme kwa dhati kabisa kwamba nimeshtushwa na kushangazwa na kusikitishwa na kitendo cha waTz kushangilia katazo hilo.
Makonda kapigwa hilo zuio kutokana na marufuku aliyoiweka kwa wanaume kuzibuana makalio na mitaro ya maji machafu, and rightfully so! Hivi hawa manguruwe walitegemea sisi tukubali ushoga kabisa, kweli?!!

Pia ifahamike, hayo masuala ya ushoga ni kama sababu tu tunayotafutiwa, ila kuna jambo lingine lipo nyuma ya pazia na hiyo ya ushoga ni gelesha tu. Marekani huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi bila kuwa na agenda za maslahi yake anazokua amezificha, tuwe makini.
Ila kubwa kabisa, nimegundua wanaosapoti ushoga katika nchi hii ni wengi sana, nahisi 70% yaWatz wote ni mashoga, i fear so, ngoja niendelee kufuatilia comments huko mitandaoni.

Acha kuvuta Bangi ghetto kwa cyprian Musiba na kukariri ujinga wake wa kung’ang’ania neno Ushoga kana kwamba watanzania ni wajinga zaidi yake, human rights haki za binadamu ndicho kigezo cha kumkataa Daud Bashite acheni kusingizia ushoga, kwani ushoga na Tundu lisu kupigwa risasi vina uhusiano gani? Kuwabambikia kesi na ushoga vina uhusiano gani? Udikiteta na kuminya demokrasia vina uhusiano gani na ushoga?
 
Makonda anakiherehere mkuu hawez kupambana na jitu lilikuwa kubwa la CIA atakuwa kafyata mkia,kama mbwa jike alotoka kupigwa paaaaaip, ni kweli marekan wanatafutaga weak links ila kwanini tunawatengenezea hizo weak links ? alafu zikitokea wakianza kupenya mnajifanya mnajua mwisho wake ? jesh letu lenyewe mazoez yake tunayaona, mnatutafutia mataizo wakuu...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
stupidly..! Kachambe ulale..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaaan kuanziaa aliyemletaa dunianiaa na ambao hawajazaliwq wanaume wengine hawana akili jaman khaaa
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Unafikiri anaechukiwa hasa ni Makonda?
Hapo anatafutwa kila mtu anae onekana kuwa karibu sana na kiongozi wa Makonda.

Unaona jinsi Kigwangala. Kabudi, Makonda na wengine ambao watumishi wanao onekana kukumbatiwa kwa sifa na majukumu makubwa na boss kuu wanavyo chukiwa sana na kupigwa vita kwa matusi mitandaoni?

Anatafutwa boss kubwa.
Lion is Tourism,hahah
tapatalk_1576482213385.jpeg


dodge
 
kwani akizuiwa asifike U.S.A ndo umezuiliwa ww, mm au rais?
ni kwamba amezuiliwa yeye sisi haituhusu, apambane na hali yake bipa kusahau kujitathimini.
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi? Mashoga wakubwa nyie, nendeni huko kwa mabwana zenu mkatafunwe mik*undu mbwa nyie..!!!
Wewe ni mpuuzi wa mwisho... [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Secretary Pompeo

@SecPompeo

https://twitter.com/SecPompeo/status/1223307597194854400

Today we designated Dar es Salaam Regional Commissioner Paul Christian Makonda as ineligible to enter the U.S. for his involvement in gross violations of #humanrights. We are deeply concerned over deteriorating respect for human rights and rule of law in #Tanzania.
Human rights ni pamoja na kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwateka kuwapora ushindi kwenye chaguzi mbalimbali na havina uhusiano na ushoga kisingizio cha kishamba toka kwa vijana wa cyprian Musiba waliojaa gheto kwake wakivuta Bangi na kudanganyana
 
porojo...takataka
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
swadakta, naona huko ndo wanapoelekea. rais itabidi awe makini kwa hili
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Nina wasiwasi na mambo mawili :
1.Umri wako
2.Bichwa yako ni mzigo kwa mwili yako.

Ingekuwa sababu ya ushoga angezuiliwa Benard Membe alipoukataa ushoga enzi za Jk wapili Membe akiwa Waziri wa mambo ya nje

Sio Uyo shoga mwenzako asiyejielewa kama wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Acha kuvuta Bangi ghetto kwa cyprian Musiba na kukariri ujinga wake wa kung’ang’ania neno Ushoga kana kwamba watanzania ni wajinga zaidi yake, human rights haki za binadamu ndicho kigezo cha kumkataa Daud Bashite acheni kusingizia ushoga, kwani ushoga na Tundu lisu kupigwa risasi vina uhusiano gani? Kuwabambikia kesi na ushoga vina uhusiano gani? Udikiteta na kuminya demokrasia vina uhusiano gani na ushoga?
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Nina wasiwasi na mambo mawili :
1.Umri wako
2.Bichwa yako ni mzigo kwa mwili yako.

Ingekuwa sababu ya ushoga angezuiliwa Benard Membe alipoukataa ushoga enzi za Jk wapili Membe akiwa Waziri wa mambo ya nje

Sio Uyo shoga mwenzako asiyejielewa kama wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu kuu ya America kumkaa Daudi Bashite ni utekaji, uonevu, unyanyasaji kwa watu mbalimbali wakiwemo wafanyabiashara akina Yusuph manji na kikubwa zaidi ni tabia yake mbovu ya kuwabambikia kesi za uhujumu uchumi na kesi zinginezo mbalimbali kwa wapinzani
 
Makonda anakiherehere mkuu hawez kupambana na jitu lilikuwa kubwa la CIA atakuwa kafyata mkia,kama mbwa jike alotoka kupigwa paaaaaip, ni kweli marekan wanatafutaga weak links ila kwanini tunawatengenezea hizo weak links ? alafu zikitokea wakianza kupenya mnajifanya mnajua mwisho wake ? jesh letu lenyewe mazoez yake tunayaona, mnatutafutia mataizo wakuu...


Sent from my iPhone using JamiiForums
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Human rights ni pamoja na kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwateka kuwapora ushindi kwenye chaguzi mbalimbali na havina uhusiano na ushoga kisingizio cha kishamba toka kwa vijana wa cyprian Musiba waliojaa gheto kwake wakivuta Bangi na kudanganyana
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Back
Top Bottom