Madini yalishabebwa toka kabla hujazaliwa mpaka leo.Huu ndio wakati muafaka kwa Watanzania kusimama na rais, maana anatafutwa kwa namna zote, wanataka wamdhoofishe ili waendelee kubeba madini maana yeye ndiye mzalendo wa kwanza kupambana dhidi yao, alifanya kitu ambacho hakijawahi kufanywa na kiongozi yeyote Afrika, leo hii Waafrika wote wanamtegemea kuona kama atashinda kwenye haya mapambano, ili na wao waliamshe.
Hiyo ni honi tu.pipiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii gari haijafika.Ila,ila imekaribia.Naona kama madarasa yako machache.Taifa la marekani huwa naliona Kama Taifa la kishetani tu hapa duniani. Kwani Nani kawambia makonda ana uhitaji kwa kwenda kwenye nchi yao. Shenzi kabisa Serikali ya Trump wote Ni wahuni Hamna kiongozi wa maana[emoji35][emoji35]
Mashoga ni hatari.View attachment 1342730
View attachment 1342609
Serikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi, uhuru na ulinzi wa watu.
Katika uongozi wake, Makonda ameonesha uonevu kwa wapinzani, kuminya uhuru wa kujieleza na kukusanyika na matendo maovu dhidi ya makundi maalum.
Marekani ina hofu kuhusu uvunjifu wa Haki za Binadamu na kupuuzwa kwa utawala wa sheria nchini Tanzania.
Kifungu namba 7031(c) kinampa uwezo Waziri wa Mambo ya nje kuweka zuio kama hili endapo mhusika amefanya ufisadi mkubwa au uvunjifu wa Haki za Binadamu. Pia kinamruhusu kuweka zuio kwa familia yake hivyo mke wa Makonda, Bi. Mary Felix Massenge amezuiwa pia.
Serikali ya Marekani inaikumbusha Serikali ya Tanzania kuheshimu utawala wa Sheria na Haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kukusanyika.
View attachment 1342609
Mtoto wake hayupo sawa. Itakuwa walitaka kumpeleka US.Sasa itabidi waende Germany.
Makonda ni muuaji kama issue ya ushoga kwa taarifa yako hata Trump anaupinga tafuteni MBELEKO nyengine ya kuwabebea WAUWAJI WENUMashoga ni hatari.
Niliwahi kuandika haya...
Tahadhari kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya: Maigizo mnayofanya yatawagharimu...
Wakuu wa mikoa yote na wakuu wa wilaya zote Tanzania. Nimepitia mtandao maarufu wa video, YouTube, nikajionea wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya mbali mbali Tanzania jinsi mnavyotekeleza majukumu yenu kwa namna ambayo imenishangaza sana. Wengi wenu ni kama mnafanya tamthilia (acting) ya...www.jamiiforums.com
Naona tayari dawa imekuingia 💉💉💉💉We kibaraka unastahili kufungiwa jiwe la tani moja mgongoni kisha utupiwe baharini uliwe na papa upanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
JiongezeKwani Ukizuiwa kuingia America utakosa Oxygen?
Marekan sio Peponi bana waache kujikweza
Kuna ma Billion ya Watu hawajafika America na hakuna cha maana wanakosa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatekateka watu, kuwatesa na kuwaflower alafu unataka kwenda kujisahaulishia madhambi yako markani!! Safi sana!! tunaomba nchi zooote zilizoendelea zifanye hivyo maana yakiwakuta yanakimbiliaga China kujidai ma 'jamaa' dhidi ya ma 'beruberu'. Wachunguzi mahiri wamegundua kuwa ni MTU katili anayejifichia kulialia kanisani na kuhubiri asoyajua!! Mwambieni laana zaidi zinakuja damu za watu sio maji hata ukae na masheikh/maaskofu kilasiku huku wakikusifu na kukubariki utadhani siowale wanaotuambiaga huoneshwa na Mungu mambo yamtu....
Kwa uhuni nyinyi mnaongoza kuua na kutesa watu dhaifu wasioweza kujuhami hata kwa visu washenzi wakubwaaTaifa la marekani huwa naliona Kama Taifa la kishetani tu hapa duniani. Kwani Nani kawambia makonda ana uhitaji kwa kwenda kwenye nchi yao. Shenzi kabisa Serikali ya Trump wote Ni wahuni Hamna kiongozi wa maana[emoji35][emoji35]
Alidhani ni rahisi kama alivyoingia clouds usiku
Washenzi nyinyi mnaoua kuteka na kuweka vizuizini watu ambao muliapaka kuwalinda kwa mujibu wa katiba!Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.
Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!.
Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.
Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!.
Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Hujaelewa implication ya kuzuiwa kwenda Marekani! Hasara utakazozipata ukizuiwa kwenda marekani siyo kukosa kwenda marekani mkuu, kama jambo fulani hujui maana yake kaa kimya!Taifa la marekani huwa naliona Kama Taifa la kishetani tu hapa duniani. Kwani Nani kawambia makonda ana uhitaji kwa kwenda kwenye nchi yao. Shenzi kabisa Serikali ya Trump wote Ni wahuni Hamna kiongozi wa maana[emoji35][emoji35]
Wewe ndo fala first class, Bashite kabla hajaleta makontena ya magari na fenicha za kifisadi alikwenda wapi mwaka juzi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka majina yao hapa tuwafahamu tafadhali.Hivi ni sifa gani unatakiwa kuwa nayo ili uzuiwe kuingia MarekaniKenya tu hapo kuna maafisa kibao wamezuiwa kuingia marekani na wanaendelea kula maisha ndani ya Kenya,
Marekani siyo mbinguni kwamba usipoenda unakufa.
Sent using Jamii Forums mobile app