Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Huu ndio wakati muafaka kwa Watanzania kusimama na rais, maana anatafutwa kwa namna zote, wanataka wamdhoofishe ili waendelee kubeba madini maana yeye ndiye mzalendo wa kwanza kupambana dhidi yao, alifanya kitu ambacho hakijawahi kufanywa na kiongozi yeyote Afrika, leo hii Waafrika wote wanamtegemea kuona kama atashinda kwenye haya mapambano, ili na wao waliamshe.
Madini yalishabebwa toka kabla hujazaliwa mpaka leo.

Huna akili wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taifa la marekani huwa naliona Kama Taifa la kishetani tu hapa duniani. Kwani Nani kawambia makonda ana uhitaji kwa kwenda kwenye nchi yao. Shenzi kabisa Serikali ya Trump wote Ni wahuni Hamna kiongozi wa maana[emoji35][emoji35]
Hiyo ni honi tu.pipiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii gari haijafika.Ila,ila imekaribia.Naona kama madarasa yako machache.
 
View attachment 1342730
View attachment 1342609
Serikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi, uhuru na ulinzi wa watu.
Katika uongozi wake, Makonda ameonesha uonevu kwa wapinzani, kuminya uhuru wa kujieleza na kukusanyika na matendo maovu dhidi ya makundi maalum.
Marekani ina hofu kuhusu uvunjifu wa Haki za Binadamu na kupuuzwa kwa utawala wa sheria nchini Tanzania.
Kifungu namba 7031(c) kinampa uwezo Waziri wa Mambo ya nje kuweka zuio kama hili endapo mhusika amefanya ufisadi mkubwa au uvunjifu wa Haki za Binadamu. Pia kinamruhusu kuweka zuio kwa familia yake hivyo mke wa Makonda, Bi. Mary Felix Massenge amezuiwa pia.
Serikali ya Marekani inaikumbusha Serikali ya Tanzania kuheshimu utawala wa Sheria na Haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kukusanyika.
View attachment 1342609

Mashoga ni hatari.

Niliwahi kuandika haya...

 
Mashoga ni hatari.

Niliwahi kuandika haya...

Makonda ni muuaji kama issue ya ushoga kwa taarifa yako hata Trump anaupinga tafuteni MBELEKO nyengine ya kuwabebea WAUWAJI WENU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatekateka watu, kuwatesa na kuwaflower alafu unataka kwenda kujisahaulishia madhambi yako markani!! Safi sana!! tunaomba nchi zooote zilizoendelea zifanye hivyo maana yakiwakuta yanakimbiliaga China kujidai ma 'jamaa' dhidi ya ma 'beruberu'. Wachunguzi mahiri wamegundua kuwa ni MTU katili anayejifichia kulialia kanisani na kuhubiri asoyajua!! Mwambieni laana zaidi zinakuja damu za watu sio maji hata ukae na masheikh/maaskofu kilasiku huku wakikusifu na kukubariki utadhani siowale wanaotuambiaga huoneshwa na Mungu mambo yamtu....

Umetukumbusha wale maaskofu na mashehe ambao huwa hawakosekani kwenye mikutano yake na kumwombea ndugu yetu huyu kwa bidii zote sijui sasa watasema nini au kuwa upande upi?
 
Taifa la marekani huwa naliona Kama Taifa la kishetani tu hapa duniani. Kwani Nani kawambia makonda ana uhitaji kwa kwenda kwenye nchi yao. Shenzi kabisa Serikali ya Trump wote Ni wahuni Hamna kiongozi wa maana[emoji35][emoji35]
Kwa uhuni nyinyi mnaongoza kuua na kutesa watu dhaifu wasioweza kujuhami hata kwa visu washenzi wakubwaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wakati nasisi kuonyesha uzalendo wetu kwa kumfukuza Balozi wao na kumpiga ban Trump, Pompeo na wamarekani wote kuja Tanzania..Waziri wetu nguli Prop Kabudi atoetamko haraka sana.

Tuna reserve ya hela za kutosha pale BOT, Taifa letu linajitoshereza wasitutishe hawa.
 
Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.

Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!.
Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Washenzi nyinyi mnaoua kuteka na kuweka vizuizini watu ambao muliapaka kuwalinda kwa mujibu wa katiba!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.

Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!.
Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P

Siyaungi mkono mawazo yako daima. Kwa nini Huyu Makonda amekuwa mwiba Kwa uhusiano kati ya serikali na chama halafu huoni? Kwa nini anaanzisha vitu vya kuzalilisha utu wa mtu halafu huoni? Naomba mawazo yako kaa nayo usinipe hasira asubuhi hii
 
Taifa la marekani huwa naliona Kama Taifa la kishetani tu hapa duniani. Kwani Nani kawambia makonda ana uhitaji kwa kwenda kwenye nchi yao. Shenzi kabisa Serikali ya Trump wote Ni wahuni Hamna kiongozi wa maana[emoji35][emoji35]
Hujaelewa implication ya kuzuiwa kwenda Marekani! Hasara utakazozipata ukizuiwa kwenda marekani siyo kukosa kwenda marekani mkuu, kama jambo fulani hujui maana yake kaa kimya!
 
Katibu Pompeo kuna mengine yamesahaulika piga bani haya majitu .Hapi,Gambo,Mnyeti,Kitwala na Sabaya.
 
Kenya tu hapo kuna maafisa kibao wamezuiwa kuingia marekani na wanaendelea kula maisha ndani ya Kenya,
Marekani siyo mbinguni kwamba usipoenda unakufa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Weka majina yao hapa tuwafahamu tafadhali.Hivi ni sifa gani unatakiwa kuwa nayo ili uzuiwe kuingia Marekani
 
Back
Top Bottom