Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Mashoga wana nguvu aisee yanadai haki za kuliwa.

Chadema njooni mshangilie sasa



Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana ukisoma barua suala la ushoga ni moja ya mambo ila kuna shutuma kubwa kuliko hiyo soma vizuri na ingekuwa ushoga tu siku nyingi angepigwa ban kuna shutuma uhuru na ulinzi wa watu hapo ndio hatari.
 
Tumewapa miaka minne tu washaivuruga nchi aisee je ingekua kumi sijui tutaweka wapi nyusi zetu.
 
Hakuna sababu ya ushoga iliyowekwa kwenye tangazo la katazo. Hizo ni imagination zako ili Ku justify ujinga unaofikiria.
 
Yes nilisha wahi kwenda USA, si ni pale baada ya Ngulelo, Tengeru, then USA, baada ya hapo ni Maji ya Chai, then KIA.

Marekani kama nchi, sijawahi kufika, ila nimevaa sana material zao na kitamba cha Marekani.
P
Mkuu hii inaweza kuwa ni calculated move dhidi ya kuzima ndoto zako za makonda kuwa rais 2025?

Maana ukishakuwa blacklisted tu na hawa jamaa sio salama tena.

Ama tutaweza kuwa na president mwenye ban ya kwenda USA?

Siasa za CCM ni ngumu sana. Lolote hawa jamaa hulifanikisha. Chama pekee ambaye hakuna kiongozi ana mamlaka ya kukizid chama. Huwa ni suala la muda tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DAB is a nobody that is a message to somebody that the veil is going to be unveiled
 
Naomba na serikali ya Europe watoe tamko ASAP wapige ban ya kizazi kwa bwana yule.
 
Hapa serikali lazima itumie busara ni heri kumtosa mtu mmoja kuliko kumng'ang'ania na kuumiza watu wengine.
 
Inauma wewe acheni tu unaenda na vitoto ubalozini kuomba Visa sijui na kina Harmo au Kitenge halafu wewe mwenye mkoa unapigwa chini vitoto vinatoka na furaha. inauma sana....
 
CIA walishapewa taarifa zote za Daud Bashite na FBI waliopo hapo Tanzania juu ya utekaji upigaji risasi na kuwabambikia watu kesi kuwapora wapinzani ushindi kwenye chaguzi zote
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…