FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Pambana na hili kwanza, kaa humo...;Unapiga kelele tu Dogo. huu ndo mwisho wa serikali yenu ya kigaidi
Hizi haziwezi kuisha mkuu! 😂😂😂Tumeshafika huko tuiombee sana nchi yetu tuvuke salama huu mwaka wa majaribu sana kwetu kama Taifa.
Rais Magufuli na Prof Kabudi wawe makini sana mwaka huu na kauli zao za mdomoni, la sivyo tutaifuta Zimbambwe iliko.
Zile kauli za kujimwambafai ziishe kabisa.
Acha mihemuko we hebu bashite na kishindo cha awamu ya tano wametishia maslahi gani ya beberu marekani? Kama mjomba wenu kabudi na jiwe wameuza nchi kwa bei ya nyanya kwa beberu barrick je ni maslahi gani bashite aliyoitishia marekani?Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi? Mashoga wakubwa nyie, nendeni huko kwa mabwana zenu mkatafunwe mik*undu mbwa nyie..!!!
Nadhani baada ya kutokea kama hayo hao unaowaabudu nao watakuwa si lolote na tutaanza kwa kugeshimiana.Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
Sawa, hili swali nimeuliza zaidi ya mara 100, ila wewe tu ndio umelijibu angalau, safi sana!😁Bora tupigwe tu kama LIBYA ili akili zikae sawa maana GENGE la BASHITE na BABA YAKE ndio wanavyotaka.
Hangaika na hili kwanza;
Inauma wewe acheni tu unaenda na vitoto ubalozini kuomba Visa sijui na kina Harmo au Kitenge halafu wewe mwenye mkoa unapigwa chini vitoto vinatoka na furaha. inauma sana....
Demokrasia barani Afrika ni ya kuogopa kama ukoma, mwenye hoja ya kupinga aje ulingoni
Demokrasia ndani ya Afrika ni nyenzo ya ukoloni mamboleo. Hivi umeshawahi kujiuliza ni kwanini mabepari/ mabeberu hupenda sana kuona nchi za Afrika zikizingatia demokrasia na haki za binadamu? Na hawakupi msaada kama huzingatii demokrasia na haki za binadamu (wapinzani). Jibu ni rahisi sana...www.jamiiforums.com
Nimefuatilia comments za waTz katika majukwaa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii; kwa kweli niseme kwa dhati kabisa kwamba nimeshtushwa na kushangazwa na kusikitishwa na kitendo cha waTz kushangilia katazo hilo.
Makonda kapigwa hilo zuio kutokana na marufuku aliyoiweka kwa wanaume kuzibuana makalio na mitaro ya maji machafu, and rightfully so! Hivi hawa manguruwe walitegemea sisi tukubali ushoga kabisa, kweli?!!
Pia ifahamike, hayo masuala ya ushoga ni kama sababu tu tunayotafutiwa, ila kuna jambo lingine lipo nyuma ya pazia na hiyo ya ushoga ni gelesha tu. Marekani huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi bila kuwa na agenda za maslahi yake anazokua amezificha, tuwe makini.
Ila kubwa kabisa, nimegundua wanaosapoti ushoga katika nchi hii ni wengi sana, nahisi 70% yaWatz wote ni mashoga, i fear so, ngoja niendelee kufuatilia comments huko mitandaoni.
Demokrasia barani Afrika ni ya kuogopa kama ukoma, mwenye hoja ya kupinga aje ulingoni
Demokrasia ndani ya Afrika ni nyenzo ya ukoloni mamboleo. Hivi umeshawahi kujiuliza ni kwanini mabepari/ mabeberu hupenda sana kuona nchi za Afrika zikizingatia demokrasia na haki za binadamu? Na hawakupi msaada kama huzingatii demokrasia na haki za binadamu (wapinzani). Jibu ni rahisi sana...www.jamiiforums.com
Hapana waseme sababu nyingine lakini kwa hii wanatudanganya watanzania.
Over deteriorating respect for human rights???
Zipii.??
Kwa hiyo huu ukandamizwaji wa haki za binadamu kaufanya makonda peke yake Kama mkuu wa mkoa ndio Mana yeye kapewa ban???
Uvunjifu gani alio ufanya, kaua, kanyonga mtu, kafunga mtu jela, kateka mtu ama nini hasa, Kama ni hivo kwanini hawakuweka ushahidi hata wa hayo aliyo yafanya???
Waseme tu ukweli na sio kutufanya wajinga kiasi hiki, Kama kweli huku kuna uvunjifu wa haki za binadamu na hakuna utawala wa sheria basi wangeanza na Rais na sio mkuu wa mkoa. Hili jambo linashangaza sana hili.
Au ni kwasababu aliwapinga walipotao matamko kuwa kutakuwa na mashambulizi ya kigaidi maeneo ya masaki bila kushirikisha serikali (huu ndo utawala wa sheria wanao utaka)na kusema watalii wasije tz.?
Au ni kwasababu aliwapinga pale walipokuwa wanalazimisha kuaminisha watu kuwa Tanzania kuna EBORA tena mgonjwa kagundulika temeke Dar es salaam?
Nadhani Wana kitu binafsi na Makonda na hii habari ya human rights ni kisingizio tu.
Mbona sasa mnapiga mayowe meeengi,Kenya tu hapo kuna maafisa kibao wamezuiwa kuingia marekani na wanaendelea kula maisha ndani ya Kenya,
Marekani siyo mbinguni kwamba usipoenda unakufa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wakati nasisi kuonyesha uzalendo wetu kwa kumfukuza Balozi wao na kumpiga ban Trump, Pompeo na wamarekani wote kuja Tanzania..Waziri wetu nguli Prop Kabudi atoetamko haraka sana.
Tuna reserve ya hela za kutosha pale BOT, Taifa letu linajitoshereza wasitutishe hawa.
Jibu hili kwanza, USA huwa anahangaika na nchi za nje bila kuwa na maslahi? Uliza historia ya Rwanda genocide 1994 uone kama Marekani aliinua hata kidole kutetea hizo haki za binadamu anazojidai kuzipenda sana, maana kuke Rwanda hamna.cha maana zaidi ya masokwe tu. Sasa jibu hili;Acha mihemuko we hebu bashite na kishindo cha awamu ya tano wametishia maslahi gani ya beberu marekani? Kama mjomba wenu kabudi na jiwe wameuza nchi kwa bei ya nyanya kwa beberu barrick je ni maslahi gani bashite aliyoitishia marekani?
Sawa, wewe ni wa pili kujibu japo hili swali nimuliza zaidi ya mara 100 humu 😂Nadhani baada ya kutokea kama hayo hao unaowaabudu nao watakuwa si lolote na tutaanza kwa kugeshimiana.
Pambana na hili kwanza,Aisee umenikumbusha 1995 ambapo tuliambiwa tukichagua upinzani nchi itaingia kwenye vita kubwa na videos tukaoneshwa.
Ninachohisi ni kuwa wameanza na Daudi...
More to come....