Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI


Acha upuuzi ww mtoto, unatoa duplicate copy ili iweje? Mjinga mkubwa
 
Unataka wamerakni wafanye nini sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Wanashikilia hilo la ushoga ili kuficha lengo hasa, maana hao US wanatolea macho huu udictator, hivyo wanatamka hilo la ushoga ili kuficha ukweli halisi.
 
Bila huo mnaouita udikteta basi nchii hii ingekuwa mikononi mwa beberu muda huu, nanhiyo Stieglers gorge mngekuwa mnaisikia kwenye ndoto zenu tu, hatuwezi kuruhusu hilo kamwe.
 
Mnaokuja na hii hoja mnafurahisha sana..... Sasa kama Marekani ndio kamshoot Lissu ili kupata sababu ya kuivuruga Tanzania je ni kwanini polisi wameshindwa kudadavua huu mchezo?? Yaani mpaka leo mtuhumiwa hajakamatwa ila lawama ni kwa CIA??

CIA hawawezi kudungua risasi 38 wakakukosa..... U can't be serious. Hao ni mercenaries wa kibongo kabisa wanaotumia nguvu badala ya akili. Kwanza CIA haihitaji kutumia nguvu kwa nchi maskini zaidi kuwadhoofisha wangezuia mikopo na kukataa bidhaa zenu kuuzwa nje hyo tu inatosha kuleta haja ya serikali kuondolewa.

I mean CIA can think better than that
 
Gross violations of human rights- hapa Secretary Pompeo kwa busara na diplomasia amesita kumuita muuaji mkubwa.
 
Ha ha ha... teh teh teh tiiiih... huh?!? 😛🙂🙂🙂... Coffee please!!☕
 
Yaani kuna watanzania wengine hawajielewi hadi inasikitisha! Wao wanamwona mmarekani anatupenda sana!
Hawajui daima yuko kwenye mission yake ya kuimarisha maslahi yake ya kiuchumi.
 
Nimeshangaa sana kwa takwimu yako ya 70% ya watanzania unahisi ni mashoga,kwenye hizo asilimia watu wa ukoo wenu hawakosekani hata wewe utakuwa ni miongoni mwa hao mashoga
 

Dictionary yako imekusaidia ktk kipengele hiko tu cha ushoga mbona mengine yaliyoandikwa kwenye ile barua ujasema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…