Na sisi tuwaamuru hawa watawala wetu watuambie Ben Saanane, Azory Gwanda, Christopher Kanguye, na wengine. Pia watuambie Nani wamempiga risasi Lisu, nani wanateka watu, kwa jina la "wasiojulikana," waliokuwa wanaokotwa kwenye viroba mitoni na baharini!!! Maana ukisoma vizuri zuio la Wamarekani wanasema Bashite Ni mmoja wa watuhumiwa. Tunataka wengine wanaohusika na kadhia hii tuambiwe na wale tuliowapa madaraka ya kutulinda.Hizo ni salaam kwa Meko ambaye ndiye mlengwa. Hii ni fedheha kwa utawala wake, yaani badala ya kuwalinda raia wake yeye anawaua.
Huyu Bashite alikuwa anatekeleza maagizo ya Meko.
Hii ni timing ya kumburuza Meko na wasaidizi wake kule the Hague. Ndo hivyo tena ili watanzania turejeshe amani yetu ni lazima tumng'oe huyu dikteta. Wamarekani washatutengenezea njia ya kupita.
Ifikapo Oktoba mwaka huu Meko ajiandae kurejea Chato kuendeleza kilimo cha matikiti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.
Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!. Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Sema utakuwa naye, usitujumuisheLete ushahidi jomba wa haya matukio unayoyasema usikurupuke. Watu wanatengeneza matukio na propaganda zao halafu lawama wanaitupia serikali kwa lengo la kuichafua tu .nasema wananchi hatukubaliani na ushenzi huo..Magufuli tutakuwa nae mpaka siku atakapochoka yeye .kma hamna kazi ya kufanya jomba mmetumbuliwa jipangeni Tena muanze maisha upya. Tunajua ajenda ya ushoga ndio burning issue .Makonda ana Nini la kumkandamiza mtu wewe..Mkuu wa Mkoa tu Hana issue .wanamuonea tu. After all kwani Nani amekwambia anahaja ya kwenda Marekani. Kwani amesahau Nini..
acha kudanganya serikali ya trump haipendi mashoga kwenye suala la mashoga trump anamsimamo sawa na bashite akina obama ndio walikuwa wanatetea ushoga.Marginalized wewe unaelewa ni ushoga tu?hapo kweli inabidi ujicheke mwenyewe manake unastahili.
Unapotosha kichwa maji weweDemokrasia barani Afrika ni ya kuogopa kama ukoma, mwenye hoja ya kupinga aje ulingoni
Demokrasia ndani ya Afrika ni nyenzo ya ukoloni mamboleo. Hivi umeshawahi kujiuliza ni kwanini mabepari/ mabeberu hupenda sana kuona nchi za Afrika zikizingatia demokrasia na haki za binadamu? Na hawakupi msaada kama huzingatii demokrasia na haki za binadamu (wapinzani). Jibu ni rahisi sana...www.jamiiforums.com
Nimefuatilia comments za waTz katika majukwaa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii; kwa kweli niseme kwa dhati kabisa kwamba nimeshtushwa na kushangazwa na kusikitishwa na kitendo cha waTz kushangilia katazo hilo.
Makonda kapigwa hilo zuio kutokana na marufuku aliyoiweka kwa wanaume kuzibuana makalio na mitaro ya maji machafu, and rightfully so! Hivi hawa manguruwe walitegemea sisi tukubali ushoga kabisa, kweli?!!
Pia ifahamike, hayo masuala ya ushoga ni kama sababu tu tunayotafutiwa, ila kuna jambo lingine lipo nyuma ya pazia na hiyo ya ushoga ni gelesha tu. Marekani huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi bila kuwa na agenda za maslahi yake anazokua amezificha, tuwe makini.
Ila kubwa kabisa, nimegundua wanaosapoti ushoga katika nchi hii ni wengi sana, nahisi 70% yaWatz wote ni mashoga, i fear so, ngoja niendelee kufuatilia comments huko mitandaoni.
Demokrasia barani Afrika ni ya kuogopa kama ukoma, mwenye hoja ya kupinga aje ulingoni
Demokrasia ndani ya Afrika ni nyenzo ya ukoloni mamboleo. Hivi umeshawahi kujiuliza ni kwanini mabepari/ mabeberu hupenda sana kuona nchi za Afrika zikizingatia demokrasia na haki za binadamu? Na hawakupi msaada kama huzingatii demokrasia na haki za binadamu (wapinzani). Jibu ni rahisi sana...www.jamiiforums.com
Tanzania reasoning ipo chini sana comment kma hii Youtube na Insta zimejaa.... Kiukweli tuna IQ ndogo sana kama taifaLete ushahidi jomba wa haya matukio unayoyasema usikurupuke. Watu wanatengeneza matukio na propaganda zao halafu lawama wanaitupia serikali kwa lengo la kuichafua tu .nasema wananchi hatukubaliani na ushenzi huo..Magufuli tutakuwa nae mpaka siku atakapochoka yeye .kma hamna kazi ya kufanya jomba mmetumbuliwa jipangeni Tena muanze maisha upya. Tunajua ajenda ya ushoga ndio burning issue .Makonda ana Nini la kumkandamiza mtu wewe..Mkuu wa Mkoa tu Hana issue .wanamuonea tu. After all kwani Nani amekwambia anahaja ya kwenda Marekani. Kwani amesahau Nini..
Sasa jamaa mtoto wa pili atapandikiza wapiAiseh
Kwani Ukizuiwa kuingia America utakosa Oxygen?
Marekan sio Peponi bana waache kujikweza
Kuna ma Billion ya Watu hawajafika America na hakuna cha maana wanakosa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo unajua wewe na haihusiani na hii ya Makonda pole sana kwa strokeππMarekani anafanya hivyo pale anapotaka kuiba tu, ila mwenyewe anapotezea wizi wa Trump kwa Hilary. Ndio maana mpaka leo wanahangaika kumtoa wameshindwa. Trump aliiba kura kwa msaada wa Urusi.
We kibuyu unadhani wamarekani nao wakija huku huja kupandikiza mbegu?!
#bogus
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia inatambua wizi na uuaji wa marekani .Hiyo unajua wewe na haihusiani na hii ya Makonda pole sana kwa strokeππ
Mkuu unanicheka, hayo ndiyo yatakuwa maamuzi ya CCM chini ya jiweππππ
Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.
Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!. Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Brother mbona unakurupuka?wapi nilipoyaongelea hayo unayoyasema?acha kudanganya serikali ya trump haipendi mashoga kwenye suala la mashoga trump anamsimamo sawa na bashite akina obama ndio walikuwa wanatetea ushoga.
Embu tafakari kwa kina statement ya us maneno kama "denial of the right to life" maana yake ni uuaji makonda anashiriki uuaji.
tena wanasema wana credible information yaani hapa CIA wameusika.
Inamaana aya maauaji ya ajabu yanayotokea tanzania kama kina saanane kwamba bashite anahusika
Usisahau jina la Tanzania limechafuka, watalii wakapungua, wawekezaji wakapungua, misaada ikapungua, vikwazo vikaongezeka.
Na watalii wao wasije tutafanya utalii wa ndani.Kama Wamarekani wamepiga marufuku viongozi wetu kwenda kwao na sisi tupige marufuku viongozi wao wasije Tanzania, hakuna namna.
Ukweli mchungu.
Sisi ni donor countryππππWatalii hawatakuja. Baadae dola moja inaweza kuwa sawa na 238971 tshs
$1=tsh238971