Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Umeambiwa kadhulumu haki ya kuishi kwa baadhi ya watu kisha wewe unatuletea habari ya ushoga.


Pathetic
 
Hizo ni salaam kwa Meko ambaye ndiye mlengwa. Hii ni fedheha kwa utawala wake, yaani badala ya kuwalinda raia wake yeye anawaua.
Huyu Bashite alikuwa anatekeleza maagizo ya Meko.

Hii ni timing ya kumburuza Meko na wasaidizi wake kule the Hague. Ndo hivyo tena ili watanzania turejeshe amani yetu ni lazima tumng'oe huyu dikteta. Wamarekani washatutengenezea njia ya kupita.

Ifikapo Oktoba mwaka huu Meko ajiandae kurejea Chato kuendeleza kilimo cha matikiti.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na sisi tuwaamuru hawa watawala wetu watuambie Ben Saanane, Azory Gwanda, Christopher Kanguye, na wengine. Pia watuambie Nani wamempiga risasi Lisu, nani wanateka watu, kwa jina la "wasiojulikana," waliokuwa wanaokotwa kwenye viroba mitoni na baharini!!! Maana ukisoma vizuri zuio la Wamarekani wanasema Bashite Ni mmoja wa watuhumiwa. Tunataka wengine wanaohusika na kadhia hii tuambiwe na wale tuliowapa madaraka ya kutulinda.
 
Kumbe jibu unalo mnaishi kwa msaada wa watu wa marekani.
Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.

Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.

To hell with America!. Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lete ushahidi jomba wa haya matukio unayoyasema usikurupuke. Watu wanatengeneza matukio na propaganda zao halafu lawama wanaitupia serikali kwa lengo la kuichafua tu .nasema wananchi hatukubaliani na ushenzi huo..Magufuli tutakuwa nae mpaka siku atakapochoka yeye .kma hamna kazi ya kufanya jomba mmetumbuliwa jipangeni Tena muanze maisha upya. Tunajua ajenda ya ushoga ndio burning issue .Makonda ana Nini la kumkandamiza mtu wewe..Mkuu wa Mkoa tu Hana issue .wanamuonea tu. After all kwani Nani amekwambia anahaja ya kwenda Marekani. Kwani amesahau Nini..
Sema utakuwa naye, usitujumuishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marginalized wewe unaelewa ni ushoga tu?hapo kweli inabidi ujicheke mwenyewe manake unastahili.
acha kudanganya serikali ya trump haipendi mashoga kwenye suala la mashoga trump anamsimamo sawa na bashite akina obama ndio walikuwa wanatetea ushoga.
Embu tafakari kwa kina statement ya us maneno kama "denial of the right to life" maana yake ni uuaji makonda anashiriki uuaji.
tena wanasema wana credible information yaani hapa CIA wameusika.
Inamaana aya maauaji ya ajabu yanayotokea tanzania kama kina saanane kwamba bashite anahusika
 

Nimefuatilia comments za waTz katika majukwaa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii; kwa kweli niseme kwa dhati kabisa kwamba nimeshtushwa na kushangazwa na kusikitishwa na kitendo cha waTz kushangilia katazo hilo.
Makonda kapigwa hilo zuio kutokana na marufuku aliyoiweka kwa wanaume kuzibuana makalio na mitaro ya maji machafu, and rightfully so! Hivi hawa manguruwe walitegemea sisi tukubali ushoga kabisa, kweli?!!

Pia ifahamike, hayo masuala ya ushoga ni kama sababu tu tunayotafutiwa, ila kuna jambo lingine lipo nyuma ya pazia na hiyo ya ushoga ni gelesha tu. Marekani huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi bila kuwa na agenda za maslahi yake anazokua amezificha, tuwe makini.
Ila kubwa kabisa, nimegundua wanaosapoti ushoga katika nchi hii ni wengi sana, nahisi 70% yaWatz wote ni mashoga, i fear so, ngoja niendelee kufuatilia comments huko mitandaoni.

Unapotosha kichwa maji wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lete ushahidi jomba wa haya matukio unayoyasema usikurupuke. Watu wanatengeneza matukio na propaganda zao halafu lawama wanaitupia serikali kwa lengo la kuichafua tu .nasema wananchi hatukubaliani na ushenzi huo..Magufuli tutakuwa nae mpaka siku atakapochoka yeye .kma hamna kazi ya kufanya jomba mmetumbuliwa jipangeni Tena muanze maisha upya. Tunajua ajenda ya ushoga ndio burning issue .Makonda ana Nini la kumkandamiza mtu wewe..Mkuu wa Mkoa tu Hana issue .wanamuonea tu. After all kwani Nani amekwambia anahaja ya kwenda Marekani. Kwani amesahau Nini..
Tanzania reasoning ipo chini sana comment kma hii Youtube na Insta zimejaa.... Kiukweli tuna IQ ndogo sana kama taifa

Kama mchezo umechezwa kuichafua serikali kwanini polisi au TISS wameshindwa kukamata hao waliofanya?? Ina maama kumbe mtu anaweza fanya uhalifu wa kuchonganisha asijulikane ??

Mngejivua lawama kma mngekamata waliohusika na mchezo huu ila kitendo cha kushindwa kamata hta number plate alizotaja Lisu na namba za simu zilizomtishia inaonyesha nyie ndio mmehusika mpende msipende.

Kingine US haitaji kuchonganisha nchi maskini kama Tz wakato anaweza wabana kwenye misaada tu mpaka awatawale.... Hayo ya kuchonganisha ni mataifa makubwa kama China au Iran sio ombaomba kama sisi.

Wakizuia tu misaada ya ARV au Elimu na afya si ametumaliza..... Anahitaji mpaka alete vita humu ndio atudhoofishe??

Msipende kuleta ujuaji kwenye kila kitu
 
Marekani anafanya hivyo pale anapotaka kuiba tu, ila mwenyewe anapotezea wizi wa Trump kwa Hilary. Ndio maana mpaka leo wanahangaika kumtoa wameshindwa. Trump aliiba kura kwa msaada wa Urusi.
Hiyo unajua wewe na haihusiani na hii ya Makonda pole sana kwa stroke😁😁
 
Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.

Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.

To hell with America!. Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P

bro unamtetea bashite sababu ni msukuma mwenzio au ???

nani asiyejua makovu alosababisha makonda kwa raia wa taifa hili?
 
acha kudanganya serikali ya trump haipendi mashoga kwenye suala la mashoga trump anamsimamo sawa na bashite akina obama ndio walikuwa wanatetea ushoga.
Embu tafakari kwa kina statement ya us maneno kama "denial of the right to life" maana yake ni uuaji makonda anashiriki uuaji.
tena wanasema wana credible information yaani hapa CIA wameusika.
Inamaana aya maauaji ya ajabu yanayotokea tanzania kama kina saanane kwamba bashite anahusika
Brother mbona unakurupuka?wapi nilipoyaongelea hayo unayoyasema?
 
Back
Top Bottom