ibesa mau
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 2,109
- 1,697
Marekani hamshindi mtu, Muulize Rais wa Nicaragua kilichomkuta kubishana na marekaniMarekani kamshindwa Syria anataka kupotezea kwa kumsakama makonda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marekani hamshindi mtu, Muulize Rais wa Nicaragua kilichomkuta kubishana na marekaniMarekani kamshindwa Syria anataka kupotezea kwa kumsakama makonda
mxiewwwwweeeeeeeww hata sikutaka kucomment kwenye huu ushuzi wako imenifanya nikujibu yaaan off all reasons attached hapo umeonaa wamezungumziaa ushogaa yaan watu wengine bwana hivi unamjuaa huyo aliyetoaa report/barua/onyo ni nani?? unajuaa alikuwa nani before hajawa na hiyo nafasi aliyonayo sasa?au unadhan marekani wanaongozwa kwa mihemko kama sisi wabongo?watu wamesha kaa chini na kufuatilia thats why wakaja na sababu zinazoeleweka ila mabonngo zozo kama ww ndo mmenangania ushogaa kwani whts wrong with ushoga kama mtu anakubali kuliwa mwenyewe na anaenjoy??!nani anakupa jeuri ya kuingilia uhuru wa mtu??yaan dudu apigwe mwingine ww uumiee kweli??hebu fanyeni kazi bwnaa na kujifanya unajua kila kitu kama huna kazi natafuta house boy wa kunifuliaa vyupi vyangu ....
Wewe pia ni shoga kama mashoga wengine.Sio ulofa. Huyo ni mwanamme anaye disa. Mwanaume Rijali haofii kifo. Mashoga kama wewe ndiyo malofa. Utaachaje kuulinda utu wako na ule wa wananchi wako eti kwa sababu ya kuogopa kifo. Kifo ni kifo tu. Uanguke na ndege, upate ajali ya gari, ufe kwa sababu ya maradhi ya ukimwi au wakati unautetea utu wako. Kifo ni kifo tu.
Nikifa kwa ajili ya kutetea maslahi na utu wangu mbona ni thawabu kwa mungu. Kuna kifo kizuri kama hicho?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndio ukweli Mkuu. Lakini kuna watu hapa kwa makusudi kabisa wanataka kuwapotosha Watanzania wajikite kwenye kudhani Makonda anazuiwa kwa sababu ya msimamo wake mambo ya ushoga. Ukweli ulio wazi ni kwamba USA wanamtuhumu Makonda kuhusika na kuua watu. Sasa watu gani Makonda kahusika kuwaua? Hilo ndilo swali Watanzania tunapasa kuwashikia bango USA watufafanulie.ukimuua mtu unakua umemnyima haki yake ya kuishi.
Basi na nyie wawekeeni vikwazo. Lakini pia angalia USA hawakuficha juu ya hilo. Basi Makonda nae aweke wazi nani kamnyima haki ya kuishi.Mbona USA ilimnyima haki ya kuishi yule jenerali wa IRANI?Tusiwe kasuku
Yana mwisho yote, atafika ICC na wote waliohusikaMbona USA ilimnyima haki ya kuishi yule jenerali wa IRANI?Tusiwe kasuku
😄😄😄😄Wewe pia ni shoga kama mashoga wengine.
Mwanaume halisi hana Mungu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sababu za makonda kuzuiliwa zimewekwa hadharani kwenye ile barua.. Na pia wamesema wanaushahidi kabisaa.. Ningekuona mzalendo walau ungeomba huo ushahidi uwekwe hadharani ili tuprove nikweli ama wanamsingiziaDemokrasia barani Afrika ni ya kuogopa kama ukoma, mwenye hoja ya kupinga aje ulingoni
Demokrasia ndani ya Afrika ni nyenzo ya ukoloni mamboleo. Hivi umeshawahi kujiuliza ni kwanini mabepari/ mabeberu hupenda sana kuona nchi za Afrika zikizingatia demokrasia na haki za binadamu? Na hawakupi msaada kama huzingatii demokrasia na haki za binadamu (wapinzani). Jibu ni rahisi sana...www.jamiiforums.com
Nimefuatilia comments za waTz katika majukwaa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii; kwa kweli niseme kwa dhati kabisa kwamba nimeshtushwa na kushangazwa na kusikitishwa na kitendo cha waTz kushangilia katazo hilo.
Makonda kapigwa hilo zuio kutokana na marufuku aliyoiweka kwa wanaume kuzibuana makalio na mitaro ya maji machafu, and rightfully so! Hivi hawa manguruwe walitegemea sisi tukubali ushoga kabisa, kweli?!!
Pia ifahamike, hayo masuala ya ushoga ni kama sababu tu tunayotafutiwa, ila kuna jambo lingine lipo nyuma ya pazia na hiyo ya ushoga ni gelesha tu. Marekani huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi bila kuwa na agenda za maslahi yake anazokua amezificha, tuwe makini.
Ila kubwa kabisa, nimegundua wanaosapoti ushoga katika nchi hii ni wengi sana, nahisi 70% yaWatz wote ni mashoga, i fear so, ngoja niendelee kufuatilia comments huko mitandaoni.
Demokrasia barani Afrika ni ya kuogopa kama ukoma, mwenye hoja ya kupinga aje ulingoni
Demokrasia ndani ya Afrika ni nyenzo ya ukoloni mamboleo. Hivi umeshawahi kujiuliza ni kwanini mabepari/ mabeberu hupenda sana kuona nchi za Afrika zikizingatia demokrasia na haki za binadamu? Na hawakupi msaada kama huzingatii demokrasia na haki za binadamu (wapinzani). Jibu ni rahisi sana...www.jamiiforums.com