Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Kwahiyo anachokisema USA unaamini? Angalia matukio mengi aliyoyafanya duniani kwa kuidanganya dunia. Hiyo barua ukiiangalia kiundani ni copy paste. Yaani wamechukua barua ambayo washaandikiaga watu na kuedit jina la makonda tu. Swala hapo ni la ushoga tu hakuna kitu kingine. Nasikitika sana kuona waafrika wanawaamini sana USA katika kila jambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viva jpm [emoji123]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Kama kweli tatizo la Makonda ni mambo ya kulawitiana, basi nina hakika akina Superbug, Echilio, erythrocyie, Sky Eclat, nk. wote mutatueleza musimamo wenu. Imefikia hatua unashangilia kila linalokuja kinyume cha serikali bila kujua wewe linakugusa vipi?

Au ndo haki alizotaja Zitto kwenye barua yake?
 
Ila bebebru hata siku moja hawezi kuwa mbuzi jike, Hivi hawajui kama ubalozi wao uko chini ya himaya ya Makonda?
 
Hahaha nimeona vikosi vya lugalo pale vikipasha...

Kumbe yale maandiko taifa kubwa duniani litadondoshwa na taifa ndogo hilo taifa ndogo ni tanzania??

usa waanze kuomba msaada kwa washirika wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I think there are some laws in Tanzania tells something about homosexual and its clearly stated that homosexual is prohibited in Tanzania. With no doubt, this law existed since independence and still working if not somebody can correct. If this law was there since Nyerere till now, Why this tycoon USA want now to deal with our friend Makonda??
As far as I know, there are some nations in Africa have strictly prohibit homosexual with strong punishment when some body caught involved, Why do USA deal with only Tanzania and Paul not these nations?

I will be back.. please somebody help on those questions.
 
Huko kwenye madawa na mashoga unajua wewe,jamaa yenu anapotezea watu haki ya kuishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…