Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Magufuli ubabe wake ni kwa raia zake tu anajua hawana uwezo wa kumanya chochote zaidi ya kusikitika, lakini mbele ya USA ataufyata kama aliefumaniwa vile.
 
Kwani asipoenda Marekani yeye anakosa nini!?achane nao mabeberu tu hayo tena ikiwezekana na wao tuwazuie kukanyaga bongoland.
 
Hawa watu wanatabia ya kuchunguza na kuwa na taarifa nyingi za watu tawala giografia nk. Sasa kwa hili lazima wanataarifa . Kwa nini wasema jamaa anahusika na haki za watu kutokuishi....pana makubwa
 
Si mchezo!
Screenshot_20200201-120846.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanunuzi wakubwa wa Korosho,kahawa na Pamba duniani ni mmarekani.Sasa mtauza korosho na pamba kule sokoni kariakoo.Mchekeeni tu
 
Magufuli ubabe wake ni kwa raia zake tu anajua hawana uwezo wa kumanya chochote zaidi ya kusikitika, lakini mbele ya USA ataufyata kama aliefumaniwa vile.
Si alisema yeye ni jiwe?
 
USA asituchezee nasisi tumuekee vikwazo[emoji23][emoji23][emoji23] au tuitindue ile kambi yake ya kenya pale Ma ma e [emoji85][emoji85][emoji85]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naona wampeleke Pampeo kwa DPP akapigwe na kesi ya kutakatisha pesa tu na jinai kwa kutumia jina la mkuu wetu wa mkoa
 
mkuu wewe hamu yako Tanzania ikione cha mtema kuni. Kwa uhakika hiyo ndio dhamira yako otherwise usingelimpush Magufuli aoneshe umwamba wake kwa US wakati unajua vizuri chochote kitakachotoka mdomoni kwa huyu mzee kitakua ni petroli ktk cheche ya moto. Sitegemei kuwa litakuwa unalolitaka liwe kwa sababu na Magufuli pia anajua ilipofikia US hawatanii.
MTEMA KUNI alikiona nini hivi uyujamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani unamueka pompeo level moja lemutuz, haji manara, polepole, kibabaji!
Watu wengine akili zenu mnazijua wenyewe
 
Acha cherry picking mimi nimetoa mfano kuwa mbona ameingia nchi masikini pia ambazo hazima rasilimali kama Kosovo au Guatemala?

Kwahiyo nimekipa task nipe mfano wa nchi yenye rasilimalia ambayo US ameingia bila vita kupiganwa na ikaharibika?? Nipe mfano wa hizo nchi.

Maana mmi hoja yangu ni kwamba nchi zinaharibiwa na vita sio eti marekani..... Mbona Egypt iko imara licha ya pressure ya US jamaa kuachia ngazi?? Vipi CUBA mbona licha ya pingamizi la US wamebaki imara hadi leo?? Yote sababu huko vita hazikupiganwa za wenyewe kwa wenyewe ila vita ndio huleta maafa.

Libya na Iraq huko sababu vita zimepiganwa so Is machafuko venezuela. Ila marekani ikikuwekea pressure alafu ukiamua kujiuzuru kirafiki kabisa kama Yahya Jammeh nchi yako itaharibikaje?? Hapa ndio sikuelewi kabisa.

Issue ni VITA.....VITA....VITA..
Tatizo ni impact ya America,
90% ya nchi alizoingia dam ilimwagika.
Ningeona mnaakili it's best Mkachochee At UN angalau wanaweza kuwa na Salia Mtume.

USA amekuja na chokochoko ngapi?
Yan anatafuta njia ,
Kila sehemu yeye ni kuharibu! ?
What you don't know do you think it will be like Egypt or More than?
How do you gurantee yourself it's not reach at Somalia, Libya, Iran, Iraq point zone.

Ulishawai kuona vita ikipiganwa ulishawai kumuona M2 akipigwa Risasi mbele yako.
Mm nahisi tunayoyatafuta ni makubwa kuliko ya Lissu, na wengine
Coz dam itayomwagika itakuwa ni watanzania wasiojua chchote kuhusu siasa instead ya mambo mengine tu.
Hivi ujui kuwa Robo tu ya Watz wapo interested na siasa apart of zaid ya 70 %

Hawana muda na Hawajui chochote kuhusu siasa, if you want to believe nenda Majukwaa ya umbea , Mapenz na story look views alafu come here look views and participants .
Hapo utajua they want to sucrifice other wakati wenyewe wapo abroad.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom