Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Sema mm siendi, uitumie uwingi ktk maswala yako binafsi
Hawa mabeberu waache kuingilia mambo yetu ya ndani, watuachie uhuru wetu.. Wao nani anawaingilie kwenye mambo yao..

USA hatuendi sio lazima, zipo nchi nyingi za kwenda zenye amani kuliko huko USA wanakouana kila siku..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunahitaji mahusiano mazuri na marekani ili nasisi mambo yetu yanyooke
Hawa hawa mabeberu yanayotaka kutuletea ushoga!?halafu hawa watakuwa ndio wanaoleta madawa ya kulevya wameona mianya yao imebanwa na Makonda.
 
I think there are some laws in Tanzania tells something about homosexual and its clearly stated that homosexual is prohibited in Tanzania. With no doubt, this law existed since independence and still working if not somebody can correct. If this law was there since Nyerere till now, Why this tycoon USA want now to deal with our friend Makonda??
As far as I know, there are some nations in Africa have strictly prohibit homosexual with strong punishment when some body caught involved, Why do USA deal with only Tanzania and Paul not these nations?

I will be back.. please somebody help on those questions.
Makonda showed his hate openly. He asked those practicing this act stop otherwise they will go to jail. After this crackdown, US and UK came out with a press release condeming the act. Other countries have the laws but they dont follow.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KWA MUJIBU WA STATEMENT YA DEPARTMENT OF STATE YA MAREKANI
KWA MUJIBU WA CREDIBLE SOURCE YA INFORMATION YAO HAPA KWA MAREKANI NI CIA
KWAMBA WAMEGUNDUA KWAMBA BASHITE ANAHUSIKA NA "DENIAL OF TE RIGHT TO LIFE"
II INAMAANA ANAHUSIKA NA MAUAJI KUMDENIAL RIGHT YA LIFE MTU MAANA YAKE NI KUMUUA
WATANZANIA MUELEWE
UYU MTU KWA MUJIBU WA CIA NI MUUAJI
cia HUWA HAWABAATISII

BASHITE MUUAJI
 
Hili ni suala la kujiuliza sana, haiwezekani Kijana mdogo tu anatuhumiwa kwa tuhuma nzito. Kunyima watu uhuru wa kuishi maana yake ni kupoteza maisha ya watu, Je ameshapoteza maisha ya kina nani na yeye ni nani hasa hadi apotezee watu maisha?

Ninaamini kua USA ni taifa kubwa lenye kila aina ya nyengi za kiteknolojia kufuatilia kitu. Sio wajinga hawa kumzia huyu Makonda kuingia nchi mwao kwa sababu wanazotaja kua ni ukiukwaji wa haki za binadamu na kukatishia watu uhuru wa kuishi.

Tunasubiri siku moja hawa wazungu watuwekee ushahidi ili tumfahamu vizuri Makonda na tuanze kutafutana.Wathibitishe ili tujue kweli ni lini Bashite kawa Israel wa kunyima watu uhuru wa kuishi, ili tujue hayo mamlaka anayatoa wapi.

Huu ni mwanzo mzuri na ushahidi huu ufikishwe The Hague. USA hawawezi kutufanyia sisi propaganda kwani ni yetu ni ndogo sana. Hawa jamaa washajikusanyia ushahidi wa kutosha, kufikia kumyima mtu kibali cha kukanyaga kwao basi tufahamu kua huyu mtu ni hatari kwa taifa.
 
Kwahiyo anachokisema USA unaamini? Angalia matukio mengi aliyoyafanya duniani kwa kuidanganya dunia. Hiyo barua ukiiangalia kiundani ni copy paste. Yaani wamechukua barua ambayo washaandikiaga watu na kuedit jina la makonda tu. Swala hapo ni la ushoga tu hakuna kitu kingine. Nasikitika sana kuona waafrika wanawaamini sana USA katika kila jambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na ulaghai wote wa USA lakini kwa uamuzi huo dhidi ya Bashite wachangiaji hapa na hata wasio wachangiaji lazima watasema ahsante kwa USA. Wengi wanamchukia sana kwa baadhi ya kauli na vitendo vyake.
 
Muziki wa Trump umeanza......na bado!!
Acha Makonda na babake waendelee kutukana na kuwaita Wamerekani ni mabeberu…!!
Mwisho wa.siku wataelewa somo la kuheshimu DEMOKRASIA NA HAKI ZA BINADAMU!
Amerika kuna haki za binadam? Unaju ma black wangapi wanauawa Chicago lila siku? Isitoshe Trump mwenyewe ni racist. Unaona jinsi gani ana msakama Black president Obama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa hawa mabeberu yanayotaka kutuletea ushoga!?halafu hawa watakuwa ndio wanaoleta madawa ya kulevya wameona mianya yao imebanwa na Makonda.
Ndo ujiulize dawa zinapelekwa marekani ndio Kuna soko wanakamatwa wamexico waafrica na wapakistan
 
Hujaelewa implication ya kuzuiwa kwenda Marekani! Hasara utakazozipata ukizuiwa kwenda marekani siyo kukosa kwenda marekani mkuu, kama jambo fulani hujui maana yake kaa kimya!
Wewe Ni shoga ndo Maana mnamupiga Vita makondaa kisa kawazuia ushoga jijini dar.

Hamujawa salama bado Tutaendelea kumuunga mkono kuzuia Tabia za kishetani zote mnazotaka tuzifuate. Mashoga nyie.. kamwambie na Trump + pompeo wenu. Nothing they gonna change.
 
I think there are some laws in Tanzania tells something about homosexual and its clearly stated that homosexual is prohibited in Tanzania. With no doubt, this law existed since independence and still working if not somebody can correct. If this law was there since Nyerere till now, Why this tycoon USA want now to deal with our friend Makonda??
As far as I know, there are some nations in Africa have strictly prohibit homosexual with strong punishment when some body caught involved, Why do USA deal with only Tanzania and Paul not these nations?

I will be back.. please somebody help on those questions.
Read the given article from Pompeo to see if they stated such accusation then come back here to discuss this ban in a right way
 
Hatuna cha kupoteza eti kwa kumzuia RC Makonda kwenda Marekani. Kwanza wajiulize tangu Rais wetu John Pombe Magufuli aingie madarakani alishawahi kwenda ubarozi wa Marekani nchini kuomba Viza ya kuingia Marekani? Ukweli ni kwamba hajawahi kwahiyo RC Makonda aende Marekani kutafuta nini ambacho bosi wake haoni haja?
 
Marekani anafanya hivyo pale anapotaka kuiba tu, ila mwenyewe anapotezea wizi wa Trump kwa Hilary. Ndio maana mpaka leo wanahangaika kumtoa wameshindwa. Trump aliiba kura kwa msaada wa Urusi.

Base kwenye ishu yetu na ushahidi aliosema anao nione opinion yako mkuu usinipe mifano ya Urusi.
 
Back
Top Bottom