Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Tuliwaambia Makonda ni mtekaji na mtesaji mkatia pamba masikuoni. Wabunge wa upinzani wameongea bungeni mnawatuma mavuvula kina Mlinga na Msukuma kukejeli. Jana Spika asiye na aibu anasema mambo yetu tujadili wenyewe utafikiri kuna siku aliwahi kuwasikiliza wapinzani zaidi ya kuwakejeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugai kawa mpole kama kaokoka vile. Anaogopa zamu yake na drone.
 
View attachment 1342730

View attachment 1342925

Serikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi, uhuru na ulinzi wa watu.

Katika uongozi wake, Makonda ameonesha uonevu kwa wapinzani, kuminya uhuru wa kujieleza na kukusanyika na matendo maovu dhidi ya makundi maalum.

Marekani ina hofu kuhusu uvunjifu wa Haki za Binadamu na kupuuzwa kwa utawala wa sheria nchini Tanzania.

Kifungu namba 7031(c) kinampa uwezo Waziri wa Mambo ya nje kuweka zuio kama hili endapo mhusika amefanya ufisadi mkubwa au uvunjifu wa Haki za Binadamu. Pia kinamruhusu kuweka zuio kwa familia yake hivyo mke wa Makonda, Bi. Mary Felix Massenge amezuiwa pia.

Serikali ya Marekani inaikumbusha Serikali ya Tanzania kuheshimu utawala wa Sheria na Haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kukusanyika.



==========


The Department of State is publicly designating Paul Christian Makonda under Section 7031(c) of the FY 2020 Department of State, Foreign Operations, and Related Programs Appropriations Act due to his involvement in gross violations of human rights, which include the flagrant denial of the right to life, liberty, or the security of persons. Specifically, the Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam. In that role, he has also been implicated in oppression of the political opposition, crackdowns on freedom of expression and association, and the targeting of marginalized individuals.

The United States remains deeply concerned over deteriorating respect for human rights and rule of law in Tanzania. This includes actions taken by the government that curtail freedom of expression, freedom of association, and right of peaceful assembly; target marginalized people and the political opposition; and jeopardize life.

Section 7031(c) provides that, in cases where the Secretary of State has credible information that foreign officials have been involved in significant corruption or a gross violation of human rights, those individuals and their immediate family members are ineligible for entry into the United States. The law also requires the Secretary of State to publicly or privately designate such officials and their immediate family members. In addition to the public designation of Paul Christian Makonda, the Department is also publicly designating his spouse, Mary Felix Massenge.

These actions against Paul Christian Makonda underscore our concern with human rights violations and abuses in Tanzania, as well as our support for accountability for those who engage in such violations and abuses. We call on the Tanzanian government to respect human rights and fundamental freedoms, including the freedom of expression, association, and the right of peaceful assembly.


SOURCE: Public Designation, Due to Gross Violations of Human Rights, of Paul Christian Makonda of Tanzania - United States Department of State

Hili la "flagrant denial of right to life' linamnyooshea kidole kuhusika kwake kwa kupotea kwa watu katika mazingira tatanishi.
 
Ukitaka kumuudhi muamerika wewe ingilia haki za masuala ya LGBT. Muamerika atakurarua kama simba! Ukitaka awe rafiki yako ongelea raha za kuwa:
L = Lesbian = wanawake kusagana wenyewe kwa wenyewe.
G = Gay = wanaume kuchomekeana wenyewe kwa wenyewe.
B = Bisexual = wasagaji (L) kufanyana na wachomekeanaji (G).
T = Transgender = kubadli jinsia ya Me kuwa ya Ke au ya Ke kuwa ya Me mahospitalini.

Makonda alifanya makosa makubwa sana kwenye hayo masuala. Akienda USA hao ma LGBT watamumaliza. Hivyo ban hiyo ni kwa usalama wake.
 
Kitendo cha mteule wa Rais kutuhumiwa kwa mauaji na uvunjaji wa haki za binadamu ni sawa na kumtuhumu Rais ila kwa kupitia wateule wake.

Bunge badala ya kujadili mipasho pamoja na kusifu wapumbavu lijikite kuitaka serikali na huyo aliyemteua ameondoe haraka.

Nchi ni muhimu kuliko binadamu yeyote yule. Huyu Makonda hapaswi kulindwa kwa namna yoyote ile.
 
Kwani wewe ukisikia Ulaya unajua nchi ngapi?
Unafikiri anaweza kuzuiwa kuingia nchi za Ulaya Mashariki?

Najua UK, France, Belgium, Netherlands na Nordic country zingine anaweza kupata shida kuingia, ikiwemo na Austaralia na Newsland lakini hii haindoi ukweli kwamba nchi washirika wa Marekani wanaweza kumruhusu kuingia.

Sheria za nchi zao hazisemi ukizuiwa kuingia Marekani kwa makosa ambayo sio ya ughaidi utazuiwa kwa washirika wote.
Ndio maana Abrohimovich alikosa visa ya kuishi na kufanya kazi UK akaenda Israel na anaingia nchi zingine za ulaya.

Marekani akipitisha azimio la vikwazo vya uchumi au vya kusafiri kwa muhusika ndio washirika wanalazimika kufuata hivyo vikwazo vya kusafiri kama vile alivyo wekewa Al Bashir, Marehemu Mugabe n.k.
Makonda hajawekewa vikwazo vya kusafiri bali amewekewa zuio la kuingia Marekani tu.

Kuna watu kibao wamekwama nchi za Ulaya sababu wamezuiwa kuingia Marekani, na huko Ulaya sio kwao, unakuta wametoka Asia kama Syria, Iran, Jordan na nchi zingine za Mashariki ya kati, Uchina na Afrika.
Safari moja uanzisha nyingine...
 
Kitendo cha mteule wa Rais kutuhumiwa kwa mauaji na uvunjaji wa haki za binadamu ni sawa na kumtuhumu Rais ila kwa kupitia wateule wake.

Bunge badala ya kujadili mipasho pamoja na kusifu wapumbavu lijikite kuitaka serikali na huyo aliyemteua ameondoe haraka.

Nchi ni muhimu kuliko binadamu yeyote yule. Huyu Makonda hapaswi kulindwa kwa namna yoyote ile.
Kwani ametuhumiwa kuuwa?
 
Hilo Jambo linataka kukuzwa bila sababu, hizi Ni tuhuma hakuna mahali Makonda kashitakiwa.

Ni vyema Makonda aombe kukutana na Balozi wa Marekani ili amweleze kosa lake ni Nini, na kama kuna tuhuma basi apewe muda azijibu.

Baada ya hapo iundwe time ya pamoja Kati ya Marekani na Tanzania ipitie tuhuma zake na suluhisho lake report ipelekwe pande zote mbili kwa utekelezaji.

Baadae Makonda aonane na Pompeo amuombe radhi kwa tuhumu za kweli na tuhuma za uongo amweleze kuwa amemsamehe kwani na yeye ni binadamu.

Hatuhitaji kugangamala kama Albashir, tunahitaji kuwa wanyenyekevu na wasikivu, huo ndio uungwana. Uhuru Kenyatta pamoja na kuwa ni Rais alienda ICC na akahudhuria kesi na Sasa Yuko huru.

Pompeo hajawahi onana na Makonda Wala hamjui Ni maneno ya kuambiwa tu.

Binafsi maovu ya Makonda siyajui, najua anahamasisha ujezi wa shule na zahanati. Anaendesha harambee za tiba za moyo kwa watoto. Anapambana na majizi na wala madawa ya kulevya. Anapambana na uzembe kazini.

Amueleze Pompeo kuwa Hawa wanaompiga vita ni wachuuzi wa madawa ya kulevya. Magenge ya wezi maarufu Kama panyaroad. Matapeli ya viwanja na wabadhirifu wa mali za umma.
labda kwa lugha ya ishara
 
CIA wameshamaliza kazi yao. Walipozuia vyombo vya usalama vichunguze mauwaji wakajiona wajanja Wapinzania tulipigania vije nchini vyombo huru vyenye weledi mkubwa ktk maswala ya upelelezi akina Lusinde na Msukuma wakapiga mapambio yao.

Hawakujua....hawakujua CIA hawasubiri kupewa ruhusa kuingia nchini mwako pale inapobidi sasa naona Makonda amebaki peke yake. Waimbaji wote wamekimbia.
 
Kwani tangia lini Tanzania imewahi kuwa juu ya Marekani? Hivi kama wameshakuzuia kwenda nchini Kwao hivi ' Logically ' tu wanaweza Kukuruhusu kwenda katika Ubalozi wao ambao una Hadhi na Thamani Kubwa pengine kuliko hata Ikulu yako? Hivi kulijua hili Jambo jepesi kulihitaji Mtu uwe na Certificate au Diploma au Degree au Masters au Doctorate kweli?
Huu ubalozi uliowahi kupigwa na materrorist
 
Simama kwa madaha, piga kifua sema mimi Titicomb ni tabular rasa
Mimi nacheka tu sichukii lugha zako za kejeli na dharau kwenye majadiliano.
Nimeshavuka kiwango hicho cha ukomavu na fikra.

Kwa kukujulisha tu sasa mimi nasoma falsafa za Stoicism na ni mfuasi mtiifu wa hiyo falsafa, huwezi kunivunja moyo mentally, you have to do more than these simple insults.
My wisdom is above and far beyond your comprehension, you can never break me mentally, never in your life time.
Nakushauri tu 'mdogo wangu kifikra' kafuatilie Stoicism ndio nini, na stoics ndio nani kisha utajua unajaribu kupambana na nani kisaikolojia.

Kama haujatosheka na matusi au kejeli ongeza kunitusi, ikilazimu nitukane na matusi ya nguoni au wazazi wangu ufurahi, lakini mimi sitaacha kutoa mawazo yangu hapa JF na popote. Ukiona unaumizwa na mawazo yangu jifanye hujaona au endelea kurusha matusi bila hoja.
 
Back
Top Bottom