Taarifa ya Marekani nikianza na aya ya kwanza na ya pili inatuonesha Watanzania Makonda ni mtu wa aina gani. Japo kingereza changu cha ugoko lakini tutachambua mstari kwa mstari kuona Wamarekani wanatuma ujumbe gani kwetu wanyonge kama ifuatavyo.
AYA YA KWANZA
Makonda has involved in gross violation of human right which includ Denial of the right to life, Liberty or the security of persons. ( Kwamba Makonda anahusika kwa kiwango cha juu mno ktk uvunjaji wa haki za Binadamu ambazo zinahusu kama
1.Kukiuka haki ya mtu ya kuishi yaani anafanya Mauaji ya Watu wasio na hatia.
2. Anakiuka haki ya watu kuwa huru yaani anateka, anatesa, anapoteza watu.
3.Anahatarisha usalama wa watu yaani anatishia ana ua watu, au kutesa raia.
"Specifically the Department has credible information that Makonda was involved in in such violations in his capacity as the regional commissioner of Dar es salaam".( Kwamba Marekani inazo taarifa za uhakika pasipo na shaka kuwa Makonda ametenda uharifu huo dhidi ya binadamu akitumia cheo chake kama mkuu wa mkoa wa Daresalam)
'In that role Makonda has also been implicated in oppression of the political oppression, crackdowns on freedom of expression and association and the targeting marginalized individuals" ( Kwamba akiwa ktk wadhifa huo Makonda ndio mwasisi wa kupanga na kuteleza uzalilishaji na ukatili dhidi ya Viongozi wa kisiasa wa upinzani, kuzuia uhuru wa kujieleza na kukutana na kuwalenga makundi mbali mbali yakijamii dhidi ya ukatili huo)
AYA YA PILI
"The United states remain deeply concerned over deteriorating of respect of human right and a rule of law in Tanzania". ( Kwamba Marekani bado inayo mashaka makubwa na inafuatilia kwa kina juu ya kuongezeka kwa Ukatili dhidi ya ubinadamu na kutoheshimwa kwa haki za Binadamu na utawala wa Sheria nchini Tanzani)
"This includes actions taken by the Government that curtail freedom of expression, freedom of association and the right to peaceful assembly".( Hii inahusiana hatua zilizo chukuliwa na Serikali ya Tanzania ambayo inazuia na kuwekea watu vikwazo kinyume cha sheria kuzuia uhuru wao wa.
1. Kujieleza
2.Kukutana
3.Kunyimwa uhuru wa kukutana bila kughasiwa )
"Target marginalized people and the political opposition and Jeopardize people".( Yaani serikali imekuwa ikiwalenga na kuwatendea uharifu Makundi mbali mbali ktk jamii kama wanaharakati, waandishi wa habari, viongozi wa dini, Viongozi wa vyama vya siasa wa Upinzani na Kuhatarisha Maisha ya Watu )
Wakati Marekani ikitueleza wana wa Nchi kuwa bila kuwa na shaka wala kupepesa Macho kuwa Makonda ni muaji na wanao ushahidi juu ya matendo yake hayo, Bwana yule aliye mteu ambaye ni Boscow Ntaganda wa Pili ajaye kwa jina la LUSIFA amekuwa akisikika mara kwa mara akimsifu Makonda kuwa ni mchapa kazi.
Kwamba Bwana Bosco Ntaganda wapili ajaye kwa jina la LUSIFA anasema Makonda huwa natekeleza kazi zake hizo anazo mtuma yeye mwenyewe kwa uaminifu mkubwa, ambazo Marekani wamesema Makonda anafanya haya
1. Anaua watu wasio na hatia( Denial right to life)
2.Anateka anatesa raia (Denial right to Liberty
3.Anapoteza watu, anahatarisha usalama wa watu.( Denial right to Security of persons )
Tutaelewana tuu taratibu.
Sent using
Jamii Forums mobile app