macho_mdiliko,
Kwa taarifa yako sisi wananchi wa tanzania hatujawahi kukerwa na tabia za mtu binafsi za ushoga. Ushoga umekuwepo na utaendelea kuwepo. Watanzania tulipigwa na hofu kubwa nchi nzima baada ya matukio ta kutisha kushamili killings, torturing, abductions, disapperances zilizidi na serikali badala ya kuchukua hatua wakiwemo akina makonda badala yake wakawa anakejeli hebu fikiria mtu anauawawa anakejeliwa?
Vyombo vinavyoitwa vya usalama vipo na vikakaa kimya kama vile hakuna linalotokea. Sasa lwo naona mmekazania ushiga sijui ndio biashara yenu
Kwa taarifa yako sisi wananchi wa tanzania hatujawahi kukerwa na tabia za mtu binafsi za ushoga. Ushoga umekuwepo na utaendelea kuwepo. Watanzania tulipigwa na hofu kubwa nchi nzima baada ya matukio ta kutisha kushamili killings, torturing, abductions, disapperances zilizidi na serikali badala ya kuchukua hatua wakiwemo akina makonda badala yake wakawa anakejeli hebu fikiria mtu anauawawa anakejeliwa?
Vyombo vinavyoitwa vya usalama vipo na vikakaa kimya kama vile hakuna linalotokea. Sasa lwo naona mmekazania ushiga sijui ndio biashara yenu