Ndugai kawa mpole kama kaokoka vile. Anaogopa zamu yake na drone.Tuliwaambia Makonda ni mtekaji na mtesaji mkatia pamba masikuoni. Wabunge wa upinzani wameongea bungeni mnawatuma mavuvula kina Mlinga na Msukuma kukejeli. Jana Spika asiye na aibu anasema mambo yetu tujadili wenyewe utafikiri kuna siku aliwahi kuwasikiliza wapinzani zaidi ya kuwakejeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa.....hii wikendi imeenda vizuri mno.Makonda hata akiitwa na Pompeo hawezi kwenda, ni sawa na Shetani kuitwa na Mungu
Hili la "flagrant denial of right to life' linamnyooshea kidole kuhusika kwake kwa kupotea kwa watu katika mazingira tatanishi.View attachment 1342730
View attachment 1342925
Serikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi, uhuru na ulinzi wa watu.
Katika uongozi wake, Makonda ameonesha uonevu kwa wapinzani, kuminya uhuru wa kujieleza na kukusanyika na matendo maovu dhidi ya makundi maalum.
Marekani ina hofu kuhusu uvunjifu wa Haki za Binadamu na kupuuzwa kwa utawala wa sheria nchini Tanzania.
Kifungu namba 7031(c) kinampa uwezo Waziri wa Mambo ya nje kuweka zuio kama hili endapo mhusika amefanya ufisadi mkubwa au uvunjifu wa Haki za Binadamu. Pia kinamruhusu kuweka zuio kwa familia yake hivyo mke wa Makonda, Bi. Mary Felix Massenge amezuiwa pia.
Serikali ya Marekani inaikumbusha Serikali ya Tanzania kuheshimu utawala wa Sheria na Haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kukusanyika.
==========
The Department of State is publicly designating Paul Christian Makonda under Section 7031(c) of the FY 2020 Department of State, Foreign Operations, and Related Programs Appropriations Act due to his involvement in gross violations of human rights, which include the flagrant denial of the right to life, liberty, or the security of persons. Specifically, the Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam. In that role, he has also been implicated in oppression of the political opposition, crackdowns on freedom of expression and association, and the targeting of marginalized individuals.
The United States remains deeply concerned over deteriorating respect for human rights and rule of law in Tanzania. This includes actions taken by the government that curtail freedom of expression, freedom of association, and right of peaceful assembly; target marginalized people and the political opposition; and jeopardize life.
Section 7031(c) provides that, in cases where the Secretary of State has credible information that foreign officials have been involved in significant corruption or a gross violation of human rights, those individuals and their immediate family members are ineligible for entry into the United States. The law also requires the Secretary of State to publicly or privately designate such officials and their immediate family members. In addition to the public designation of Paul Christian Makonda, the Department is also publicly designating his spouse, Mary Felix Massenge.
These actions against Paul Christian Makonda underscore our concern with human rights violations and abuses in Tanzania, as well as our support for accountability for those who engage in such violations and abuses. We call on the Tanzanian government to respect human rights and fundamental freedoms, including the freedom of expression, association, and the right of peaceful assembly.
SOURCE: Public Designation, Due to Gross Violations of Human Rights, of Paul Christian Makonda of Tanzania - United States Department of State
Safari moja uanzisha nyingine...Kwani wewe ukisikia Ulaya unajua nchi ngapi?
Unafikiri anaweza kuzuiwa kuingia nchi za Ulaya Mashariki?
Najua UK, France, Belgium, Netherlands na Nordic country zingine anaweza kupata shida kuingia, ikiwemo na Austaralia na Newsland lakini hii haindoi ukweli kwamba nchi washirika wa Marekani wanaweza kumruhusu kuingia.
Sheria za nchi zao hazisemi ukizuiwa kuingia Marekani kwa makosa ambayo sio ya ughaidi utazuiwa kwa washirika wote.
Ndio maana Abrohimovich alikosa visa ya kuishi na kufanya kazi UK akaenda Israel na anaingia nchi zingine za ulaya.
Marekani akipitisha azimio la vikwazo vya uchumi au vya kusafiri kwa muhusika ndio washirika wanalazimika kufuata hivyo vikwazo vya kusafiri kama vile alivyo wekewa Al Bashir, Marehemu Mugabe n.k.
Makonda hajawekewa vikwazo vya kusafiri bali amewekewa zuio la kuingia Marekani tu.
Kuna watu kibao wamekwama nchi za Ulaya sababu wamezuiwa kuingia Marekani, na huko Ulaya sio kwao, unakuta wametoka Asia kama Syria, Iran, Jordan na nchi zingine za Mashariki ya kati, Uchina na Afrika.
Kwani ametuhumiwa kuuwa?Kitendo cha mteule wa Rais kutuhumiwa kwa mauaji na uvunjaji wa haki za binadamu ni sawa na kumtuhumu Rais ila kwa kupitia wateule wake.
Bunge badala ya kujadili mipasho pamoja na kusifu wapumbavu lijikite kuitaka serikali na huyo aliyemteua ameondoe haraka.
Nchi ni muhimu kuliko binadamu yeyote yule. Huyu Makonda hapaswi kulindwa kwa namna yoyote ile.
Kwahiyo unakiri hadharani kwamba Makonda ameua watu kama Marekani ilivyofanya kwa jenerali wa Iran ?Mbona USA ilimnyima haki ya kuishi yule jenerali wa IRANI?Tusiwe kasuku
labda kwa lugha ya isharaHilo Jambo linataka kukuzwa bila sababu, hizi Ni tuhuma hakuna mahali Makonda kashitakiwa.
Ni vyema Makonda aombe kukutana na Balozi wa Marekani ili amweleze kosa lake ni Nini, na kama kuna tuhuma basi apewe muda azijibu.
Baada ya hapo iundwe time ya pamoja Kati ya Marekani na Tanzania ipitie tuhuma zake na suluhisho lake report ipelekwe pande zote mbili kwa utekelezaji.
Baadae Makonda aonane na Pompeo amuombe radhi kwa tuhumu za kweli na tuhuma za uongo amweleze kuwa amemsamehe kwani na yeye ni binadamu.
Hatuhitaji kugangamala kama Albashir, tunahitaji kuwa wanyenyekevu na wasikivu, huo ndio uungwana. Uhuru Kenyatta pamoja na kuwa ni Rais alienda ICC na akahudhuria kesi na Sasa Yuko huru.
Pompeo hajawahi onana na Makonda Wala hamjui Ni maneno ya kuambiwa tu.
Binafsi maovu ya Makonda siyajui, najua anahamasisha ujezi wa shule na zahanati. Anaendesha harambee za tiba za moyo kwa watoto. Anapambana na majizi na wala madawa ya kulevya. Anapambana na uzembe kazini.
Amueleze Pompeo kuwa Hawa wanaompiga vita ni wachuuzi wa madawa ya kulevya. Magenge ya wezi maarufu Kama panyaroad. Matapeli ya viwanja na wabadhirifu wa mali za umma.
Katuhumiwa kuhusika kuwanyima watu haki ya kuishiKwani ametuhumiwa kuuwa?
Si kuua huku! Wamejuaji? Haki ya nani ya kuishi imekatizwa.Katuhumiwa kuhusika kuwanyima watu haki ya kuishi
anamakazi mengi sana mwanza, pansiansi yote ile wanamtambua kwa jina la utotoniKha!!! Mwanza ni kwa nan yake mkuu
Huu ubalozi uliowahi kupigwa na materroristKwani tangia lini Tanzania imewahi kuwa juu ya Marekani? Hivi kama wameshakuzuia kwenda nchini Kwao hivi ' Logically ' tu wanaweza Kukuruhusu kwenda katika Ubalozi wao ambao una Hadhi na Thamani Kubwa pengine kuliko hata Ikulu yako? Hivi kulijua hili Jambo jepesi kulihitaji Mtu uwe na Certificate au Diploma au Degree au Masters au Doctorate kweli?
yesKwani ametuhumiwa kuuwa?
Wamesema wana credible evidence. Mtandao wa US ni mpana sana. Huenda hata mikutano tunayoambiwa ni siri wao wanasikiliza bila shida yoyote.Si kuua huku! Wamejuaji? Haki ya nani ya kuishi imekatizwa.
Mimi nacheka tu sichukii lugha zako za kejeli na dharau kwenye majadiliano.Simama kwa madaha, piga kifua sema mimi Titicomb ni tabular rasa