Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Yaani wewe ndiyo unajifanya unaelewa kizungu kuliko watanzania wenzako?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaweza kwenda pale atakapotengeneza movie feki kuwa ndani ya ubalozi kuna madawa ya kulevya hivyo anakwenda kufanya upekuzi. Kama alivyofanya kwa clouds media. Huyo bogus Bashite anazijua mwenyewe.'in
Nakwambia siku hiyo hiyo ata cease kuwa gavana wa Dsm
 
Mkuu wako wa nchi hana uthubutu si tu wa kutamka haya uliyoandika bali pia hata kufikiria!
 
Hao mashoga wana madhara gani kwa watu ikiwemo wewe,mshindwe kupambambana na ukosefu wa ajira kwa vijana mbashikilia ushoga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa maana hiyo kama si ishu ya ushoga makonda asingepata ban?
Maelfu ya wa2 waliopigwa ban na US duniani kote sababu ni ushoga?
 
Wamarekani na washirika wao hawawezi kukubali kuona nchi maskini ya dunia ya tatu inaongozwa na Nationalist leader kama Magufuli na wenzie waliomtangulia nchi zingine kama akina Thomas Sankara, Patrice Lumumba, Fidel Castro, Hugo Chavez, Eva Morales, Ghadaf, Kim wa NK na wengine wengi.

Kisa cha Makonda ni mapango wa muda mrefu wa kuzuwia uwezekano wa yeye Makonda na wa mfano wa Magufuli kuja kushika nchi baada ya Magufuli.
Huu ni mpango mkakati wa taassisi zao za kijasusi.
Kuchaguliwa kwa Magufuli kuwa raisi wa Tanzania hawa mabeberu walipigwa chenga ya mwili na akina Mkapa na watu wengine nyeti walio hakikisha vibaraka wa Magharibi wanapigwa chini na Magufuli anakuwa raisi.

Hawakutegemea Magufuli atakuwa raisi, hili ni pigo kubwa sana kwao tena ni kashifa kwa taasisi zao za kijasusi ukizingatia anayo fanya Magufuli kuhusu rasilimali za taifa na mikataba kama ya EPA na AGOA.

Najua sitaeleweka na nitabezwa lakini ipo siku ukweli huu utawekwa wazi na mabeberu wenyewe miaka mingi ijayo kama walivyoweka wazi mkakati wao wa kumuandaa mrithi wa Nyerere.

Akina Kabudi, Kingwangala, na wengine mnao fanana kidogo mitizamo na Magufuli mjiandae kisaikolojia, mtakumbana na mashambulizi mengi sana hadi kufikia 2025 kwa lengo la kuwazuia msije kuwa warithi wa Magufuli.
Beberu sio mtu mzuri kabisa.
Soma hapa Top secret CIA files expose US covert operations in Tanzania

Maoni ya wadau:
Mimi nakushauri ungeanza kwa kujibu hoja za mabeberu ouhusu bashite. Wamesema anakiuka haki za binadam. Je ni kweli? Sasa kwenye andiko lako umeonesha ushabiki tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sijakataa hoja zao, lakini nimeonesha hisia zangu huenda kuna jambo la ziada zaidi ya vurugu za Makonda.

Jiulize kwanini Uganda wamepitisha sheria kali sana za kuwashungulikia mashoga, pia wanafanya vitu kama anavyo tuhumiwa Makonda dhidi ya wapinzani kama akina Robert Kyagulanyi Ssentamu a.k.a Bobi Wine, lakini hawawachukulii hatua kama Makonda?

Mawazo Yangu na Angalizo:
Makonda hafai kuwa raisi wala mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya.
Hafai kazi ya kumuweka mbele ya vipaza sauti au majukwaa sababu hawezi kuchunga kauli zake.
Makonda is not impeccable with his word.
 

Nenda kawaambie wamyowe Kabendera, tito na wenzake

Acheni kutunyanyasa kwa maonezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…