Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Magu na Bashite wanavyopora ni sawa?
 
Utumbo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thomas Sankara, Patrice Lumumba, Fidel Castro, Hugo Chavez, Eva Morales, Ghadaf, Kim wa NK na wengine wengi
Hawa wote hakuna cha maana walifanyia nchi zao. Wengi walikufa ama kwa kuuwawa au kwa kupinduliwa. Ndiyo njia unayotaka Magufuli apitie? Wote wameacha nchi zao kwenye mateso makubwa kwa sababu ya kuitunishia msuli USA.
 
Acha upuuzi wewe, Nyerere, alikuwa nationalist mara mia, hakuwekewa vikwazo wala zuio, sembuse hawa makanjanja, wachumia tumbo,
Yaani hawa majizi, unawalinganisha na Lumumba! Mtu aliyepoteza uhai wake kwa ajiri ya nchi, hawa wamepoteza nini, zaidi wamezidi kuwa na ukwasi wa kutisha,
Mambo "mazuri "wanayofanya Uki yachambua na kuonesha upungufu, hawakujibu kwa hoja, unakula risasi,
Yaani wanamajeshi yote, hazina, wasomi kibao, lakini hawawezi/wanashindwa kutetea hayo mema wanayotufanyia, usipokubaliana nao, shaba inakuhusu!
Chavez, castro, lumumba, Mandela, usiwalinganishe na uchafu ulioutaja hapo juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nationalist alikuwa Nyerere tu hao wengine ni mbwembwe za kujinafkisha kwa wanachi, MTU anatembelea V8, Range over anaishi ghorofani anawatukana watz walipakodi unamwita nationalist ni kumkosea Mungu
 
Huu ndio ushauri wangu kwako:

Hili jambo si dogo na linaweza kuleta madhara makubwa yatakayopelekea kugusa maisha ya watu wengi na kelele zikiianza,basi mwisho wa siku wewe ndio utakaeshuhulikiwa.

Time will tell.
Huyo hapo...kasema wasipoondoa hivyo vikwazo basi serikali yetu nayo itajibu kwa kwenda kuwachukua na kuwarudisha akina Nyani Ngabu nchini.
 
Kwahiyo nchi wanazo ruhusu huo ushoga huwa wananchi wanalazimishwa kuufanya? Ndo maana na wewe unaogopa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…