Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Ile barua haikuandikwa hivyo, imeandika sababu za kumzuia asikanyaje the land of unlimited opportunities. Hii ya ushoga ni ya kwenu wala haihusiani na kilichoandikwa kwenye barua.

Makonda ana nguvu gani za kuzibiti ushoga? Mbona mashoga bado wapo na pia serikali ilimkana hadharani.

Acheni kuhangaika. Makonda mwenyewe ni shoga, miaka 8 ameshindwa kumpa mke mimba hadi ameenda kukopa mbegu za kiume maabara za mwanaume mwingine.
 
Atarudisha watu wake? Hivi huyu zimo kweli?
 
Pumbavu wewee..
Pompeo hajasema suala la ushoga asilani..
Bashite mwenyewe shoga.
 
Tunawaambia humu toka asubuhi,wenye akili timamu hili lipo wazi hizo zingine ni porojo zenu tu.

Waambieni wampeleke ICC kwa mashitaka ya hizo ngonjera zenu akawaumbue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…