Na wewe upo na kirungu hapo Ufipa! Hahaha
Yaani mtu anakaa kwenye lile ghala pale ufipa anaandika vimaneno alafu anajiita Pompeo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mtu anakaa kwenye lile ghala pale ufipa anaandika vimaneno alafu anajiita Pompeo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii semina ya kuambizana mueneze hoja ya ushoga kwenye mitandao ya kijamii kwamba ndo sababu mmeipiga kwa siku ngapi na mmelipwaje jomba?Tumeridhika na Utanzania wetu, kaeni na umarekani wenu, kamwe hatutauza utu wetu kwenu,Naipenda Tanzania nitabaki Mtanzania hata nikingia marekani nitarudi Tanzania, kwanza naingia kufanya nini???Long Live Paul Makonda, Hakika kweli tunapiga hatua siku zote ukiona hawa marekani wamenza kukupiga vita vya vikwazo ujue taifa lako linaendelea.....
Hatutaki ushoga, wala hatupashani Taarifa na mashoga
Wajinga wengi humu ndani hawatakuelewa na hakuna atakayekujibu hiki swali, Chuki na mihemuko vimewatawala.Kule Saudia mbona hajazuiliwa mtu kwenda Marekani?
Mwnyw unahisi umeandika vitu vya maana.Wamarekani na washirika wao hawawezi kukubali kuona nchi maskini ya dunia ya tatu inaongozwa na Nationalist leader kama Magufuli na wenzie waliomtangulia nchi zingine kama akina Thomas Sankara, Patrice Lumumba, Fidel Castro, Hugo Chavez, Eva Morales, Ghadaf, Kim wa NK na wengine wengi.
Kisa cha Makonda ni mapango wa muda mrefu wa kuzuwia uwezekano wa yeye Makonda na wa mfano wa Magufuli kuja kushika nchi baada ya Magufuli.
Huu ni mpango mkakati wa taassisi zao za kijasusi.
Kuchaguliwa kwa Magufuli kuwa rahisi wa Tanzania hawa mabeberu walipigwa chenga ya mwili na akina Mkapa na watu wengine nyeti walio hakikisha vibaraka wa Magharibi wanapigwa chini na Magufuli anakuwa raisi.
Hawakutegemea Magufuli atakuwa raisi, hili ni pigo kubwa sana kwao tena ni kashifa kwa taasisi zao za kijasusi ukizingatia anayo fanya Magufuli kuhusu rasilimali za taifa na mikataba kama ya EPA na AGOA.
Najua sitaeleweka na nitabezwa lakini ipo siku ukweli huu utawekwa wazi na mabeberu wenyewe miaka mingi ijayo kama walivyoweka wazi mkakati wao wa kumuandaa mrithi wa Nyerere.
Akina Kabudi, Kingwangala, na wengine mnao fanana kidogo mitizamo na Magufuli mjiandae kisaikolojia, mtakumbana na mashambulizi mengi sana hadi kufikia 2025 kwa lengo la kuwazuia msije kuwa warithi wa Magufuli.
Beberu sio mtu mzuri kabisa.
Soma hapa Top secret CIA files expose US covert operations in Tanzania
Majinga kama nyinyi ni aibu kwa taifaSi tunajadili haki ya kuishi?
A crackdown on freedom of expression has been on the rise since President John Magufuli came into office in 2015.Kwahiyo unakiri hadharani kwamba Makonda ameua watu kama Marekani ilivyofanya kwa jenerali wa Iran ?
Hamna cha kupoteza lakini 20/12/2019 RC alipopata refusal ya kuingia USA machozi yalimtoka.Hatuna cha kupoteza eti kwa kumzuia RC Makonda kwenda Marekani. Kwanza wajiulize tangu Rais wetu John Pombe Magufuli aingie madarakani alishawahi kwenda ubarozi wa Marekani nchini kuomba Viza ya kuingia Marekani? Ukweli ni kwamba hajawahi kwahiyo RC Makonda aende Marekani kutafuta nini ambacho bosi wake haoni haja?
Makonda ni Israil mtoa roho, usiombe ukatishe kwenye 18 zake.
Mbona USA ilimnyima haki ya kuishi yule jenerali wa IRANI?Tusiwe kasuku