Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Yaani mtu anakaa kwenye lile ghala pale ufipa anaandika vimaneno alafu anajiita Pompeo

Sent using Jamii Forums mobile app

Au ulikuwa upo usingizini ukakurupuka ? Hata makonda kilichomponza ni kiherehere na uropokaji, sababu tabia ya uropokaji ikipitiliza unajikita unasema vitu irrelevant alafu vinakuwa na negative impact kwa jamii ndio kama ivi saivi ametuponza....


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tumeridhika na Utanzania wetu, kaeni na umarekani wenu, kamwe hatutauza utu wetu kwenu,Naipenda Tanzania nitabaki Mtanzania hata nikingia marekani nitarudi Tanzania, kwanza naingia kufanya nini???Long Live Paul Makonda, Hakika kweli tunapiga hatua siku zote ukiona hawa marekani wamenza kukupiga vita vya vikwazo ujue taifa lako linaendelea.....

Hatutaki ushoga, wala hatupashani Taarifa na mashoga
Hii semina ya kuambizana mueneze hoja ya ushoga kwenye mitandao ya kijamii kwamba ndo sababu mmeipiga kwa siku ngapi na mmelipwaje jomba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamarekani na washirika wao hawawezi kukubali kuona nchi maskini ya dunia ya tatu inaongozwa na Nationalist leader kama Magufuli na wenzie waliomtangulia nchi zingine kama akina Thomas Sankara, Patrice Lumumba, Fidel Castro, Hugo Chavez, Eva Morales, Ghadaf, Kim wa NK na wengine wengi.

Kisa cha Makonda ni mapango wa muda mrefu wa kuzuwia uwezekano wa yeye Makonda na wa mfano wa Magufuli kuja kushika nchi baada ya Magufuli.
Huu ni mpango mkakati wa taassisi zao za kijasusi.
Kuchaguliwa kwa Magufuli kuwa rahisi wa Tanzania hawa mabeberu walipigwa chenga ya mwili na akina Mkapa na watu wengine nyeti walio hakikisha vibaraka wa Magharibi wanapigwa chini na Magufuli anakuwa raisi.

Hawakutegemea Magufuli atakuwa raisi, hili ni pigo kubwa sana kwao tena ni kashifa kwa taasisi zao za kijasusi ukizingatia anayo fanya Magufuli kuhusu rasilimali za taifa na mikataba kama ya EPA na AGOA.

Najua sitaeleweka na nitabezwa lakini ipo siku ukweli huu utawekwa wazi na mabeberu wenyewe miaka mingi ijayo kama walivyoweka wazi mkakati wao wa kumuandaa mrithi wa Nyerere.

Akina Kabudi, Kingwangala, na wengine mnao fanana kidogo mitizamo na Magufuli mjiandae kisaikolojia, mtakumbana na mashambulizi mengi sana hadi kufikia 2025 kwa lengo la kuwazuia msije kuwa warithi wa Magufuli.
Beberu sio mtu mzuri kabisa.
Soma hapa Top secret CIA files expose US covert operations in Tanzania
Mwnyw unahisi umeandika vitu vya maana.

Maskini kumbe chenga za ulezi
Endelea na akili zako za Bashitelism na Chatolism
 
Kwahiyo unakiri hadharani kwamba Makonda ameua watu kama Marekani ilivyofanya kwa jenerali wa Iran ?
A crackdown on freedom of expression has been on the rise since President John Magufuli came into office in 2015.

Human rights groups also accuse Mr Magufuli of repressing political dissent, detaining human rights activists, and muzzling the media.
 
Hatuna cha kupoteza eti kwa kumzuia RC Makonda kwenda Marekani. Kwanza wajiulize tangu Rais wetu John Pombe Magufuli aingie madarakani alishawahi kwenda ubarozi wa Marekani nchini kuomba Viza ya kuingia Marekani? Ukweli ni kwamba hajawahi kwahiyo RC Makonda aende Marekani kutafuta nini ambacho bosi wake haoni haja?
Hamna cha kupoteza lakini 20/12/2019 RC alipopata refusal ya kuingia USA machozi yalimtoka.
 
Makonda ni Israil mtoa roho, usiombe ukatishe kwenye 18 zake.
IMG-20141102-WA0010.jpg


Mzee Warioba popote ulipo pokea salamu yangu
 
Ina maana makonda amewahi kuwa? Alimuuwa nani ? Hii dunia ina siri sana . lakini mwisho wa siku Mungu akiamua kukuumbua anakuumbua.
 
Hakuna siku niliyofurahi Kama hii baada ya US secretary of state kum blacklist Makonda Kama mtu hatari asiyetakiwa kukanyaga ktk taifa hilo kubwa Duniani kuliko yote..
Ni Makonda amekuwa akitumia madhabahu za Kanisa la Mungu kujifanya kwamba yeye ni mcha Mungu kumbe ni mtu aliyejaa uovu wa kila aina .
CIA wana ushahidi wote jinsi Makonda alivyohusika ktk mission ya mauaji ya Ben Saanane na jaribio la mauaji ya Tundu Lissu yaliyofeli .
CIA wana ushahidi wote jinsi alivyohusika ktk kutengeneza Photoshop video ya kumchafua Mtumishi wa MUNGU Gwajima .
CIA wana ushahidi wote jinsi alivyohusika na mauaji ya mamia ya watu waliokuwa wakitoswa Baharini na mto Ruvu .
Lakini lengo la Marekani siyo Makonda, bali mfadhili wake, huyu ndiye hasa wanayemtafuta kwa udi na uvumba..
Tumemwomba sana Mungu ili Haya mambo yafike tamati, hatimaye muda umefika sasa. ..
Moto umewaka, taratibu utaunguza kila kilichokusudiwa.
Nimeshaandika mara nyingi humu kuwa Damu isiyo na hatia inamlilia Mungu ikidai kisasi.
Damu ya Azory Gwanda, Damu ya Alphonce Mawazo, Damu ya Ben Saanane na wengine wengi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A crackdown on freedom of expression has been on the rise since President John Magufuli came into office in 2015.

Human rights groups also accuse Mr Magufuli of repressing political dissent, detaining human rights activists, and muzzling the media.
 
Habar mpya iko wap hiyo hadi tuache kazi tuje huku...bashite si habar mpya
 
Back
Top Bottom