Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

.
Your browser is not able to display this video.


Jr[emoji769]
 
Kimenukaaaaaa
 
Kichwa unacho Ila akili nina wasiwasi Kama unayo, hakuna sehemu kwenye taarifa ya USA inazungumza juu ya hoja ya madawa, na kwa wajinga wasiofatilia ndiyo wanaamini juu ya upambanaji feki wa madawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Peleka utumbo kule lumumba, hulu umepotea njia.
 
Kuna watu kibao ambao hawajapigwa ban ila wamepinga ushoga na kuchukua hatua,ushoga hapa sio issue!
 
Kwa wapinzani huu ni wakati mhimu na 'delicate' sana.

Wasibweteke, ni wakati wa kuweka mikakati itakayowawezesha kusimama na waTanzania wawaone kuwa wapo bila ya kuonekana kuwa wanatumiwa na mataifa ya nje.

Wakifanya makosa hapa, watakuwa wanaruhusu hawa 'wazalendo feki' kuendelea kuwarubuni wananchi na kuwapaka matope wapinzani.
 
Much Respect be blessed
 
A crackdown on freedom of expression has been on the rise since President John Magufuli came into office in 2015.

Human rights groups also accuse Mr Magufuli of repressing political dissent, detaining human rights activists, and muzzling the media.
Kwa hiyo sio Makonda aliyelengwa!

Nimezisoma tena zile sababu nne zilizoorodheshwa, zote zinamlenga Magufuli sio Makonda.

Kuna sababu iliyowafanya waelekeze adhabu kwa Makonda, huku wakimpasha taarifa mhusika mwenyewe.
 
Jinga wewe..
 
Duh...!
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…