Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

CCM mnajua kutufunga magoli, ndiyo maana mnatupa bora elimu bure ili tuzidi kudumaa. Pompeo ameandika wazi kuwa Paul Makonda anazuia haki ya binadamu kuishi.

Huo ushoga mbona Museveni na Uhuru Kenyatta wanaupinga lakinihawajapigwa pini ya kwenda duniani. Tunashukuru shule zadini kutufundisha this is an apple tumeweza kumuelewa Pompeo.
Kwahiyo BBC siku hizi ni mali ya CCM? Basi hapo CCM nimeikubali!
 
Ngoja nikusaidie mkuu nimwekee link. Ha ha ha ha. Harafu watu wameanishwa denial right to life ni kuua. Kumbe nikuzuia watu kufanya maisha yao ya kawaida ya ushoga.

Mkuu, wavumilie tu wengine lugha inawasumbua.

Mbona maelezo yako wazi tu.

Kwa wamarekani haki za binadamu ni pamoja na kufanya mapenzi ya jinsia moja.
Makonda kuwa kinara wa kupiga vita ushoga na mashoga iliwakera mabeberu. Sasa wameamua kumzuia.

BBC wameripoti taarifa ya serikali ya USA.

Kuichukia BBC au mleta uzi hakubadili ukweli kuwa mabeberu wameshafanya yao.
 
Kubenea(mbunge wa chadema) : Ben Saanane anaonekana kwenye vijiwe vya kahawa
Screenshot_20200201-193120.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
BBC ambalo ni shirika la utangazaji la Uingereza limeweka wazi kuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam amezuiwa kuingia Marekani kwa sababu ya juhudi zake za kupambana na ushoga nchini Tanzania.

Ikumbukwe Mara baada ya Paul kuanzisha vita ya madawa ya kulevya na ushoga alianza kushambuliwa na kupokea vitisho kutoka kwa chadema na mabeberu kutoka kote duniani.View attachment 1343649

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza hiyo ni tafsiri yako, pili unataka kutuambia Marekani ni taifa la Mashoga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo B.Saanane ameshakufa? Wapi imethibitishwa na amezikwa wapi? Isijekuwa Marangu mmetoa kafara Mrombo wa watu na kumsingizia Makonda!
Jitahidi uwe unaficha upumbavu wako,we already know that you're a dumb shit.
 
Back
Top Bottom