Kwa nini bado ni RC wa Arusha??Hakuna spana hapo Bali huyo RC hajitambui.
Ukidikiliza hoja yake Haina mashiko.Vikao anavyodai Makonda havina uwezo wa kutatua shida ya Barabara isipokuwa Viongozi wa Kitaifa
Huyo Makonda mara zote akija Rais au VP au PM Huwa anasema shida kubwa ya Arusha ni Barabara,Sasa anakuwaga hajajadili kwenye vikao?
Ni upuuzi kumkatisha mwakilishinwa Wananchi Kwa sababu za chuki binafsi.
Kama anakitaka Hilo Jimbo agombee.
Haiba ya snitch inakuaje?Ila Gambo namuonaga kama Snitch hivi hata haiba yake inaonesha!
Mtoto wa Ilala amekuaje mbunge wa Arusha??Acha uswahili wewe.
Amesema aache kutafuta Sifa za "kijinga" hajamuita "mjinga".
Gambo mtoto wa ilala,angemtukana tusi kama Hilo pangechimbika hapo.
Nchi gani?Kidemokrasia aliyechaguliwa kwenye sanduku la kura ni mtu muhimu na ana sauti kuliko mteuliwa ,ni hayo
Ulitaka amshike tako?waziri
Kaongea ukweliMbona yeye ni mpenda kuongea public katika mambo mengi?
Anajisahaurisha kuwa huwa anaitisha mikutano ya hadhara na kuanza kuhoji watendaji juu ya mambo ambayo tayari yapo serikalini?
Huyu Makonda lazima ana matatizi ya kiakili Leo hii kageuka ghafla kuwa muumini wa vikao? Hataki tena habari za mambo hadharani?
Sio mishipa tu hata hali ya hewa inawezekana keshsachafua. Walioko karibu nae watatupatia majibu.Ukicheck vizuri kwenye hiyo clips, mishipa ya kichwa imemtoka Gambo, utafikili anataka kupasuka. Hakika sisa ni shidaaa
Gambo hmuwezi Makonda hata kwa Ngumi anamkalisha π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£Kufanya kazi na huyu mwamba unahitaji Hekima.
Pole Gambo kwa spana, ndiyo ukubwa huo ukisikia mtu kakwepa mishale mingi ndo hii sasa.
Hebu tuamboe zaidi, alikufitini nini' kwa mkeo?!!!Kwa hapo namuunga mkono Makonda. Gambo ni mfitini sana
Wewe ndio mke wangu. ElezaHebu tuamboe zaidi, alikufitini nini' kwa mkeo?!!!
Lkn aliongea ukweliUkicheck vizuri kwenye hiyo clips, mishipa ya kichwa imemtoka Gambo, utafikili anataka kupasuka. Hakika sisa ni shidaaa
π€£π€£π€£ππWewe ndio mke wangu. Eleza
Very trueHuko ni kufitinisha watendaji na public. Analeta tuhuma kwenye public kwa sababu maafisa hawawezi kujitetea kwenye public. Anachosema Bashite ni kwamba ahudhurie vikao alete hizo tuhuma katika ground ambayo muhusika anaweza kujibu na kufafanua. Ikikosa majibu na kudhibitika ndio uende public
Kwa hiyo hapo wamekutanaGambo na Makonda wote ni wafitini... acha wapasuane tu. Gambo wakati akiwa RC aliwasweka watu ndani kisa wameenda kupeleka rambirambi kwa familia za wahanga wa ajali ya Lucky Vicent. Gambo, Makonda na Sabaya hawafai kwa roho mbaya.
Mwepesi sana kusahau wewe, Mimi ni 'me' na linda lako la kwanza nililitatua Mimi.Wewe ndio mke wangu. Eleza
Tatizo la makonda ni kujiona yupo juu ya kila mtu, mkuu wa mkoa huwezi kuongea na waziri unampiga piga bega kama hawara yako huo ni utovu wa nidhamu mkubwa sana na ni dharau kabisa, nayote hiyo inatokana na kujiona yuko juu na ana nguvu pamoja na kwamba cheo chake ni cha chini.Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda akiambatana na Waziri wa Ujenzi Mhe. Abdallah Ulega wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa barabara ya kiwango cha Lami ya Mianzini-Olemringaringa amemtaka Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Mrisho Gambo kuwa anahudhuria vikao mbalimbali vya maendeleo ndani ya Mkoa wa Arusha, badala ya kuwasubiri Viongozi wa Kitaifa na kuzungumzia kero mbalimbali ndani ya Jimbo lake.
Mhe. Makonda ameeleza kuwa kufanya hivyo ni kutafuta huruma ya wananchi kinyume cha taratibu, akiziita kuwa ni siasa zisizokuwa za maendeleo kwa wananchi, akiagiza kuwa ni muhimu kwa Viongozi wateule na wa kuchaguliwa kushiriki vikao vya kupanga na kuamua kuhusu maendeleo ya Mkoa wa Arusha.
Kauli ya Mhe. Makonda inafuatia maombi ya Mhe. Gambo aliyeomba kwa Waziri wa Ujenzi kujengewa barabara ya Kilombero pamoja na ufungaji wa taa kwenye barabara mbalimbali za Jiji la Arusha, masuala ambayo kulingana na Mhe. Makonda yalishajadiliwa na maamuzi kutolewa kwenye vikao mbalimbali vilivyofanyika chini ya Maagizo ya Mawaziri mbalimbali wa Kisekta ikiwemo Kikao cha mapema leo asubuhi kilichohudhuriwa na Waziri wa ujenzi Mhe. Abdallah Ulega na Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Nchemba.
View attachment 3194226
Makonda ni mtu anayejionaga bora kuliko wengine na si mtu wa kufuata protokali. Sema wote masnitch wamekutana.Pamoja na Yote bado RC makonda amezingua sana Kumdharirisha Gambo mbele Ya kandamnasi tena Kiongozi aliyechaguliwa na Wananchi hio haijakaa Poa, Kesho Gambo akiwa Boss wake?
Makonda ajifunze Kuheshimu Viongozi wenzie mana hata Chongolo aliwahi Kumkolomea wakati ni RC Dar baadae tuliona Chongolo anakuja kuwa Boss wake hii haijakaa Poa ivo Viti vya Kuteuliwa una Serve at the wish ya aliyekuchagua Tusijione sana tumefika
Hapo kasikika makonda tuu akimsuta mwenzie ,hatujasikia huyo snitch mwenzie aliongeajeVery true
Makonda simpendi ila kwenye hili Yuko sahihi