Pre GE2025 Paul Makonda: Gambo usitake umaarufu wa kijinga, uwe unahudhuria vikao vya maendeleo Mkoa wa Arusha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa nini bado ni RC wa Arusha??
 
Acha uswahili wewe.
Amesema aache kutafuta Sifa za "kijinga" hajamuita "mjinga".
Gambo mtoto wa ilala,angemtukana tusi kama Hilo pangechimbika hapo.
Mtoto wa Ilala amekuaje mbunge wa Arusha??
 
Kaongea ukweli

Pambaneni na mandojo na domokaya
 
Ukicheck vizuri kwenye hiyo clips, mishipa ya kichwa imemtoka Gambo, utafikili anataka kupasuka. Hakika sisa ni shidaaa
Sio mishipa tu hata hali ya hewa inawezekana keshsachafua. Walioko karibu nae watatupatia majibu.
 
Kufanya kazi na huyu mwamba unahitaji Hekima.
Pole Gambo kwa spana, ndiyo ukubwa huo ukisikia mtu kakwepa mishale mingi ndo hii sasa.
Gambo hmuwezi Makonda hata kwa Ngumi anamkalisha 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣
 
Ukicheck vizuri kwenye hiyo clips, mishipa ya kichwa imemtoka Gambo, utafikili anataka kupasuka. Hakika sisa ni shidaaa
Lkn aliongea ukweli
Mi nimesikiliza yote
 
Very true
Makonda simpendi ila kwenye hili Yuko sahihi
 
Huyo Mako hilo jimbo analitaka kama chakula...Fujo zote nikijibrand tu
 
Gambo na Makonda wote ni wafitini... acha wapasuane tu. Gambo wakati akiwa RC aliwasweka watu ndani kisa wameenda kupeleka rambirambi kwa familia za wahanga wa ajali ya Lucky Vicent. Gambo, Makonda na Sabaya hawafai kwa roho mbaya.
Kwa hiyo hapo wamekutana
Au ndiyo Gambo kakutana na kiboko yake πŸ˜„

Ova
 
Tatizo la makonda ni kujiona yupo juu ya kila mtu, mkuu wa mkoa huwezi kuongea na waziri unampiga piga bega kama hawara yako huo ni utovu wa nidhamu mkubwa sana na ni dharau kabisa, nayote hiyo inatokana na kujiona yuko juu na ana nguvu pamoja na kwamba cheo chake ni cha chini.
 
Makonda ni mtu anayejionaga bora kuliko wengine na si mtu wa kufuata protokali. Sema wote masnitch wamekutana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…