Paul Makonda kuitetemesha na kuitikisa mikoa kumi mfululizo bila kupumzika

Paul Makonda kuitetemesha na kuitikisa mikoa kumi mfululizo bila kupumzika

Weka ushahidi acha kuchafua watu hapa wewe. Marekani siyo Mungu.hao hao Marekani ndio walimuua Saddam Husseni kwa kisingizio kiwa anamiliki silaha za nyukilia.je uliziona au kuonyeshwa silaha hizo? Marekani waliuonyesha ulimwengu shehena ya silaha hizo? Vipi kuhusu muamari Gadaffi si hao hao walimuua kwa visingizio vya uongo baada ya kuona maono yake yanahatarisha maslahi yao na uwepo wao katika bara la Afrika? Hujawahi kusikia hata Barack Obama akikili Hadharani kuwa walifanya makosa kumuua Gadaffi? Sasa unaanzia wapi kuwaona kama miungu watu na kuwaamini kwa kila kitu? Za kuambiwa changanya na za kwako ndugu yangu.usiwe na akili kama kasuku au nyumbu.
Hela za kujenga Masaki nyumba ya ghorofa kadhaa aliitolea wapi? Mshahara wa mkuu wa mkoa hauzidi au hafiko milioni 7, Alimdanganya GSM kwamba JPM anahitaji nyumba na GSM akaijenga akajua ni ya JPM.

Amefungua phamarcy kila mkoa nchi nzima.
 
Hela za kujenga Masaki nyumba ya ghorofa kadhaa aliitolea wapi? Mshahara wa mkuu wa mkoa hauzidi au hafiko milioni 7, Alimdanganya GSM kwamba JPM anahitaji nyumba na GSM akaijenga akajua ni ya JPM.

Amefungua phamarcy kila mkoa nchi nzima.
Kwani unadhani Makonda anakaa Buza? Makonda anakaa Masaki tena kwenye jumba haswa! Hicho kijumba cha GSM ndo nini?
Acha wivu!
 
Kwani unadhani Makonda anakaa Buza? Makonda anakaa Masaki tena kwenye jumba haswa! Hicho kijumba cha GSM ndo nini?
Acha wivu!
Ndio hizo tunasema ni mali za wizi, sasa mwizi anapita mikoani kuwasema wezi wenzie na kuwaonya
 
Mimi sifanyi kazi kwa ajili ya malipo na sipo CCM kwa ajili ya kulipwa.nipo CCM kwa sababu ni chama kinachojali na chenye uchungu na maisha ya watu na chenye itikadi inayoeleweka na yenye kugusa maisha ya watanzania. Sasa mavyama kama CHADEMA hayawezi hata kuandaa ilani yake. Rejea 2015.
Kumbuka Sasa sukari Ni 4000 CCM inaangalia tu.
Nauli Dar/Bukoba Ni 120,000 CCM inaangalia tu.
CCM wnaadhani huu ugumu wa maisha Ni kwa chadema tu. Wamesahau soko letu Ni moja.
 
Ndio hizo tunasema ni mali za wizi, sasa mwizi anapita mikoani kuwasema wezi wenzie na kuwaonya
Alikuibia wewe? Tena sio hizo tu nenda kigamboni na Capri point Mwanza utalia nakusaga meno na roho yako mbaya!
 
Hela za kujenga Masaki nyumba ya ghorofa kadhaa aliitolea wapi? Mshahara wa mkuu wa mkoa hauzidi au hafiko milioni 7, Alimdanganya GSM kwamba JPM anahitaji nyumba na GSM akaijenga akajua ni ya JPM.

Amefungua phamarcy kila mkoa nchi nzima.
Sasa wewe kaa kwa kubweteka uwe unaangalia mishahara ya watu tu .tangia lini mshahara ukamtosha mtu? Ndio maana watu wanafanya uwekezaji kwenye shughuli zingine na siyo kusubiri mshahara kupatia maendeleo na kujenga vitega uchumi mbalimbali.
 
Sasa wewe kaa kwa kubweteka uwe unaangalia mishahara ya watu tu .tangia lini mshahara ukamtosha mtu? Ndio maana watu wanafanya uwekezaji kwenye shughuli zingine na siyo kusubiri mshahara kupatia maendeleo na kujenga vitega uchumi mbalimbali.
Wewe unadhani ana akili huyo! Usibishane na zero brain yeye anajua maisha ni mshahara! Nchi hii kuna vijana wapumbavu wengi sana!
 
Natarajia kuona na wenzetu wa vyama vingine wakiendelea na operation kama za Comrade Makonda.
Ni vizuri pia baadhi ya issues ziwe solved na mamlaka zinazohusika Ili kupunguza malalamiko na kuondoa kasumba ya Wanasiasa kujisifu/kujipatia umaarufu kupitia matatizo ya Wananchi.
 
Weka ushahidi acha kuchafua watu hapa wewe. Marekani siyo Mungu.hao hao Marekani ndio walimuua Saddam Husseni kwa kisingizio kiwa anamiliki silaha za nyukilia.je uliziona au kuonyeshwa silaha hizo? Marekani waliuonyesha ulimwengu shehena ya silaha hizo? Vipi kuhusu muamari Gadaffi si hao hao walimuua kwa visingizio vya uongo baada ya kuona maono yake yanahatarisha maslahi yao na uwepo wao katika bara la Afrika? Hujawahi kusikia hata Barack Obama akikili Hadharani kuwa walifanya makosa kumuua Gadaffi? Sasa unaanzia wapi kuwaona kama miungu watu na kuwaamini kwa kila kitu? Za kuambiwa changanya na za kwako ndugu yangu.usiwe na akili kama kasuku au nyumbu.
Wewe, unafiki umekufanya kuwa punguani. Jielimishe.

Unamfahamu aliyemwua Gadafi? Kulikuwa na askari hata mmoja aliyekuwa kwenye ground ili kumwua Gadafi?

Hivi Gadafi aliyekuwa anawaua wanaohoji utawala wake na kuwazika kwenye makaburi ya pamoja, ilikuwa ni halali?

Sadam Hussein, ni kweli aliondolewa kwa operation za kijeshi zilizoongozwa na Marekani, Ufaransa, Uingereza, zikisaidiwa na mataifa mengine 46, ; chini ya azimio la Umoja wa mataifa. Sadam Hussein aliyewahi kuwaua watu wake waliokuwa wakipinga utawala wake kwa kuwamwagia gas ya sumu iliyoua kila kiumbe, mpaka watoto na wanyama, kwako wewe punguanu, unaona ilikuwa ni sahihi?

Hivi unaamini wewe kwa huo upunguani ulio nao, unaamini unauelewa zaidi ya mataifa 49, yakiwemo mataifa ya Kiarabu na Afrika yaliyoamua kuwasaidia Waraq kuondokana na utawala wa dictator Sadam Hussein?

Countries participated in the US-led coalition: Afghanistan, Albania, Australia, Azerbaijan, Bulgaria, Colombia, the Czech Republic, Denmark, El Salvador, Eritrea, Estonia, Ethiopia, Georgia, Hungary, Iceland, Italy, Japan, South Korea, Latvia, Lithuania, Macedonia, the Netherlands, Nicaragua, the Philippines, Poland, Romania, Slovakia, Spain, Turkey, the United Kingdom and Uzbekistan.[9]

On March 20, 2003, the White House released a list with the following additions: Costa Rica, the Dominican Republic, Honduras, Kuwait, the Marshall Islands, Micronesia, Mongolia, Palau, Portugal, Rwanda, Singapore, Solomon Islands, Uganda.[9][2] Panama was added to the list the next day.[2] In April 2003, Angola, Tonga and Ukraine were included in the list, bringing the number of allied nations to 49.
 
Back
Top Bottom