Weka ushahidi acha kuchafua watu hapa wewe. Marekani siyo Mungu.hao hao Marekani ndio walimuua Saddam Husseni kwa kisingizio kiwa anamiliki silaha za nyukilia.je uliziona au kuonyeshwa silaha hizo? Marekani waliuonyesha ulimwengu shehena ya silaha hizo? Vipi kuhusu muamari Gadaffi si hao hao walimuua kwa visingizio vya uongo baada ya kuona maono yake yanahatarisha maslahi yao na uwepo wao katika bara la Afrika? Hujawahi kusikia hata Barack Obama akikili Hadharani kuwa walifanya makosa kumuua Gadaffi? Sasa unaanzia wapi kuwaona kama miungu watu na kuwaamini kwa kila kitu? Za kuambiwa changanya na za kwako ndugu yangu.usiwe na akili kama kasuku au nyumbu.
Wewe, unafiki umekufanya kuwa punguani. Jielimishe.
Unamfahamu aliyemwua Gadafi? Kulikuwa na askari hata mmoja aliyekuwa kwenye ground ili kumwua Gadafi?
Hivi Gadafi aliyekuwa anawaua wanaohoji utawala wake na kuwazika kwenye makaburi ya pamoja, ilikuwa ni halali?
Sadam Hussein, ni kweli aliondolewa kwa operation za kijeshi zilizoongozwa na Marekani, Ufaransa, Uingereza, zikisaidiwa na mataifa mengine 46, ; chini ya azimio la Umoja wa mataifa. Sadam Hussein aliyewahi kuwaua watu wake waliokuwa wakipinga utawala wake kwa kuwamwagia gas ya sumu iliyoua kila kiumbe, mpaka watoto na wanyama, kwako wewe punguanu, unaona ilikuwa ni sahihi?
Hivi unaamini wewe kwa huo upunguani ulio nao, unaamini unauelewa zaidi ya mataifa 49, yakiwemo mataifa ya Kiarabu na Afrika yaliyoamua kuwasaidia Waraq kuondokana na utawala wa dictator Sadam Hussein?
Countries participated in the US-led coalition: Afghanistan, Albania, Australia, Azerbaijan, Bulgaria, Colombia, the Czech Republic, Denmark, El Salvador, Eritrea, Estonia, Ethiopia, Georgia, Hungary, Iceland, Italy, Japan, South Korea, Latvia, Lithuania, Macedonia, the Netherlands, Nicaragua, the Philippines, Poland, Romania, Slovakia, Spain, Turkey, the United Kingdom and Uzbekistan.[9]
On March 20, 2003, the White House released a list with the following additions: Costa Rica, the Dominican Republic, Honduras, Kuwait, the Marshall Islands, Micronesia, Mongolia, Palau, Portugal, Rwanda, Singapore, Solomon Islands, Uganda.[9][2] Panama was added to the list the next day.[2] In April 2003, Angola, Tonga and Ukraine were included in the list, bringing the number of allied nations to 49.